"Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia

"Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia

Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa kuendelea na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, natoa wito kwa viongozi wetu, wawe wanasikiliza kauli za watu wadogo na wa kawaida kama akina sisi, baadhi yetu japo we are nobodies lakini baadhi ya kauli zetu ni very powerful, tukisikilizwa sio tuu tutawasaidia sana, bali pia tutawaepusha na mengi na kulisaidia taifa kwa kuliumbia mema, kwani baadhi ya kauli zetu zina powers za uumbaji na huumba!.

Siku za Jumapili nitakuwa nikipandisha threads za mambo ya powers za imani, kauli na wishes ili kuwajengea watu uwezo wa kutumia nguvu iliyo ndani yao kufanya mambo huku tukiikamilisha Easy Sunday, at easy kwa kuainisha baadhi ya kauli ambazo ni very powerful zenye powers zilitolewa kuzungumzia mambo mbalimbali na kauli hizo zikaja kuyaumba hayo mambo yaliyozungumzwa na yakatokea kweli.

Mada hii ni abstract ya vitu vya kufikirika, vikasemwa na vikaja kutokea kweli. Lengo la kuileta mada hii ni tusidharau watu, wala tusidharau kauli za baadhi ya watu, zina nguvu ya kuumba!.

Kwa sisi Wakristu, kuna mahali Bwana wetu Yesu Kristo, ametufundisha "Ombeni Mtapewa", Tafuteni Nitapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa"

Anaendelea kufundisha kuwa jambo lolote utakalo omba kwa Baba yangu, kwa jina langu, utapewa, lakini kwa sababu jf ni ukumbi wa dini zote, naomba kuwajulisha kuwa Mungu sio wa dini yoyote, Mungu hana dini, wala hakuna Mungu wa Wakristo, Mungu wa Waislamu, miungu ya Wahindu, Wapagani na wengine wote, Mungu ni mmoja tuu, omnipotent, omnipresent, na omniscience.

Kuna watu waliaminishwa na mafundisho ya dini zao kuwa Mungu yuko juu mbinguni, ameketi kwenye kiti chake cha enzi huko mawinguni, na kwamba mbinguni au peponi ni juu mawinguni. It's not true.

Mungu yuko ndani yetu ndani ya kila binadamu haijalishi ni wa dini gani, baada tuu ya kuumbwa kwa udongo Mungu alitupulizia ile pumzi ya uhai, pumzi ile, life force, ndio yenye Umungu ndani yake.

Hivyo sii kweli mbinguni ni kule juu, mbinguni na duniani ni hapa hapa, ila hii dunia tuliyopo sasa ni ulimwengu wa mwili, na kuna ulimwengu wa Roho, huko ndiko mbinguni, peponi na motoni.

Hivyo ili kuomba chochote kwa Mungu, unaweza kutazama popote sio lazima juu, na unaweza kuomba chochote kwa Mungu bila kulitaja jina lolote na ukapewa!.

Hii maana yake, Mungu ni msikivu sana, ukiwaza tuu kuwa unataka jambo fulani, Mungu tayari anakuwa amesikia, hivyo kuomba kwa kauli hata kwa kuandika tuu popote, kwenye simu, kwenye SMS, kwenye mitandao ya kijamii, etc, huko ni kuliongezea tuu nguvu hilo jambo lako.

Je wajua kuwa baadhi ya kauli za baadhi ya watu zina nguvu ya kuumba?. Niulize mimi!. Mwezi June mwaka 2008, kuna mtu alipandisha uzi humu JF, kuhusu uendeshaji wangu wa piki piki, kwenye uzi huo, kulitolewa kauli mbaya kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki na kuhusishwa na ajali!, huwezi amini mwezi uliofuata, mwezi Julai, nilikula mziga wa kwanza, na mwezi August nikala mziga wa pili wa haja!. Lile bandiko la mwanzo kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki, likafutwa ndipo bandiko la ajali yangu ya pikipiki likapandishwa Pascal Mayalla apata ajali..... hivyo huu ni uthibitisho kuwa kuna baadhi ya kauli huumba!. Nimeanza kuendesha pikipiki 1993, hivyo hiyo 2008 ni miaka 15!, huo ndio ulikuwa uendeshaji wangu na sikuwahi kipata ajali!. Ila baada ya watu wenye kauli za kuumba, kuandika humu JF kuwa naendesha mbio pikipiki nitapata ajali, kauli hizo ziliniumbia hiyo ajali na kweli nikapata ajali!.

Hivyo amini usiamini kauli huumba?. Angalia baadhi ya kauli hizi ziliumba nini?. Laiti wahusika waliotajwa kwenye kauli hizi, wangezingatia haya yaliyosemwa, yaani kauli umba hizi zingesikizwa, labda matokeo yangekuwa ni mengine...

Binadamu tuna mtindo wa kuheshimu hoja zinazotolewa na watu muhimu kwenye jamii na kudharau watu ambao ni nobody. Kwa vile kauli hizi zilitolewa na mtu ambaye ni nobody, no one paid any attention kwa kauli hizi, mpaka pale kauli hizi zilipoumba ndipo watu angalau wakafahamu, lakini very unfortunately, walengwa wa kauli hizi, kama wangezingatia hoja za kauli hizo, labda baadhi yao wangeliwepo hadi leo!.

Naomba nianze na tukio la hivi karibuni.
Mfano Spika JYN, baada ya kuusoma uzi huu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Iwapo JYP angesoma bandiko hilo na kuamua kutogombea Uspika Kwa term nyingine, angeondoka Uspika kwa kuagwa kwa heshima na sio kwa fedheha kama alivyoondoka!.

Hata sasa Spika Tulia, anaweza asijue kuwa usikute yeye kupata Uspika huu alionao sasa ulitokana na kauli ya kwenye bandiko hilo!.

Mwaka 2014, humu JF, kulipandishwa bandiko hili
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, by that time, JPM wala hakujua kuwa atakuja kugombea urais.

Muda wa kuchukua fomu za urais CCM ulipowadia JPM alijitokeza kuchukua fomu kwa ku beep tuu, simu ikaitika!.

Hivyo JPM alikuja kuupata urais wa JMT akijijua ni yeye ndiye aliye u beep urais akaupata, bila kujua kuna watu waliishamtolea kauli za kumuumbia urais wa JMT!.

Hata hoja ya udikiteta, baadhi yetu bila kujijua kumuita mtu fulani ni Dikiteta, kumbe ndio tumemuumbia huo udikiteta!. Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

Amini usiamini, baada ya kupindua kauli, kiukweli kabisa JPM alinza kubadilika, Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!

Hivyo nikarejea humu JF na kuwaeleza watu humu Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.
Baadae Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!

