Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Omba usishikwe na tumbo la kuharisha ukiwa katikati mjini na hakuna vyoo karibu

Usiombe uingie choo cha ugenini alafu uanze kufanya yako kabla hujakagua uwepo wa maji,unamaliza unafungua bomba unasikia upepo tu.ilintokea hyo alafu hakukuwa na wakumuomba maji,nkawaza na kuwazua nkapata akili ya kuvuta maji kwenye bomba kwa mdomo namiminia kwenye kopo mpaka yakatosha
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji23]
 
Pata hiyo shida na ulikula msosi wenye pilipili nyingi,toi ingia na feni kabisa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom