Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: BAK
Ishawah kunikuta kkoo enz hzo no.mwendo kas nkapiga hesabu saa tisa na Ile folen mpka nifike home aisee nshahrbu nkaingia bar moja nkaagiza soda nkaacha mezan fast A choon nashukuru nilikuta maji maana nilikuja kukagua maji baada ya kumalza shuhul yangu
 
Yamewahi kunikuta maeneo ya mikochen nipo kwenye daladala natoka makumbusho ikanibidi kushuka kwenye kituo Kwa dharura japo niendako Nilikuwa sijafika.
SIKU hiyo maana tumbo lilikuwa linauma baada ya kufanikiwa kupata choo kwenye kituo cha afya nikaendelea na safari mpaka Kwa rafiki ghafla haja kubwa ikanibana nikaulizia toilet nikaelekezwa nilichokikuta choon nilishindwa kujisaidia nimezoea kutumia maji nilipoingia choo nikakuta toilet paper dah Acha tu nikaondoka nikavumilia hata sikujisaidia haja ndogo wala kubwa.
 
pole sana [emoji23]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Reactions: BAK
Kuna siku nipo site maeneo ya visiga nikiwa nachukua gps coordinates nilikuala samaki ruvu ndio kufika visiga kuenda kuchukua coordinates mara tumbo likaanza, tumemaliza ndio tuingie kwenye gari tusepa hali ikawa ngumu

Basi nikadanganya kuwa nimesahau kuchukua coordinates kumbe naenda toi na mvua ilikua inanyesha na choo hakina bati
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…