And by the time anatwaliwa from huu ulimwengu wa Mwili kwenda ulimwengu wa Roho, he was almost a saint! Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

The same applies to urais wa Samia, hakuna mtu yoyote alijua kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufa akiwa madarakani!, hivyo siku zote Makamo wa rais alikuwa anateuliwa tuu bila kumhesabia anaweza kuja kuwa rais wa JMT kwasababu hakuna aliyewahi kufikiri rais wetu anaweza kufa!.

Hivyo naamini hata wakati Samia ni Makamo wa JPM, hakuwahi kuwaza kuwa kuna siku JPM anaweza kuitwa kwa Baba yake na yeye kuwa rais wa JMT!, hivyo ilivyotokea JPM akaitwa Baba yake na Samia kawa rais, watu wote wanajua imetokea tuu, ni mipango ya Mungu, lakini hakuna watu wanaojua kumbe kuna watu, walitoa kauli zenye nguvu ya kuumba, waliomuomba Mungu, wakamuumbia urais wa JMT ili Samia awe rais na kweli Mungu akasikia hivyo kauli hizo zikamuumbia Samia urais, hivyo usikute hata Samia mwenyewe anajihesabu amekuwa rais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, kumbe hajui sio kudra tuu, kuna watu waliomba, na wakapewa!.

Kwanza anza kuangalia ni lini watu walianza kumspot Mama Samia, mimi nilimspot 2010 New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

Kisha 2015 Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Then Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
na hili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Naamini kama JPM angesoma hapa, halafu akaamua tangu ile ile ,2020 angempisha Samia, you never know by now labda...

Hitimisho
Kulikamilisha bandiko na kukuacha na burudani ya easy Sunday, naomba nikuache na kibao hiki cha DDC Mlimani, wana Sikinde ngoma ya ukae, kiitwacho "Utu ni Tabia Njema na Wala Sio Pesa"'

Mtunzi ni Shabani Dede, Mwimbaji ni Cosmas Thobias Chidumule, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni
"Nimekumbuka yangu Dunia"
"Maneno Baba alio niambia"
"Fukara Hapendezi mbele za watu hata kidogo"
" Lolote asemalo wao watacheka"
"Na kumuona bure tena hayawani"
Sasa nini maana watadharau na kupuuza"
Chorus
"Utu ni Tabia Njema na wala sio pesa" X 2
Haja ya Mja hunena muungwana ni kitendo
"Dharau Haifai na tena mbaya sana"
"Mtu muone kama mtu sio mpaka awe na kitu"

When you are nobody, hata ukisema kitu, hakitiliwi maanani, natoa wito kwa viongozi wetu, lisemwalo lipo, kama halipo linakuja, mkishauriwa kitu hata na mtu mdogo, ambaye ni nobody,
hakuna ubaya, sio lazima kufuata kila ushauri, ila ni muhimu kuuzingatia ushauri wowote wenye logic ndani yake, unasaidia, unalisaidia taifa na besides everything, unaokoa na unaponya!.

Wasalaam

Paskali.

Maneno huumba hatupaswi kujiambia maneno mabaya, hata kama ni ya utani. Tumeona kauli za watu wa chini zikipelekea anguko kwa serikali tena hata viongozi. Muda unaponya !
 
Kuna story maza alinihadithiaga zaidi ya 15 years ago kuna ndugu yake Kule kijijini alikuaga na gari alipata nayo ajali kama mara mbili hivi,basi akawa anawaambia hii gari ngoja tu aiiuze itakuja kumuua bure..kweli akaiuza,. Miezi kadhaa akapewa lift kwenye gari hiyo kwenda mjini na íkapata ajali akafa peke yake
 
Kuna story maza alinihadithiaga zaidi ya 15 years ago kuna ndugu yake Kule kijijini alikuaga na gari alipata nayo ajali kama mara mbili hivi,basi akawa anawaambia hii gari ngoja tu aiiuze itakuja kumuua bure..kweli akaiuza,. Miezi kadhaa akapewa lift kwenye gari hiyo kwenda mjini na íkapata ajali akafa peke yake
Aisee...
 
Kuna story maza alinihadithiaga zaidi ya 15 years ago kuna ndugu yake Kule kijijini alikuaga na gari alipata nayo ajali kama mara mbili hivi,basi akawa anawaambia hii gari ngoja tu aiiuze itakuja kumuua bure..kweli akaiuza,. Miezi kadhaa akapewa lift kwenye gari hiyo kwenda mjini na íkapata ajali akafa peke yake
Mama alisema nikikua ntakuwa rubani,leo naendesha taxi mjini
 
Wewe mzee nini? Mbona unahangaika sana?

1.Hueleweki hata unaandika nini (kahoja kadogo maelezo mengiii! Unapenda soga sana)

2.Unaelezea mambo hata yasiyokuhusu/usiyoyajua; unajiona kadhi/mufti ni wewe, shemasi/mchungaji ni wewe, hakimu/mwanasheria ni wewe, mwandishi wewe, msanii wewe, na kadhalika (kama hapo kwenye maswala ya mungu na dini hebu soma tena ulichoandika- blah blah nyingi mpaka unajikuta unakashifu watu na dini zao)

3.Unapenda kutupastia link za mabandiko uchwara yako ya nyuma (yaani unakuwa kama hujiamini vile- na kwa staili hiyo unayoitaka mtu itabidi atumie zaidi ya wiki au mwezi kusoma bandiko lako moja maana ndani ya bandiko kuna mabandiko na ndani ya hayo kuna mengine tena na tena)

4.Kubwa kuliko yote ni hii ya kurudia uzi (huu uzi wako niliuona/niliusoma kipindi fulani zamani kidogo sasa nashangaa eti leo naukuta unasoma ni wa saa kadhaa zilizopita!)
 
Licha ya yote ya kutukumbushia hizo konyagi nakukumbusha ahadi Yako ya kuniua kwa kuwaibia TV chogo black and white 1988. You must finish me off bcoz letting me continue living like this with this tozo stuff everywhere in our country is not fair. This is the last time am reminding you, next time I will ambush you at a knife point and blades will be held against your throat till you fulfil your promise.View attachment 2330703
Samahani naomba kukuuliza... haya maelezo nimekuwa nikiyaona mara kadhaa yakiambatana na hii picha, je unaweza kuniambia kidogo ni nini chanzo?
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa kuendelea na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, natoa wito kwa viongozi wetu, wawe wanasikiliza kauli za watu wadogo na wa kawaida kama akina sisi, baadhi yetu japo we are nobodies lakini baadhi ya kauli zetu ni very powerful, tukisikilizwa sio tuu tutawasaidia sana, bali pia tutawaepusha na mengi na kulisaidia taifa kwa kuliumbia mema, kwani baadhi ya kauli zetu zina powers za uumbaji na huumba!.

Siku za Jumapili nitakuwa nikipandisha threads za mambo ya powers za imani, kauli na wishes ili kuwajengea watu uwezo wa kutumia nguvu iliyo ndani yao kufanya mambo huku tukiikamilisha Easy Sunday, at easy kwa kuainisha baadhi ya kauli ambazo ni very powerful zenye powers zilitolewa kuzungumzia mambo mbalimbali na kauli hizo zikaja kuyaumba hayo mambo yaliyozungumzwa na yakatokea kweli.

