Ombea udharauliwe na mtu wa kabila lingine lolote lakini usidharauliwe na Mnyakyusa

Ombea udharauliwe na mtu wa kabila lingine lolote lakini usidharauliwe na Mnyakyusa

Lakini nasikia hawa kwa ndumba sio sana kama makabila mengine...
 
Sana mkuu!

Yani Mnyakyusa ni mkabila sana!

Mimi kipimo cha watu wakabila huwa naangalia makanisani hasa KKKT na walokole,
Yani kama mwinjilisti ni Mnyaki basi utakuta anakumbatia wanyaki wenzie na wanajijengea himaya yao ndani ya kanisa kama lao vile.

Tabia hii pia wanayo sana wachaga
Mkumbuke kututajia na kabila ambalo halina mambo hayo tujue.
 
Alafu wanyakyusa sifa yao nyingine wanakula sana yaani msosi wa mtu mmoja watakula wanaume watatu wa dar na kusaza
 
Hao jamaa wanaoanaga wenyewe kwa wenyewe Kama ulizaa nae na kwao hawakujui basi jiandae kuwa single mother au uwe unatuma pesa za matumizi

Tako lipo ila sura hapana pia nahisi ndio mkoa wenye makanisa mengi zaidi Tanzania ikifuatiwa kwa karibu na Dar
 
Wana roho mbaya sana!
.
Wanataka kama ni kiongozi awe wa kabila lao tu hapo utaona wamerundikana na kupiga kilugha mwanzo mwisho.

Wana maneno ya chini chini, yani hasa wanawake ni wanafiki balaa huku wakijifanya ni waombaji sana!
Hujawajajua fanya utafiti Tena halafu urudi
 
Ni vizuri unapoongelea ubaya wa kabila Fulani taja kabila linalofanya vizuri katika eneo Hilo tujue kweli umefanya utafiti
 
Mi wanachoniachaga hoi hawa watu wa mbeya baadhi yao ni kujikuta wanasali sana at the same time wahuni tu..
Acha wasali iko siku wataacha huo uhuni kuliko kukaa tu, pia Mungu atachagua mwenyewe
 
Acha wasali iko siku wataacha huo uhuni kuliko kukaa tu, pia Mungu atachagua mwenyewe
Haiwezekani mtu umetoka kusali jumapili kwenye makanisa haya ya wachungaji then baadae unaingia geto kwa baharia na biblia unaenda kupigwa miti..

Ujinga gani huu,si uchague moja?
 
Haiwezekani mtu umetoka kusali jumapili kwenye makanisa haya ya wachungaji then baadae unaingia geto kwa baharia na biblia unaenda kupigwa miti..

Ujinga gani huu,si uchague moja?
[emoji3] ndiyo binadamu, wangefuata Mungu anasema tusingekuwa tuna kufa, ujuaji mwingi, iko siku anakutana na Mungu huko huko geto [emoji23][emoji23][emoji23]
 
IMG-20220228-WA0001.jpg
 
Haiwezekani mtu umetoka kusali jumapili kwenye makanisa haya ya wachungaji then baadae unaingia geto kwa baharia na biblia unaenda kupigwa miti..

Ujinga gani huu,si uchague moja?
Duh.... halafu uanze kuwasingizia wazungu wameleta kirusi kipya, kumbe matendo ya ajabu ndio sababu
 
Back
Top Bottom