Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama nguvu ya soda ndio inamfanya Rais anapiga magoti na kulialia basi acha tumwage soda nyingi zaidiNguvu ya soda!
Slogani imekufa kibuduHapa kazi tu
Karatu mna sifa mpaka mnaboa.Hili ni ombi langu kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema , Shughuli ya kampeni za uchaguzi katika jimbo la Karatu isitishwe , hii ni kwa sababu chama hicho kimekwishashinda uchaguzi huo kwenye jimbo hilo hata kabla ya kupiga kura , hakuna namna yoyote ya watu wa jimbo hili kukengeuka .
View attachment 1590249
View attachment 1590250View attachment 1590251
nimekuwekea video piaUnaleta picha za kuedit ,mwaka huu upinzani mtaokota makopo
Karatu wanajitambuwa mgugubalo peleka Lumumba...Unaleta picha za kuedit ,mwaka huu upinzani mtaokota makopo
shida nayoiona kwwnye uchaguzi huu ni tume. Nakata tamaa
Mbowe anaharibu chama na busara zake za kikuda.
Mkuu unakunywa bia gani? Mana akili zako kama za jiwe, natumai siyo fedhea kwako ila ni sifaUnaleta picha za kuedit ,mwaka huu upinzani mtaokota makopo
Wataokota makopo wanaokila mavumbi kwa kujipiga magoti na kujigalagaza. Rais mzima unapiga magoti na kulialia kama hayawani??Unaleta picha za kuedit ,mwaka huu upinzani mtaokota makopo
Walichoamua Mbowe na Lissu ndio kitu sahihi. Sisi watiifu ni kutekeleza tu.Mbowe anaharibu chama na busara zake za kikuda.
Hio video hapo ya Lissu ndio msimamo wa kiume sasa.
Khakha!! Mmelaaniwa nyie wauaji ma wapambe wakeAnayelia ni msaliti wa Nchi yule aliyelaaniwa
Ila Tundu Lisu ni kiboko. Aliikomalia kaulimbiu ya hapa kazi tu na ile ya tumetekeleza kwa kishindo kwa kuihusisha na matendo maovu hadi wakaacha kuzitumia. Nadhani hata kwenye ndege na meli watavifutaSlogani imekufa kibudu
Lissu ni ShujaaU
Ila Tundu Lisu ni kiboko. Aliikomalia kaulimbiu ya hapa kazi tu na ile ya tumetekeleza kwa kishindo kwa kuihusisha na matendo maovu hadi wakaacha kuzitumia. Nadhani hata kwenye ndege na meli watavifuta
Ingekuwa watu kujaa kwenye mkutano NI ushindi Basi lowasa angekuwa rais saa hiziKaratu mna sifa mpaka mnaboa.