Mada hii ni abstract ya vitu vya kufikirika, vikasemwa na vikaja kutokea kweli. Lengo la kuileta mada hii ni tusidharau watu, wala tusidharau kauli za baadhi ya watu, zina nguvu ya kuumba!.

Kwa sisi Wakristu, kuna mahali Bwana wetu Yesu Kristo, ametufundisha "Ombeni Mtapewa", Tafuteni Nitapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa"

Anaendelea kufundisha kuwa jambo lolote utakalo omba kwa Baba yangu, kwa jina langu, utapewa, lakini kwa sababu jf ni ukumbi wa dini zote, naomba kuwajulisha kuwa Mungu sio wa dini yoyote, Mungu hana dini, wala hakuna Mungu wa Wakristo, Mungu wa Waislamu, miungu ya Wahindu, Wapagani na wengine wote, Mungu ni mmoja tuu, omnipotent, omnipresent, na omniscience.

Kuna watu waliaminishwa na mafundisho ya dini zao kuwa Mungu yuko juu mbinguni, ameketi kwenye kiti chake cha enzi huko mawinguni, na kwamba mbinguni au peponi ni juu mawinguni. It's not true.

Mungu yuko ndani yetu ndani ya kila binadamu haijalishi ni wa dini gani, baada tuu ya kuumbwa kwa udongo Mungu alitupulizia ile pumzi ya uhai, pumzi ile, life force, ndio yenye Umungu ndani yake.

Hivyo sii kweli mbinguni ni kule juu, mbinguni na duniani ni hapa hapa, ila hii dunia tuliyopo sasa ni ulimwengu wa mwili, na kuna ulimwengu wa Roho, huko ndiko mbinguni, peponi na motoni.

Hivyo ili kuomba chochote kwa Mungu, unaweza kutazama popote sio lazima juu, na unaweza kuomba chochote kwa Mungu bila kulitaja jina lolote na ukapewa!.

Hii maana yake, Mungu ni msikivu sana, ukiwaza tuu kuwa unataka jambo fulani, Mungu tayari anakuwa amesikia, hivyo kuomba kwa kauli hata kwa kuandika tuu popote, kwenye simu, kwenye SMS, kwenye mitandao ya kijamii, etc, huko ni kuliongezea tuu nguvu hilo jambo lako.

Je wajua kuwa baadhi ya kauli za baadhi ya watu zina nguvu ya kuumba?. Niulize mimi!. Mwezi June mwaka 2008, kuna mtu alipandisha uzi humu JF, kuhusu uendeshaji wangu wa piki piki, kwenye uzi huo, kulitolewa kauli mbaya kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki na kuhusishwa na ajali!, huwezi amini mwezi uliofuata, mwezi Julai, nilikula mziga wa kwanza, na mwezi August nikala mziga wa pili wa haja!. Lile bandiko la mwanzo kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki, likafutwa ndipo bandiko la ajali yangu ya pikipiki likapandishwa Pascal Mayalla apata ajali..... hivyo huu ni uthibitisho kuwa kuna baadhi ya kauli huumba!. Nimeanza kuendesha pikipiki 1993, hivyo hiyo 2008 ni miaka 15!, huo ndio ulikuwa uendeshaji wangu na sikuwahi kipata ajali!. Ila baada ya watu wenye kauli za kuumba, kuandika humu JF kuwa naendesha mbio pikipiki nitapata ajali, kauli hizo ziliniumbia hiyo ajali na kweli nikapata ajali!.

Hivyo amini usiamini kauli huumba?. Angalia baadhi ya kauli hizi ziliumba nini?. Laiti wahusika waliotajwa kwenye kauli hizi, wangezingatia haya yaliyosemwa, yaani kauli umba hizi zingesikizwa, labda matokeo yangekuwa ni mengine...

Binadamu tuna mtindo wa kuheshimu hoja zinazotolewa na watu muhimu kwenye jamii na kudharau watu ambao ni nobody. Kwa vile kauli hizi zilitolewa na mtu ambaye ni nobody, no one paid any attention kwa kauli hizi, mpaka pale kauli hizi zilipoumba ndipo watu angalau wakafahamu, lakini very unfortunately, walengwa wa kauli hizi, kama wangezingatia hoja za kauli hizo, labda baadhi yao wangeliwepo hadi leo!.

Naomba nianze na tukio la hivi karibuni.
Mfano Spika JYN, baada ya kuusoma uzi huu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Iwapo JYP angesoma bandiko hilo na kuamua kutogombea Uspika Kwa term nyingine, angeondoka Uspika kwa kuagwa kwa heshima na sio kwa fedheha kama alivyoondoka!.

Hata sasa Spika Tulia, anaweza asijue kuwa usikute yeye kupata Uspika huu alionao sasa ulitokana na kauli ya kwenye bandiko hilo!.

Mwaka 2014, humu JF, kulipandishwa bandiko hili
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, by that time, JPM wala hakujua kuwa atakuja kugombea urais.

Muda wa kuchukua fomu za urais CCM ulipowadia JPM alijitokeza kuchukua fomu kwa ku beep tuu, simu ikaitika!.

Hivyo JPM alikuja kuupata urais wa JMT akijijua ni yeye ndiye aliye u beep urais akaupata, bila kujua kuna watu waliishamtolea kauli za kumuumbia urais wa JMT!.

Hata hoja ya udikiteta, baadhi yetu bila kujijua kumuita mtu fulani ni Dikiteta, kumbe ndio tumemuumbia huo udikiteta!. Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

Amini usiamini, baada ya kupindua kauli, kiukweli kabisa JPM alinza kubadilika, Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!

Hivyo nikarejea humu JF na kuwaeleza watu humu Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.
Baadae Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!

And by the time anatwaliwa from huu ulimwengu wa Mwili kwenda ulimwengu wa Roho, he was almost a saint! Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

The same applies to urais wa Samia, hakuna mtu yoyote alijua kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufa akiwa madarakani!, hivyo siku zote Makamo wa rais alikuwa anateuliwa tuu bila kumhesabia anaweza kuja kuwa rais wa JMT kwasababu hakuna aliyewahi kufikiri rais wetu anaweza kufa!.

Hivyo naamini hata wakati Samia ni Makamo wa JPM, hakuwahi kuwaza kuwa kuna siku JPM anaweza kuitwa kwa Baba yake na yeye kuwa rais wa JMT!, hivyo ilivyotokea JPM akaitwa Baba yake na Samia kawa rais, watu wote wanajua imetokea tuu, ni mipango ya Mungu, lakini hakuna watu wanaojua kumbe kuna watu, walitoa kauli zenye nguvu ya kuumba, waliomuomba Mungu, wakamuumbia urais wa JMT ili Samia awe rais na kweli Mungu akasikia hivyo kauli hizo zikamuumbia Samia urais, hivyo usikute hata Samia mwenyewe anajihesabu amekuwa rais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, kumbe hajui sio kudra tuu, kuna watu waliomba, na wakapewa!.

