Ombi kwa Mohammed Said kuhusu Saigon Club

Ombi kwa Mohammed Said kuhusu Saigon Club

Mohammed Said tunaomba utupatie historia ya club ya Saigon na why ilikuwa influential na ilikuwaje au factors zipi zilipelekea kushuka au kufa kwake?

Je kulikuwa na social members only social clubs zingine haoa Dar apart from Saigon and later on Dar Islamic Club?
Saul,
Club ya Saigon haijafa sasa ina umri wa nusu karne.
Hatuchezi tena mpira kwa kuwa tushakuwa sisi si vijana tena.

Baada ya kutoka katika ujana club imebaki kama barza yetu.
Dar Islamic Club ni kitu mbali sana na Saigon.
 
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.

Hussein amefariki?

Kuhusu Chico nilipata habari, Allah amrehemu yeye na aturehem nasi pia.
Maalim Faiza,
Hussein yu hai na anasali sala zake hapo Manyema siku zote.
 
Aisee unajua najaribu kukufananisha , mwandiko na hoja zako, sasa ndio nimekuelewa, kumbe ni mdaslaam mwenzetu tena wa mjini sasa ndio nimethibitisha,
Cha kujiuliza mbona alikuwa akija klabuni hapa Pan Africa hakai?
 
Mlaleo,
Hilo sina hakika ila ninachojua si watu wa kupenda siasa kwa kiwango
cha majadiliano lakini sidhani kama inavunjwa baraza kwa ajili ya siasa.

Nilichokuwa na uhakika nacho ni mazungumzo ya mpira yanapendwa
mno hata kwenye Dar es Salaam Saigon Group mazungumzo mengi ni
ligi ya Uingereza na Simba na Yanga.

Kila watu wana mila yao.
Saigoni ya Sasa imebaki kijiwe cha Drafti tu kikiongozwa na Pambwe hakosi (Makosela Draw), Namkumbuka Rafiki yangu Marehemu Maneno...Na Mastory yake Lukuki nasikitika nasikitika nilichelewa kupata habari za kifo chake sababu nilikata mguu kwa muda kiasi... Ila Wamama wa Kariakoo wabaya Sana ndio kina FaizaFoxy wakamuumiza tumbo(Chango?) Masikini alifariki kwa Maumivu sana. Kuna Picha tulipiga pale iliharibika baada ya kulowana na maji... ila Hamisi Msukuma ana copy..
 
Saigoni ya Sasa imebaki kijiwe cha Drafti tu kikiongozwa na Pambwe hakosi (Makosela Draw), Namkumbuka Rafiki yangu Marehemu Maneno...Na Mastory yake Lukuki nasikitika nasikitika nilichelewa kupata habari za kifo chake sababu nilikata mguu kwa muda kiasi... Ila Wamama wa Kariakoo wabaya Sana ndio kina FaizaFoxy wakamuumiza tumbo(Chungo?) Masikini alifariki kwa Maumivu sana. Kuna Picha tulipiga pale iliharibika baada ya kulowana na maji... ila Hamisi Msukuma ana copy..

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
 
Mlaleo hivyo ndivyo tunavyoitaka club iwe tukutane tucheze draft na dhumna.
Hatujataka iwe kinyume cha hivyo.
 
Mlaleo hivyo ndivyo tunavyoitaka club iwe tukutane tucheze draft na dhumna. Hatujataka iwe kinyume cha hivyo.
Huwa siwaelewi sometimes unakuta mtu ni Imam lakini ana mdomo mchafu wa Matusi hayahadithiki why! au kijiweni ni sehemu ya kupunguzia stress...!

Kinachonifurahisha kukiwa na wazee na muda wa Swala ukifika watu hutawanyika muelekeo wa Masjid...

Ila Mwambieni Funza Yahaya aache Pombe na Awe ana Swali! na awe Msafi
 
Mumba...
Allahuma Amin.

Mumba...
Amin.
yawezekani nimeandika sivyo hiyo sentensi.

Hussein yu hai na Allah ampe maisha tawil.

Waliofariki ni Chico na Garincha..
Hussein yuko msikiti wa Manyema vipindi vyote anaswali hapo.

Humkosi.

AlhamduliLlah ala kuli hal.
 
