Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
kwani Lowassa alishindwa ?Ingekuwa watu kujaa kwenye mkutano NI ushindi Basi lowasa angekuwa rais saa hizi
Hapo uliza waliojiandikisha
Uliza wanaoipenda Chadema
Usifikiri mtu kuja kwenye mkutano wako ndio anakupenda
Huo ndio ujinga was michadema