Kwanza anza kuangalia ni lini watu walianza kumspot Mama Samia, mimi nilimspot 2010 New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

Kisha 2015 Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Then Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
na hili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Naamini kama JPM angesoma hapa, halafu akaamua tangu ile ile ,2020 angempisha Samia, you never know by now labda...

Hitimisho
Kulikamilisha bandiko na kukuacha na burudani ya easy Sunday, naomba nikuache na kibao hiki cha DDC Mlimani, wana Sikinde ngoma ya ukae, kiitwacho "Utu ni Tabia Njema na Wala Sio Pesa"'

Mtunzi ni Shabani Dede, Mwimbaji ni Cosmas Thobias Chidumule, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni
"Nimekumbuka yangu Dunia"
"Maneno Baba alio niambia"
"Fukara Hapendezi mbele za watu hata kidogo"
" Lolote asemalo wao watacheka"
"Na kumuona bure tena hayawani"
Sasa nini maana watadharau na kupuuza"
Chorus
"Utu ni Tabia Njema na wala sio pesa" X 2
Haja ya Mja hunena muungwana ni kitendo
"Dharau Haifai na tena mbaya sana"
"Mtu muone kama mtu sio mpaka awe na kitu"

When you are nobody, hata ukisema kitu, hakitiliwi maanani, natoa wito kwa viongozi wetu, lisemwalo lipo, kama halipo linakuja, mkishauriwa kitu hata na mtu mdogo, ambaye ni nobody,
hakuna ubaya, sio lazima kufuata kila ushauri, ila ni muhimu kuuzingatia ushauri wowote wenye logic ndani yake, unasaidia, unalisaidia taifa na besides everything, unaokoa na unaponya!.

Wasalaam

Paskali.
P umeomba umepewa na kufunguliwa

Hongera
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa kuendelea na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, natoa wito kwa viongozi wetu, wawe wanasikiliza kauli za watu wadogo na wa kawaida kama akina sisi, baadhi yetu japo we are nobodies lakini baadhi ya kauli zetu ni very powerful, tukisikilizwa sio tuu tutawasaidia sana, bali pia tutawaepusha na mengi na kulisaidia taifa kwa kuliumbia mema, kwani baadhi ya kauli zetu zina powers za uumbaji na huumba!.

Siku za Jumapili nitakuwa nikipandisha threads za mambo ya powers za imani, kauli na wishes ili kuwajengea watu uwezo wa kutumia nguvu iliyo ndani yao kufanya mambo huku tukiikamilisha Easy Sunday, at easy kwa kuainisha baadhi ya kauli ambazo ni very powerful zenye powers zilitolewa kuzungumzia mambo mbalimbali na kauli hizo zikaja kuyaumba hayo mambo yaliyozungumzwa na yakatokea kweli.

Hivyo ukiwa na kitu unakihitaji unapaswa kukitafuta ili ukipate, ukiwa na mahitaji unaomba ili upewe na ukienda mahali ukakuta milango imefungwa, bisha hodi utafunguliwa. Na ukibisha hodi usipofunguliwa au mlango mmoja ukifungwa, mlango mwingine unafunguka. Ili mtu ufanikiwe ni lazima utafute.

Mungu yuko ndani yetu ndani ya kila binadamu haijalishi ni wa dini gani, baada tuu ya kuumbwa kwa udongo Mungu alitupulizia ile pumzi ya uhai, pumzi ile, life force, ndio yenye Umungu ndani yake.

Hivyo ili kuomba chochote kwa Mungu, unaweza kutazama popote sio lazima juu, na unaweza kuomba chochote kwa Mungu bila kulitaja jina lolote na ukapewa!.

Hii maana yake, Mungu ni msikivu sana, ukiwaza tuu kuwa unataka jambo fulani, Mungu tayari anakuwa amesikia, hivyo kuomba kwa kauli hata kwa kuandika tuu popote, kwenye simu, kwenye SMS, kwenye mitandao ya kijamii, etc, huko ni kuliongezea tuu nguvu hilo jambo lako.

When you are nobody, hata ukisema kitu, hakitiliwi maanani, natoa wito kwa viongozi wetu, lisemwalo lipo, kama halipo linakuja, mkishauriwa kitu hata na mtu mdogo, ambaye ni nobody,
hakuna ubaya, sio lazima kufuata kila ushauri, ila ni muhimu kuuzingatia ushauri wowote wenye logic ndani yake, unasaidia, unalisaidia taifa na besides everything, unaokoa na unaponya!.

Wasalaam

Paskali.
Today is the day
Tumuombee mwanaJF Pascal Mayalla apitishwe

Wote tuseme Amen!
Mkuu Yahana Mbatizaji, johnthebaptist , amen, amen!.
Hili jambo nimelianzia hapa
Nikakumbana na Kikwazo cha kwanza hapa Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie
Nikatoa ushauri kwa chama changu kuhusu EALA Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo
Kazi ya Uelimishaji Umma kuhusu EAC inaendelea Ijue Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Fursa za Mtangamano
Tukaitwa Dodoma kuhojiwa, huko nikakutana na A shock of my life, furaha yageuka shubiri. Be good to people on your way up, you might meet them on your way down, mwenzenu leo yamenikuta!
Sasa leo ndio kikao cha CC kuchuja majina, hivyo sala zenu zinahitajika sana kuliko wakati mwingine wowote!.
Mungu Nisaidie!.
P
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa kuendelea na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, natoa wito kwa viongozi wetu, wawe wanasikiliza kauli za watu wadogo na wa kawaida kama akina sisi, baadhi yetu japo we are nobodies lakini baadhi ya kauli zetu ni very powerful, tukisikilizwa sio tuu tutawasaidia sana, bali pia tutawaepusha na mengi na kulisaidia taifa kwa kuliumbia mema, kwani baadhi ya kauli zetu zina powers za uumbaji na huumba!.

Siku za Jumapili nitakuwa nikipandisha threads za mambo ya powers za imani, kauli na wishes ili kuwajengea watu uwezo wa kutumia nguvu iliyo ndani yao kufanya mambo huku tukiikamilisha Easy Sunday, at easy kwa kuainisha baadhi ya kauli ambazo ni very powerful zenye powers zilitolewa kuzungumzia mambo mbalimbali na kauli hizo zikaja kuyaumba hayo mambo yaliyozungumzwa na yakatokea kweli.

Mada hii ni abstract ya vitu vya kufikirika, vikasemwa na vikaja kutokea kweli. Lengo la kuileta mada hii ni tusidharau watu, wala tusidharau kauli za baadhi ya watu, zina nguvu ya kuumba!.

