Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Ulikuwa hujabanwa vizuri. Toilet paper ungeiona kama pipa la maji
 
ngoja nihadithie kidogo tunatoka arusha kwanza ile alfajiri tunaondoka pale home nikapiga chai nzito naambiwa kunywa chai kavu tu mm tena cha uroho acha ninywe mpk nimeshiba

tumepanda bus letu mchana kufika kwenye mgahawa wa dar express acha nile manyama na chips niliekua nae ananiangalia tu ananiambia sijui kama utafika salama hahahhah

kufika mlandizi tumbo silielewi kabisa linaanza kuvuruga nakiona kijasho mwenzangu ananiambia unakumbuka asbh haya ndio majibu yake na uroho wako

tumbo limechachamaa kwenda kilimanjaro bus halisimami hovyo naona najiharishia hivi

kufika kibaha bus halijakaa sana limeondoka nakumbuka nilivaa pedo ya jens ngumu kwa kweli uzalendo ulinishinda [emoji23][emoji23] watu kwenye wananishangaa mm wala ujue hata aibu huon

kufika ubungo tukashuka kuingia home moja kwa moja kuoga toka siku hiyo mm tena nimekoma na uroho wangu wa kula kula mm ni mroho
 
Mie sili kitu ni mwendo wa maji ya kunywa hadi nifike niendako. Kuchuma dawa kama kazi lakini kufakamia vyakula vya barabarani hapana kabisa aisee.

Mkuu mimi mwaka wa saba sasa toka niache kula nikiwa safarini. Nikisafiri shemeji yako anandaa nyama za kukaanga ilizokaushwa vizuri basi wala sihitaji hayo mavyakula yao.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Lol! Kijasho chembamba kwa kuhofia kuadhirika lol!
Tumbo la kuharisha ni nomaa sana.

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shunie ukajiharishia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hiyo swaga ya kutokusimamisha gari waliniletea wa shabiby, nikatulia hali ilivyokuwa mbaya nikamfuata dereva nikamwambia kwa nguvuuuu "najikojoleaaa simamisha gari" walicheka gari zima.
 
Ha ha hanha shunie umesemaaa dah
 
Mharisho Acha kabisa mi cku ya naffunga ndoa ukumbini sitaki kuendelea zaidi ya hapo ila ukumbini cjakaa ni noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…