Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Nilikuwa nasafari yakutoka Dodoma kwenda Dar asubuh nimegonga kiporo cha wali maharage swafi njian kuelekea stand tumbo likakoroga nikajikaza mpaka stand ya shabiby choon kuzama nikashusha mzigo mzito nikatoka kukaa dakika tano kitu tena dooh nikazama tena hapo naomba basi lisiondoke nikarud tena trip ya tatu sink likajaa nafkir lilikuwa limeziba kuingia kwenye basi siti za nyuma nyuma viti vya watu watatu me Niko katikati nitumbo kukoroma Kama radi nkaseme kufedheheka ndo huku nikajikaza likiyumba na Mimi nmeyumba kaza kalio mpaka jasho sizungumzi nikafanikiwa kufika Moro kushuka brake yakwanza toi nilishusha mzigo wa kutosha hapo cjala kitu mpaka nafika Dar chamoto nilikiona na sikutumia dawa yoyote nilipona tuu na nikafunga choo Kama siku nne
pole
Sema punguza viporo mkuu
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaah mzee naandika kwa uchungu sana.Imenikuta juzi jumamosi kuna mtoto hua tunawasiliana sana kwa simu sasa jumamos tukapanga tukutane.Mfukoni nilikua kama nina 60 hivi nikavaa fresh kajinz kangu na fulana moja kali sana demu kaja tukakaa sehemu kaagiza zake juice mie nikamuunga mkono nikawa napiga juice.dakika sifuri tu tumbo likaanza trela lilianza ule muungurumo wa tumbo ukaanza daaah nikajua labda salamu tuu ya tumbo,bwana weee nikaona kuna kitu ka kinagonga boxer fasta nikaenda toi nikashusha mzigo

Nimerudi nikakaa freshi piga piga story pale likaanz tena.aloo nilikosa mood ikabd nimwambie yule manz nimepata dharula next time tutakutana,nikaondoka kwa huzuni sana tangu siku ile naona demu hata ushirikiano hanipi sasa sijui alinionaje
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Siku moja nilikuwa na safiri natoka zng Moshi naenda dar kaka mmoja kabanwa anaomba dereva asimamishe dereva anamwambia subiria tufike sehemu nzur huku wanakamata jamaa uvumilivu ukamshinda ikabidi dereva asimamishe sehemu Hamna hata miti tambarare we kwani alikuwa na aibu Akachukua jani Lake akajifunika usoni akafanya yke alivyomaliza Huyo karudi sura kavu yani hicho kitu hakinaga adabu
 
Mhhh! aisee Magu kawafanya watu waisome namba hadi kwenye kuvimbiwa na wali wa shughuli
 
Mi ilitokea nilipokwenda kwao na mchumba wangu siku hiyo kujitambulisha!
Ile tumemaliza kula tu hali ikagoma nikakimbilia chooni naharisha maji tu.!
Ile namaliza kurudi sebuleni nikabanwa tena safari hii nilijinyea nikiwa mlangoni mwa choo kumsubiri mtu atoke niingie.!
Ilikuwa aibu kubwa ya kufunga mwaka usiniulize kilichotokea baada ya hapo..!
Nnachokumbuka uchumba uliishia hapo kwani sikuwahi kurudi tena wala kumtafuta huyo binti na namba ya simu nilibadiri nikahama na mtaa maana watu wangeinyaka kuwa nilijinyea ukweni ingevuma kuliko ya Bashite na vyeti.
Pole sana ila umeniua mbavu [emoji28][emoji28]
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
Nmecheka sana wallah[emoji23]
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
Nimecheka san[emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Nilibanwa na tumbo la kuhara nafika tu kazini tumekaa kusubiri kupangiwa root ya kwenda tumbo likavuruga nilikimbia mpaka choo mtu binafsi nikazama bila kuuliza yule mama alivyoniona naingia akaenda kuita watu jamani kuna jambazi limekimbilia chooni walipofika mlangoni waliduwaa maana ilikuwa ni paaaptaaaatataa pypyeeeee peyeee nikatoka kimya bila kuongea na mtu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sipati picha hali ya hewa ya eneo husika ilikuaje
 
Mhh usiombe ikukute halafu kwenye harakati ya kuwahi pa kujistiri njiani ukakutana na mtu ambaye hamjaonana miaka
 
Daah huu uzi umenifanya nicheke mpaka mbavu zinauma. Mimi nimewahi kukutana na hayo maswahibu. Nilikua natoka Arusha naenda Dar nimepanda basi la Buffalo. Asubuhi nimepiga chai ya nguvu mixer chapati, vitumbua na ndizi. Kuanza kuitafuta Wami nikasikia tumbo linakoroga, nikajikaza labda kwa sababu nimekaa nyuma ndio inasababisha tumbo kuuma. Nikasogea siti za mbele bahati basi halikua limejaa.. Kukaa kama dk 5 nikaona linaendelea kuuma, nikamwita konda nikamwelezea afanye mpango gari lisimame nikafanye vitu. Eee bhana akanijibu nijikaze. Nikafungua shati vifungo, nikalichomoa maana nilikua nimechomekea, hapo jasho linanitoka hatari... Hata nikaona huu ni ujinga, nikachukua mfuko mweusi wa malboro nikamfuata konda na dereva, kwa sauti kubwa kama nina kipaza sauti nikawaambia " mnasimamisha gari au niachie mzigo hapa..!?'' Ile kusimamisha gari, niliruka kama komandoo, huyo vichakani nilikaa kama dakika 20 nafanya mambo.. Nikarudi kwenye gari nimechomekea, nikaweka earphone nikala mziki taratibu kama sio mimi vile....!!!
 
Daah huu uzi umenifanya nicheke mpaka mbavu zinauma. Mimi nimewahi kukutana na hayo maswahibu. Nilikua natoka Arusha naenda Dar nimepanda basi la Buffalo. Asubuhi nimepiga chai ya nguvu mixer chapati, vitumbua na ndizi. Kuanza kuitafuta Wami nikasikia tumbo linakoroga, nikajikaza labda kwa sababu nimekaa nyuma ndio inasababisha tumbo kuuma. Nikasogea siti za mbele bahati basi halikua limejaa.. Kukaa kama dk 5 nikaona linaendelea kuuma, nikamwita konda nikamwelezea afanye mpango gari lisimame nikafanye vitu. Eee bhana akanijibu nijikaze. Nikafungua shati vifungo, nikalichomoa maana nilikua nimechomekea, hapo jasho linanitoka hatari... Hata nikaona huu ni ujinga, nikachukua mfuko mweusi wa malboro nikamfuata konda na dereva, kwa sauti kubwa kama nina kipaza sauti nikawaambia " mnasimamisha gari au niachie mzigo hapa..!?'' Ile kusimamisha gari, niliruka kama komandoo, huyo vichakani nilikaa kama dakika 20 nafanya mambo.. Nikarudi kwenye gari nimechomekea, nikaweka earphone nikala mziki taratibu kama sio mimi vile....!!!

Hahahahahahaaa hahahahahahahaaa
 
Back
Top Bottom