Kwa sisi Wakristu, kuna mahali Bwana wetu Yesu Kristo, ametufundisha "Ombeni Mtapewa", Tafuteni Nitapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa"

Hivyo ukiwa na kitu unakihitaji unapaswa kukitafuta ili ukipate, ukiwa na mahitaji unaomba ili upewe na ukienda mahali ukakuta milango imefungwa, bisha hodi utafunguliwa. Na ukibisha hodi usipofunguliwa au mlango mmoja ukifungwa, mlango mwingine unafunguka. Ili mtu ufanikiwe ni lazima utafute.

Bwana Yesu anaendelea kufundisha kuwa jambo lolote utakalo omba kwa Baba yangu, kwa jina langu, utapewa, lakini kwa sababu jf ni ukumbi wa dini zote, naomba kuwajulisha kuwa Mungu sio wa dini yoyote, Mungu hana dini, wala hakuna Mungu wa Wakristo, Mungu wa Waislamu, miungu ya Wahindu, Wapagani na wengine wote, Mungu ni mmoja tuu, omnipotent, omnipresent, na omniscience.

Kuna watu waliaminishwa na mafundisho ya dini zao kuwa Mungu yuko juu mbinguni, ameketi kwenye kiti chake cha enzi huko mawinguni, na kwamba mbinguni au peponi ni juu mawinguni. Hivyo wakisali na kuomba, wanatazama juu!. It's not true, Mungu ni omnipresent yupo pote!.

Mungu yuko ndani yetu ndani ya kila binadamu haijalishi ni wa dini gani, baada tuu ya kuumbwa kwa udongo Mungu alitupulizia ile pumzi ya uhai, pumzi ile, life force, ndio yenye Umungu ndani yake.

Hivyo sii kweli mbinguni ni kule juu, mbinguni na duniani ni hapa hapa, ila hii dunia tuliyopo sasa ni ulimwengu wa mwili, na kuna ulimwengu wa Roho, huko ndiko mbinguni, peponi na motoni.

Hivyo ili kuomba chochote kwa Mungu, unaweza kutazama popote sio lazima juu, na unaweza kuomba chochote kwa Mungu bila kulitaja jina lolote na ukapewa!.

Hii maana yake, Mungu ni msikivu sana, ukiwaza tuu kuwa unataka jambo fulani, Mungu tayari anakuwa amesikia, hivyo kuomba kwa kauli hata kwa kuandika tuu popote, kwenye simu, kwenye SMS, kwenye mitandao ya kijamii, etc, huko ni kuliongezea tuu nguvu hilo jambo lako.

Je wajua kuwa baadhi ya kauli za baadhi ya watu zina nguvu ya kuumba?. Niulize mimi!. Mwezi June mwaka 2008, kuna mtu alipandisha uzi humu JF, kuhusu uendeshaji wangu wa piki piki, kwenye uzi huo, kulitolewa kauli mbaya kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki na kuhusishwa na ajali!, huwezi amini mwezi uliofuata, mwezi Julai, nilikula mziga wa kwanza, na mwezi August nikala mziga wa pili wa haja!. Lile bandiko la mwanzo kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki, likafutwa ndipo bandiko la ajali yangu ya pikipiki likapandishwa Pascal Mayalla apata ajali..... hivyo huu ni uthibitisho kuwa kuna baadhi ya kauli huumba!. Nimeanza kuendesha pikipiki 1993, hivyo hiyo 2008 ni miaka 15!, huo ndio ulikuwa uendeshaji wangu na sikuwahi kipata ajali!. Ila baada ya watu wenye kauli za kuumba, kuandika humu JF kuwa naendesha mbio pikipiki nitapata ajali, kauli hizo ziliniumbia hiyo ajali na kweli nikapata ajali!.

Hivyo amini usiamini kauli huumba?. Angalia baadhi ya kauli hizi ziliumba nini?. Laiti wahusika waliotajwa kwenye kauli hizi, wangezingatia haya yaliyosemwa, yaani kauli umba hizi zingesikizwa, labda matokeo yangekuwa ni mengine...

Binadamu tuna mtindo wa kuheshimu hoja zinazotolewa na watu muhimu kwenye jamii na kudharau watu ambao ni nobody. Kwa vile kauli hizi zilitolewa na mtu ambaye ni nobody, no one paid any attention kwa kauli hizi, mpaka pale kauli hizi zilipoumba ndipo watu angalau wakafahamu, lakini very unfortunately, walengwa wa kauli hizi, kama wangezingatia hoja za kauli hizo, labda baadhi yao wangeliwepo hadi leo!.

Naomba nianze na tukio la hivi karibuni.
Mfano Spika JYN, baada ya kuusoma uzi huu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Iwapo JYP angesoma bandiko hilo na kuamua kutogombea Uspika Kwa term nyingine, angeondoka Uspika kwa kuagwa kwa heshima na sio kwa fedheha kama alivyoondoka!.

Hata sasa Spika Tulia, anaweza asijue kuwa usikute yeye kupata Uspika huu alionao sasa ulitokana na kauli ya kwenye bandiko hilo!.
Kauli umba ni hii

Mwaka 2014, humu JF, kulipandishwa bandiko hili
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, by that time, JPM wala hakujua kuwa atakuja kugombea urais.
Kauli umba ya kumuumbia JPM urais wa JMT ni hii

Muda wa kuchukua fomu za urais CCM ulipowadia JPM alijitokeza kuchukua fomu kwa ku beep tuu, simu ikaitika!.

Hivyo JPM alikuja kuupata urais wa JMT akijijua ni yeye ndiye aliye u beep urais akaupata, bila kujua kuna watu waliishamtolea kauli za kumuumbia urais wa JMT!.

Hata hoja ya udikiteta, baadhi yetu bila kujijua kumuita mtu fulani ni Dikiteta, kumbe ndio tumemuumbia huo udikiteta!. Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

Amini usiamini, baada ya kupindua kauli, kiukweli kabisa JPM alinza kubadilika, Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!

Hivyo nikarejea humu JF na kuwaeleza watu humu Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.
Baadae Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!

And by the time anatwaliwa from huu ulimwengu wa Mwili kwenda ulimwengu wa Roho, he was almost a saint! Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

The same applies to urais wa Samia, hakuna mtu yoyote alijua kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufa akiwa madarakani!, hivyo siku zote Makamo wa rais alikuwa anateuliwa tuu bila kumhesabia anaweza kuja kuwa rais wa JMT kwasababu hakuna aliyewahi kufikiri rais wetu anaweza kufa!.

Hivyo naamini hata wakati Samia ni Makamo wa JPM, hakuwahi kuwaza kuwa kuna siku JPM anaweza kuitwa kwa Baba yake na yeye kuwa rais wa JMT!, hivyo ilivyotokea JPM akaitwa Baba yake na Samia kawa rais, watu wote wanajua imetokea tuu, ni mipango ya Mungu, lakini hakuna watu wanaojua kumbe kuna watu, walitoa kauli zenye nguvu ya kuumba, waliomuomba Mungu, wakamuumbia urais wa JMT ili Samia awe rais na kweli Mungu akasikia hivyo kauli hizo zikamuumbia Samia urais, hivyo usikute hata Samia mwenyewe anajihesabu amekuwa rais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, kumbe hajui sio kudra tuu, kuna watu waliomba, na wakapewa!.