16107211_1666563440309439_6027324159904998772_o.jpg



Kutoka kushoto katibu msaidizi wa Saigon wakati huo marehem Kitwana Mwanamboka (r.i.p) katibu Boi Risasi. Makamu mwenyekiti Juma Spencer. Na Treasurer Mussa Shagow akitoa taarifa ya fedha katika mkutano mkuu 2010
 
16107377_1666561173642999_4514705462619406046_o.jpg


Ilikuwa mwaka 2010 wanachama wa Dar es Salaam Saigon wazee wetu waliokaa mbele ya viti kutoka kulia ni katibu Boi Risasi . Mohamed Kiaratu. Mzee Abbas Sykes. Mzee Iddi Simba. Mzee smart Issa Ausi. Sheikh Zubeir na wengineo

 
Hii ni klabu hapa Dar es salaam ambayo kila Rais wa Tanzania alikuwa member (sina hakika kama huyu wa sasa, Magufuli naye ni member)

Wazee wetu na walikuwa members toka miaka hiyo sisi tunakua ya 1980's (wengine tumekuja kuiona baada ya kuhamia Kariakoo Mtaa wa sikukuu).

Mohammed Said tunaomba utupatie history ya club ya Saigon na why ilikuwa influential na ilikuwaje au factors zipi zilipelekea kushuka au kufa kwake?

Kwa nini haikuendelea kama social clubs zingine? Je wana assets na influence yao ilikuwa inaishia Dar tuu au au Dar and beyond?

Je Zanzibar kulikuwa na club similar to Saigon club?

Je bado wanafanya Khitma na kuftarisha mwezi wa Ramadhani?

Membership yao kupata nafahami ni ngumu na mpaka pewee reference, lakini je kuna restrictions zozote zile?

Kuna kipindi Iddi Simba walianzisha social club inaitwa wazawa je ilikuwa ni splinter group ya Saigon au?

Why the name Saigon?

Je kulikuwa na social members only social clubs zingine hapa Dar apart from Saigon and later on Dar Islamic Club?

Kwa nini Khitma lazima zifanyika pale kariakoo? Watu tumekuwa wengi na nafasi ndi ndogo kwa nini hizi annual events zisifanyika Mnazi Mmoja?

Je wameifanyia nini jamii? Halafu naomba unieleze what is this emotional attachment na hii club?


KLABU YA SAIGONI YAWAREHEMU WAZEE





Balozi Cisco Mtiror akisimamia ugawaji wa pilau baada ya kisomo cha kuwarehemu wazee wa Klabu ya Saigon mtaa wa Sikukuu jijini Dar Jumapili hii. Klabu hiyo ya michezo ni maarufu sana kwa watoto wa mjini ambapo wadau wengi mashuhuri waliitumia kwa kubadilishana mawazo na kucheza soka.


Mgeni rasmi katika Hitma hiyo, Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Mh. Dk. Gharib Mohamed



Mjumbe wa kamati kuu ya saigoni, Mohamed Haruni (shoto) akiwa na mwanachama mwandamizi wa saigoni Ally "Stone" Mzuzuri




Balozi Cisco akiwa na wanachama wa zamani na wa sasa wa Saigoni
 
Inasemekana RPC Mohamed Chicco alikuwa na ushirikiano mzuri sana na kunguru ni kweli, na hata mali zake nyingi kazipata kupitia hao kunguru
 
Inasemekana RPC Mohamed Chicco alikuwa na ushirikiano mzuri sana na kunguru ni kweli, na hata mali zake nyingi kazipata kupitia hao kunguru
Ebaeban,
Kuna mtu aliandika maneno mfano ya kwako kuhusu Mohamed Awadh (Chico).
Huyu ndugu yetu akaambiwa kuwa ni uungwana kutomsema maiti.

Maalim Faiza akaongezea akasema taazia huwa haijibiwi lakini lau kama unalo la
kusema ni bora ukafungua uzi mpya.
 
312cdba6edd80f087d40ae0d558d6415.jpg


Maalim mohammed said asalam alykum

Ebu naomba unisaidie maelezo ya hiyo picha manake nakuona nawe katika picha hiyo ukiwa pamoja na rais mstaafu alhaj alli hassan mwinyi.

Nimeiokoteza mahali
 
Back
Top Bottom