Hivi mtu anaweza akakuambia kuwa wewe ni mfupi, wakati kwa uhalisia wewe ni mrefu (au the vice-versa) na wewe ukabadilika ukawa mfupi? Je, opinions za mtu juu ya urefu wako, zinaweza kuuondoa urefu huo na uka-undergo physical change na kuwa mfupi?Wanyakyusa kama hakupendi, atakwambia machoni pako kwamba sikupendi nakuchukia.
Wanajiamini sana
Akiamua kukudharau, utajuta kuzaliwa
Kabisa hapa mtaani nimeyagonga kama matatu, mawili niwatu wazima kabisa
Twende nayo taratibu, tutafikaHivi mtu anaweza akakuambia kuwa wewe ni mfupi, wakati kwa uhalisia wewe ni mrefu (au the vice-versa) na wewe ukabadilika ukawa mfupi? Je, opinions za mtu juu ya urefu wako, zinaweza kuuondoa urefu huo na uka-undergo physical change na kuwa mfupi?
Dharau ni opinions za mtu juu ya mtu mwingine na ambazo haziwiani na opinions za mhusika juu yake yeye mwenyewe (wewe mwenyewe huwa unajionaje, unajifahamuje?). Topic hii ni ndefu kidogo muda hautoshi
😂😂😂Ha ha ha! Hakuna anayepewa vyote, mashepu mnayo lakini, inatosha!
Wachaga?[emoji23][emoji23][emoji23]ngoja nasi tupumzishwe kidogo
So thatSo what[emoji57][emoji57]
Mkuu nikiona hili jina lako nakumbuka advance ilikuwa tabu kweli.I second U. I married them.
Pole Sana Mkuu. Ungejitahidi Tuu Kidogo.Mkuu nikiona hili jina lako nakumbuka advance ilikuwa tabu kweli.
banglashi kusini mwa afrikaWanaishi Mkoa gani hao ?
Mi ni mnyakyusa nilichanganyia makabila matatu namaanisha mzazi mmoja ni mnyaki puree mmoja wa huku pwani amechanganyia mawili ..sijawahi kukua wala kukujua unyakyusani sijui mbeya huko hata kabila kukiongea siwezi[emoji23][emoji23][emoji23]
Hayana ukweli mkuuMi ni mnyakyusa nilichanganyia makabila matatu namaanisha mzazi mmoja ni mnyaki puree mmoja wa huku pwani amechanganyia mawili ..sijawahi kukua wala kukujua unyakyusani sijui mbeya huko hata kabila kukiongea siwezi
Hivi ni kweli yasemwayo juu yetu mkuu ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bonge la point...agizia soda ila sio mirinda..ntakupa..Hakuna mtu hapa duniani anayeweza kukudharau Kama hujamruhusu.
Kukuogopa wanaweza
Kukuchukia wanaweza Ila kukudharau mpaka umpe ruksa wewe binafsi.
Mfano Bujibuji unaendesha Benz Mimi Sina gari, Kama sijajuomba lift, nakomaa na mwendokasi, wewe ukinywa Hennessy nakomaa na konyagi, ukiagiza kitimoto roast naagiza makongoro ya kitimoto Ila sijakuomba, umekaa bar na mwanamke mwenye chura Mimi na kiflati screen changu inch 32. Siongei na wewe na sitaki maongezi na wewe. Utaanzaje kunidharau. Sana sana utakua unaumia roho ukiona baby wangu alivyokua na amani kwa kutopenda makuu.
Haha hahahHii wiki ya kwetu🤣🤣🤣🤣
Juzi wamemaliza kusimanga sura zetu
Bonge la point la kiutu uzimaHakuna mtu hapa duniani anayeweza kukudharau Kama hujamruhusu.
Kukuogopa wanaweza
Kukuchukia wanaweza Ila kukudharau mpaka umpe ruksa wewe binafsi.
Mfano Bujibuji unaendesha Benz Mimi Sina gari, Kama sijajuomba lift, nakomaa na mwendokasi, wewe ukinywa Hennessy nakomaa na konyagi, ukiagiza kitimoto roast naagiza makongoro ya kitimoto Ila sijakuomba, umekaa bar na mwanamke mwenye chura Mimi na kiflati screen changu inch 32. Siongei na wewe na sitaki maongezi na wewe. Utaanzaje kunidharau. Sana sana utakua unaumia roho ukiona baby wangu alivyokua na amani kwa kutopenda makuu.
Aseeeeh, sokapo apa, wakisema hivyo duh.... wamemalizaDharau na kusengenyana ndiyo kupo. Mtu akikudharau na ile lafudhi inauma sana. Aseeeee.