Kwanza anza kuangalia ni lini watu walianza kumspot Mama Samia, mimi nilimspot 2010 New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

Bandiko hili ni la 2010, angalia hiyo 2010 tulisema nini kumhusu Samia, na nini kilikuja kutokea... mkiambiwa baadhi ya kauli zinaumba, mjue ni kweli kauli huumba!.

Kisha 2015 Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
Kauli Umba ya kuunda VP mwananke kwa Tanzania

Tanzania ilipata VP, mwanamke kwa mara ya kwanza, baada ya uchaguzi wa 2015, kuna wengi wanadhani ilijitokea tuu, Tanzania kuwa na VP mwanamke!, hawajui kuwa huo u VP wa mwanamke, kuna watu wenye kauli zenye powers za kuumba, walitoa kauli za kutaka tupate VP mwanamke, toka Machi 8, 2015!.

Then Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

Hii ni kauli umba ya kumuumbia mtu urais wa JMT.

na hili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Angalia kwa makini hii kauli umba hapa iliumba nini?

Hapa kuna mtu ameumbiwa urais wa JMT kwa kauli tuu!.

Naamini kama JPM angesoma hapa, halafu akaamua tangu ile ile ,2020 angempisha Samia, you never know by now labda...

Hitimisho
Kulikamilisha bandiko na kukuacha na burudani ya easy Sunday, naomba nikuache na kibao hiki cha DDC Mlimani, wana Sikinde ngoma ya ukae, kiitwacho "Utu ni Tabia Njema na Wala Sio Pesa"'

Mtunzi ni Shabani Dede, Mwimbaji ni Cosmas Thobias Chidumule, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni
"Nimekumbuka yangu Dunia"
"Maneno Baba alio niambia"
"Fukara Hapendezi mbele za watu hata kidogo"
" Lolote asemalo wao watacheka"
"Na kumuona bure tena hayawani"
Sasa nini maana watadharau na kupuuza"
Chorus
"Utu ni Tabia Njema na wala sio pesa" X 2
Haja ya Mja hunena muungwana ni kitendo
"Dharau Haifai na tena mbaya sana"
"Mtu muone kama mtu sio mpaka awe na kitu"

When you are nobody, hata ukisema kitu, hakitiliwi maanani, natoa wito kwa viongozi wetu, lisemwalo lipo, kama halipo linakuja, mkishauriwa kitu hata na mtu mdogo, ambaye ni nobody,
hakuna ubaya, sio lazima kufuata kila ushauri, ila ni muhimu kuuzingatia ushauri wowote wenye logic ndani yake, unasaidia, unalisaidia taifa na besides everything, unaokoa na unaponya!.

Wasalaam

Paskali.

Kaka Paskali,
Asante kwa bandiko zuri Kwa nyongeza-

Kuna mtu aliewahi kumtabiria rais wa awamu ya tano kufa, ndiyo alikuwepo- Sheikh Yahya.

Kuna mtu amewahi kumtabiria Rais wa awamu ya 6 kuwa Rais wa term moja na mwanamke? Ndio, alikuwepo-Sheikh Yahya.
 
Wanabodi,

Leo nimepata tena fursa kuendelea na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, natoa wito kwa viongozi wetu, wawe wanasikiliza kauli za watu wadogo na wa kawaida kama akina sisi, baadhi yetu japo we are nobodies lakini baadhi ya kauli zetu ni very powerful, tukisikilizwa sio tuu tutawasaidia sana, bali pia tutawaepusha na mengi na kulisaidia taifa kwa kuliumbia mema, kwani baadhi ya kauli zetu zina powers za uumbaji na huumba!.

Siku za Jumapili nitakuwa nikipandisha threads za mambo ya powers za imani, kauli na wishes ili kuwajengea watu uwezo wa kutumia nguvu iliyo ndani yao kufanya mambo huku tukiikamilisha Easy Sunday, at easy kwa kuainisha baadhi ya kauli ambazo ni very powerful zenye powers zilitolewa kuzungumzia mambo mbalimbali na kauli hizo zikaja kuyaumba hayo mambo yaliyozungumzwa na yakatokea kweli.

Mada hii ni abstract ya vitu vya kufikirika, vikasemwa na vikaja kutokea kweli. Lengo la kuileta mada hii ni tusidharau watu, wala tusidharau kauli za baadhi ya watu, zina nguvu ya kuumba!.

Kwa sisi Wakristu, kuna mahali Bwana wetu Yesu Kristo, ametufundisha "Ombeni Mtapewa", Tafuteni Nitapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa"

Hivyo ukiwa na kitu unakihitaji unapaswa kukitafuta ili ukipate, ukiwa na mahitaji unaomba ili upewe na ukienda mahali ukakuta milango imefungwa, bisha hodi utafunguliwa. Na ukibisha hodi usipofunguliwa au mlango mmoja ukifungwa, mlango mwingine unafunguka. Ili mtu ufanikiwe ni lazima utafute.

Bwana Yesu anaendelea kufundisha kuwa jambo lolote utakalo omba kwa Baba yangu, kwa jina langu, utapewa, lakini kwa sababu jf ni ukumbi wa dini zote, naomba kuwajulisha kuwa Mungu sio wa dini yoyote, Mungu hana dini, wala hakuna Mungu wa Wakristo, Mungu wa Waislamu, miungu ya Wahindu, Wapagani na wengine wote, Mungu ni mmoja tuu, omnipotent, omnipresent, na omniscience.

Kuna watu waliaminishwa na mafundisho ya dini zao kuwa Mungu yuko juu mbinguni, ameketi kwenye kiti chake cha enzi huko mawinguni, na kwamba mbinguni au peponi ni juu mawinguni. Hivyo wakisali na kuomba, wanatazama juu!. It's not true, Mungu ni omnipresent yupo pote!.

Mungu yuko ndani yetu ndani ya kila binadamu haijalishi ni wa dini gani, baada tuu ya kuumbwa kwa udongo Mungu alitupulizia ile pumzi ya uhai, pumzi ile, life force, ndio yenye Umungu ndani yake.

Hivyo sii kweli mbinguni ni kule juu, mbinguni na duniani ni hapa hapa, ila hii dunia tuliyopo sasa ni ulimwengu wa mwili, na kuna ulimwengu wa Roho, huko ndiko mbinguni, peponi na motoni.

Hivyo ili kuomba chochote kwa Mungu, unaweza kutazama popote sio lazima juu, na unaweza kuomba chochote kwa Mungu bila kulitaja jina lolote na ukapewa!.

