hotel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 332
- 324
Hata mm niko nasubiri waseme kabila ambalo watu wake sio wakabila wala sio wanafiki yaani wako perfect.Nitajie kabila ambalo watu wake hawapendi sifa. 100% down to earth!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm niko nasubiri waseme kabila ambalo watu wake sio wakabila wala sio wanafiki yaani wako perfect.Nitajie kabila ambalo watu wake hawapendi sifa. 100% down to earth!
Mkumbuke kututajia na kabila ambalo halina mambo hayo tujue.Sana mkuu!
Yani Mnyakyusa ni mkabila sana!
Mimi kipimo cha watu wakabila huwa naangalia makanisani hasa KKKT na walokole,
Yani kama mwinjilisti ni Mnyaki basi utakuta anakumbatia wanyaki wenzie na wanajijengea himaya yao ndani ya kanisa kama lao vile.
Tabia hii pia wanayo sana wachaga
Ewaaa[emoji23]
Sisi wenyewe tuna vijindevu,sasa tupate mwanaume ana vijindevu si tutakuwa sawa!
Tunataka wenye bustani ya ndevu.
Ndeka🤣🤣🤣🤣🤣
Ndeka.
Usisahau ubishi....ushamba.... WAHA!!Muha kiboko yao, hao mbona cha mtoto,kitu Muha unafiki A,dharau A+ hiiiihihh,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]Tukinuna yaani zinadai madeni bila shida[emoji3]
Hujawajajua fanya utafiti Tena halafu urudiWana roho mbaya sana!
.
Wanataka kama ni kiongozi awe wa kabila lao tu hapo utaona wamerundikana na kupiga kilugha mwanzo mwisho.
Wana maneno ya chini chini, yani hasa wanawake ni wanafiki balaa huku wakijifanya ni waombaji sana!
Kafanye utafiti upya huwafahamu kabisaWana degree ya usnitch kumkaribisha kwenye kazi na kukuharibia ili abaki yeye easy tu.Sema dada Zenu hawana hiyana wao ni shemegiii!!Shemegiii.
Aha haha haha
Acha wasali iko siku wataacha huo uhuni kuliko kukaa tu, pia Mungu atachagua mwenyeweMi wanachoniachaga hoi hawa watu wa mbeya baadhi yao ni kujikuta wanasali sana at the same time wahuni tu..
Haiwezekani mtu umetoka kusali jumapili kwenye makanisa haya ya wachungaji then baadae unaingia geto kwa baharia na biblia unaenda kupigwa miti..Acha wasali iko siku wataacha huo uhuni kuliko kukaa tu, pia Mungu atachagua mwenyewe
[emoji3] ndiyo binadamu, wangefuata Mungu anasema tusingekuwa tuna kufa, ujuaji mwingi, iko siku anakutana na Mungu huko huko geto [emoji23][emoji23][emoji23]Haiwezekani mtu umetoka kusali jumapili kwenye makanisa haya ya wachungaji then baadae unaingia geto kwa baharia na biblia unaenda kupigwa miti..
Ujinga gani huu,si uchague moja?
Duh.... halafu uanze kuwasingizia wazungu wameleta kirusi kipya, kumbe matendo ya ajabu ndio sababuHaiwezekani mtu umetoka kusali jumapili kwenye makanisa haya ya wachungaji then baadae unaingia geto kwa baharia na biblia unaenda kupigwa miti..
Ujinga gani huu,si uchague moja?