Hii maana yake, Mungu ni msikivu sana, ukiwaza tuu kuwa unataka jambo fulani, Mungu tayari anakuwa amesikia, hivyo kuomba kwa kauli hata kwa kuandika tuu popote, kwenye simu, kwenye SMS, kwenye mitandao ya kijamii, etc, huko ni kuliongezea tuu nguvu hilo jambo lako.

Je wajua kuwa baadhi ya kauli za baadhi ya watu zina nguvu ya kuumba?. Niulize mimi!. Mwezi June mwaka 2008, kuna mtu alipandisha uzi humu JF, kuhusu uendeshaji wangu wa piki piki, kwenye uzi huo, kulitolewa kauli mbaya kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki na kuhusishwa na ajali!, huwezi amini mwezi uliofuata, mwezi Julai, nilikula mziga wa kwanza, na mwezi August nikala mziga wa pili wa haja!. Lile bandiko la mwanzo kuhusu uendeshaji wangu wa pikipiki, likafutwa ndipo bandiko la ajali yangu ya pikipiki likapandishwa Pascal Mayalla apata ajali..... hivyo huu ni uthibitisho kuwa kuna baadhi ya kauli huumba!. Nimeanza kuendesha pikipiki 1993, hivyo hiyo 2008 ni miaka 15!, huo ndio ulikuwa uendeshaji wangu na sikuwahi kipata ajali!. Ila baada ya watu wenye kauli za kuumba, kuandika humu JF kuwa naendesha mbio pikipiki nitapata ajali, kauli hizo ziliniumbia hiyo ajali na kweli nikapata ajali!.

Hivyo amini usiamini kauli huumba?. Angalia baadhi ya kauli hizi ziliumba nini?. Laiti wahusika waliotajwa kwenye kauli hizi, wangezingatia haya yaliyosemwa, yaani kauli umba hizi zingesikizwa, labda matokeo yangekuwa ni mengine...

Binadamu tuna mtindo wa kuheshimu hoja zinazotolewa na watu muhimu kwenye jamii na kudharau watu ambao ni nobody. Kwa vile kauli hizi zilitolewa na mtu ambaye ni nobody, no one paid any attention kwa kauli hizi, mpaka pale kauli hizi zilipoumba ndipo watu angalau wakafahamu, lakini very unfortunately, walengwa wa kauli hizi, kama wangezingatia hoja za kauli hizo, labda baadhi yao wangeliwepo hadi leo!.

Naomba nianze na tukio la hivi karibuni.
Mfano Spika JYN, baada ya kuusoma uzi huu Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Iwapo JYP angesoma bandiko hilo na kuamua kutogombea Uspika Kwa term nyingine, angeondoka Uspika kwa kuagwa kwa heshima na sio kwa fedheha kama alivyoondoka!.

Hata sasa Spika Tulia, anaweza asijue kuwa usikute yeye kupata Uspika huu alionao sasa ulitokana na kauli ya kwenye bandiko hilo!.
Kauli umba ni hii

Mwaka 2014, humu JF, kulipandishwa bandiko hili
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, by that time, JPM wala hakujua kuwa atakuja kugombea urais.
Kauli umba ya kumuumbia JPM urais wa JMT ni hii

Muda wa kuchukua fomu za urais CCM ulipowadia JPM alijitokeza kuchukua fomu kwa ku beep tuu, simu ikaitika!.

Hivyo JPM alikuja kuupata urais wa JMT akijijua ni yeye ndiye aliye u beep urais akaupata, bila kujua kuna watu waliishamtolea kauli za kumuumbia urais wa JMT!.

Hata hoja ya udikiteta, baadhi yetu bila kujijua kumuita mtu fulani ni Dikiteta, kumbe ndio tumemuumbia huo udikiteta!. Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

Amini usiamini, baada ya kupindua kauli, kiukweli kabisa JPM alinza kubadilika, Magufuli is Getting Better and Better, He is Changing for The Better!. Hongera Sana!

Hivyo nikarejea humu JF na kuwaeleza watu humu Trends, Visions: Watanzania msitatizwe na kauli zake kuhusu Katiba, baada ya Nyerere, ni Magufuli ndiye ataacha legacy kubwa ikiwemo Katiba Mpya!.
Baadae Rais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!

And by the time anatwaliwa from huu ulimwengu wa Mwili kwenda ulimwengu wa Roho, he was almost a saint! Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

The same applies to urais wa Samia, hakuna mtu yoyote alijua kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufa akiwa madarakani!, hivyo siku zote Makamo wa rais alikuwa anateuliwa tuu bila kumhesabia anaweza kuja kuwa rais wa JMT kwasababu hakuna aliyewahi kufikiri rais wetu anaweza kufa!.

Hivyo naamini hata wakati Samia ni Makamo wa JPM, hakuwahi kuwaza kuwa kuna siku JPM anaweza kuitwa kwa Baba yake na yeye kuwa rais wa JMT!, hivyo ilivyotokea JPM akaitwa Baba yake na Samia kawa rais, watu wote wanajua imetokea tuu, ni mipango ya Mungu, lakini hakuna watu wanaojua kumbe kuna watu, walitoa kauli zenye nguvu ya kuumba, waliomuomba Mungu, wakamuumbia urais wa JMT ili Samia awe rais na kweli Mungu akasikia hivyo kauli hizo zikamuumbia Samia urais, hivyo usikute hata Samia mwenyewe anajihesabu amekuwa rais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, kumbe hajui sio kudra tuu, kuna watu waliomba, na wakapewa!.

Kwanza anza kuangalia ni lini watu walianza kumspot Mama Samia, mimi nilimspot 2010 New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

Bandiko hili ni la 2010, angalia hiyo 2010 tulisema nini kumhusu Samia, na nini kilikuja kutokea... mkiambiwa baadhi ya kauli zinaumba, mjue ni kweli kauli huumba!.

Kisha 2015 Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
Kauli Umba ya kuunda VP mwananke kwa Tanzania

Tanzania ilipata VP, mwanamke kwa mara ya kwanza, baada ya uchaguzi wa 2015, kuna wengi wanadhani ilijitokea tuu, Tanzania kuwa na VP mwanamke!, hawajui kuwa huo u VP wa mwanamke, kuna watu wenye kauli zenye powers za kuumba, walitoa kauli za kutaka tupate VP mwanamke, toka Machi 8, 2015!.

Then Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

Hii ni kauli umba ya kumuumbia mtu urais wa JMT.

na hili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Angalia kwa makini hii kauli umba hapa iliumba nini?

Hapa kuna mtu ameumbiwa urais wa JMT kwa kauli tuu!.

Naamini kama JPM angesoma hapa, halafu akaamua tangu ile ile ,2020 angempisha Samia, you never know by now labda...

Hitimisho
Kulikamilisha bandiko na kukuacha na burudani ya easy Sunday, naomba nikuache na kibao hiki cha DDC Mlimani, wana Sikinde ngoma ya ukae, kiitwacho "Utu ni Tabia Njema na Wala Sio Pesa"'

Mtunzi ni Shabani Dede, Mwimbaji ni Cosmas Thobias Chidumule, baadhi ya maneno ya wimbo huo ni
"Nimekumbuka yangu Dunia"
"Maneno Baba alio niambia"
"Fukara Hapendezi mbele za watu hata kidogo"
" Lolote asemalo wao watacheka"
"Na kumuona bure tena hayawani"
Sasa nini maana watadharau na kupuuza"
Chorus
"Utu ni Tabia Njema na wala sio pesa" X 2
Haja ya Mja hunena muungwana ni kitendo
"Dharau Haifai na tena mbaya sana"
"Mtu muone kama mtu sio mpaka awe na kitu"

When you are nobody, hata ukisema kitu, hakitiliwi maanani, natoa wito kwa viongozi wetu, lisemwalo lipo, kama halipo linakuja, mkishauriwa kitu hata na mtu mdogo, ambaye ni nobody,
hakuna ubaya, sio lazima kufuata kila ushauri, ila ni muhimu kuuzingatia ushauri wowote wenye logic ndani yake, unasaidia, unalisaidia taifa na besides everything, unaokoa na unaponya!.

Wasalaam

Paskali.
A thought is an Energy!
Energy can never be created neither nor Destroyed...

A thought doesn't manifests into something until when it is said.

Then a WORD becomes material After which was a Thought!

Before it is a thought...there must be a DESIRE....

THAT CIRCLE goes on and on and on...

A smart leader has to speak a well laid speach..After it is well measured!

President Obama was one of SMART leaders..
He didn't take any audience for Granted...

He chosen words and place them appropriately.

Just a complement to what you said Brother Paskali.
 
Kaka Paskali,
Asante kwa bandiko zuri Kwa nyongeza-

Kuna mtu aliewahi kumtabiria rais wa awamu ya tano kufa, ndiyo alikuwepo- Sheikh Yahya.

Kuna mtu amewahi kumtabiria Rais wa awamu ya 6 kuwa Rais wa term moja na mwanamke? Ndio, alikuwepo-Sheikh Yahya.
Ni kweli kuhusu utabiri huo, hili la rais mwanamke ni kweli limetokea, sasa rais ni mwanamke, Samia, na hata hoja ya urais wa Samia kuwa ni wa term moja, hata mimi pia niliwahi kuambiwa na nikasema humu Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!

Utabiri wa Sheikh Yahya ulisema baada ya rais mwanamke kukaa term moja, upinzani utashika nchi, but its very unfortunately Tanzania hatuna kabisa opiinzani wa kuiondoa CCM na kushika dola.

Mimi kwa estimates zangu, upinzani utaanza tena kufurukuta uchaguzi wa 2030!. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
 
Ni kweli kuhusu utabiri huo, hili la rais mwanamke ni kweli limetokea, sasa rais ni mwanamke, Samia, na hata hoja ya urais wa Samia kuwa ni wa term moja, hata mimi pia niliwahi kuambiwa na nikasema humu Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!

Utabiri wa Sheikh Yahya ulisema baada ya rais mwanamke kukaa term moja, upinzani utashika nchi, but its very unfortunately Tanzania hatuna kabisa opiinzani wa kuiondoa CCM na kushika dola.

Mimi kwa estimates zangu, upinzani utaanza tena kufurukuta uchaguzi wa 2030!. Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
Lakini umeshasema tusipuuzie maono ya watu tusiowajua, ingawa siamini sana kwenye utabiri lakini to some extent naona consistency ya matukio kwa sehemu fulani, pengine ndo impossibilities zinakuwa possible ingawa ndo hvyo tena mambo ya dhana, kuyasimamia ni ngumu.
 
A thought is an Energy!
Energy can never be created neither nor Destroyed...

A thought doesn't manifests into something until when it is said.

Then a WORD becomes material After which was a Thought!

Before it is a thought...there must be a DESIRE....

THAT CIRCLE goes on and on and on...

A smart leader has to speak a well laid speach..After it is well measured!

President Obama was one of SMART leaders..
He didn't take any audience for Granted...

He chosen words and place them appropriately.

Just a complement to what you said Brother Paskali.
Mkuu Snowflake, kwanza asante sana for complementing this, mimi nimesema kauli huumba, sikujua kumbe the power behind kauli is the power of thought.
Thanks for this.
Nimefarijika sana kuona ma philosophers humu jf tukiongezeka.

Thanks.
P.
 
Wanabodi,

leo nikizungumzia kitu kinachoirwa "kauli umba". Kuna hii misemo "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba?. Shuhudia jinsi kauli umba zinavyoumba!

Wasalaam

Paskali.
Kazi ya kutoa kauli umba inaendelea the latest kauli umba ni hii, Ikitokea umeshauri mtu avae Hijab nyekundu, huyo mtu akavaa, utajisikiaje? Kwa hili, Big Up Rais Samia na Serikali yako kwa kuwa wasikivu
Wanabodi

Swali lenyewe ambalo ni swali la hypothetical situation ni hili "Ikitokea kuna event fulani ambayo inakwenda kutokea kesho ambapo mgeni rasmi ni kiongozi fulani Mkuu wa nchi ambaye ni rais wa nchi, kwa vile huyu ni rais wa nchi, nyinyi wananchi wote mnamfahamu, ila yeye hawezi kuwafahamu nyinyi wananchi wote hivyo wewe mwananchi wa kawaida unaamua kumshauri avalie Hijab Nyekundu na gauni la Navy Blue, atatokelezea sana!. Japo kiongozi huyu ana washauri rasmi ambao hao anawasikiliza lakini pia sisi wananchi pia tunamshauri maoni yetu kupitia njia zetu, sasa unapoona ushauri wako umefanyiwa kazi, jee ungekuwa wewe ungejisikiaje?.

Paskali
Haya wale wenye kujua kupiga hesabu za timing waangalie bandiko hili limepandishwa lini, lilishauri nini na baadae angalia hii picha
7.jpg

Hiyo Hijab ni Nyekundu!, hilo gauni ni Navy Blue!.
Wale mnaomini kwenye probability ya yumkini ya kuyumkinika aminini!, mnao amini ni just a coincidence tuu aminini!.
Mimi naendelea kusisitiza nilijisemea tuu na likatokea!.
Such an amazing coincidence inapotokea umesema jambo fulani na kweli likatokea, then hii inakuwa sio just a coincidence bali a coincidence iliyokuwa willed na powers of will, "Will Power" itokee!.
Hivyo Watanzania wenzangu, kaeni mkao wa kula, katiba mpya hiyo iko njiani kama tulivyo I will hapa!. Hongera Sana Rais Samia kwa Miaka Miwili Madarakani. Japo Umefanya Mengi, Makubwa, Mazuri, Lakini Bado! Linalowezekana Leo, Lisingoje Kesho!

P
 
Back
Top Bottom