Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti

Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti

Ujumbe umefikia ni juu ya wahusika kuufanyia kazi. Umezungumzia hatua za kisheria na haki za kisheria walizonazo abiria elimu hii itasaidia mbeleni na kutoa fundisho kwa wamiliki badala ya kusingizia walitishwa na bunduki. Kama dreva angesema huyu mtu nampeleka kituoni hata askari aliyekuwepo angeweza kusaidia badala ya kumshusha abiria kienyeji.
Mawakili wetu waache kukimbilia kesi zenye mvuto badala yake wafungue kesi Kama hizi matukio yasijirudie.
 
Nimefikiria Jambo lakini niseme tu kama waliomkamata huyo mzee kwenye bus wanahusiana na vyombo vya dolla basi nchi iko salama kabisa labda alilengwa yeye , lakini kwani vyombo vya dolla vinaua watu ?? (Sijui)

Kama waliomkamata hawana uhusiano na vyombo vya dolla basi ni mbaya zaidi sababu hatuko salama. Kwamba pamoja na uwepo wa dolla kuna watu ambao sio dolla wanaweza kufanya kitendo cha hatari kama hicho bila kujificha yani peupe na wasikamatwe wala kujulikana!

Hii inaogopesha sana sana .

Mama Samia katoa maelekezo yake kama amiri jeshi Mkuu ni imani taarifa ya kiuchunguzi itakuja ili kutenda haki na kutupa waTZ Amani .
Kuna Dola na chama Dola. Tuwaalike "Scotland Yard" waje wachakarike kisha ripoti isifichwe tu, itolewe hadharani.
 
Wanabodi
Naomba kuanza kwa angalizo kwa mode kuhusu kuchanganya lugha.

Japo sasa jf ni mainstream media ukichanganya lugha kwenye heading mode ana edit, neno "Mama Don't Preach, practice what you preach " ukilibadili kwa Kiswahili linapoteza maana.
Update:
Mode tayari kafanya yake!
Heading imebadishwa imekuwa hivi
"Rais Samia utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno pekee" yaani sasa mwananchi anatoa order kwa Rais wa nchi!. Yaani mimi namuamrisha Rais Samia!. Mode please!.

Jf ni user generated forum, na social media, kama user ametumia maneno ya tamathali za semi za kizungu, please mode, msizibadili! tamathali za semi za kizungu kuwa za Kiwahili!. Acheni members watumie maneno they are comfortable with!.
Na kama ikibidi sana ni lazima kubadili, then please change cautiously angalau basi iwe
"Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti "
Hili linakuwa ni ombi na sio amri!

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa.
Leo mada kuu ni kumshukuru Rais Samia kwa kuhubiri haki, yaani preaching kuhusu haki, tunamweleza tunajua kuwa ana nia njema na thabiti ya dhati watanzania wapate, haki zao, kama ni kuhubiri tuu, amehubiri sana!
Tunamshauri sasa kuhubiri tuu itoshe, "Mama Don't Preach, Practice What You Preach!"
Hili ni andiko la imani yangu kwa Rais Samia.

Wanabodi,
Nimelipitia bandiko hili na kuumia sana kwa kilichotokea hadi kifo cha huyu Mzee Kibao wa Chadema, ameuliwa kwasababu wananchi hawajui haki zao!. Kama Watanzania wangekuwa wanajua haki zao,
1. Mzee Kibao asingekubali kukamatwa na watu ambao hawatambuliki.
2. Kama Watanzania wangekuwa wanajua haki zao, dereva wa basi la Tashrif asinge kubali kusimamishwa na watu wasiotambulika.
3. Kama Watanzania wangekuwa wanajua haki zao, dereva wa Tashrif angekuwa anajua ile tiketi ya abiria, ni mkataba wa kisheria wa kumshusha abiria wake kituo alicholipia, dereva ana wajibu wa kisheria, duty of care, kuhakikisha usalama wa abiria wake na mali zake kwenye butt ya gari yake!. Mali pekee ambayo ni responsibility ya abiria ni mzigo wake wa mkononi, Hand luggage anaoingia nao ndani ya basi, ndio "abiria chunga mzigo wako" lakini jukumu la abiria kufika salama anapokwenda, dereva wa basi ana wajibu wa kisheria kumfikisha salama.
4. Tanzania hatuna wanasheria mahiri wanoujua haki, tungekuwa nao, familia ya Kibao, inalifungulia basi la Tashrif kesi ya madai ya criminal negligence kupitia vicarious liability kusababisha kifo cha abiria wake!.
5. Watanzania wangekuwa wanajua haki zao, abiria tuu wa kawaida akiwemo abiria aliyekaa seat no. 1 ya basi hilo ambaye ni traffic police, alikuwa na uwezo wa kuwabaini majambazi hao kuwa sio askari police wa kweli na kuwahamasisha abiria wengine wote wasikubali abiria mwenzao atekwe!.
6. Watanzania wangezijua haki zao, wangejua Police haruhusiwi kumkamata mtu yoyote bila kwanza kujitambulisha yeye ni nani na ametokea kituo gani kwa kuonyesha kitambulisho cha polisi.
7. Watanzania wangejua haki zao, wangejua mtu anayekamatwa ana haki ya kusoma number ya kitambulisho na kuihakiki number ya askari police kwenye mfuko wa kushoto wa nguo ya polisi.
8. Wakija polisi ambao ni askari kanzu, hawa hawana uniform hivyo hawavai numbers, hawaruhusiwi kumkamata mtuhumiwa bila kuandamana na polisi wenye uniforms!.
8. Mtu yeyote kabla hajakamatwa lazima awe na arrest warrant na lazima aripoti ofisi ya serikali ya mtaa husika!, aonyeshe arrest warrant atasibdikizwa na mtendaji wa mtaa kuja kukukamata.
10. Baada ya polisi kujitambulisha kwa kuonyesha kitambulisho, kitu cha pili ni kuonyesha arrest warrant na kukumbia
11. "Uko chini ya ulinzi, lazima aseme unakamatwa kwa kutuhumiwa kwa kosa gani?.
12. Polisi atatamka maneno haya " You have the right to remain silent, anything you say may be used for you or against you before the court of law"
Hii maana yake una haki ya kunyamaza kimya, chochote utakachosema kinaweza kutumiwa kama ushahidi wa kukusaidia au kukuangamiza mahakamani!.
13. Kitu cha tatu atakueleza "you have the right to legal representation", una haki ya uwakilishi wa kisheria.
14. Hapo atatoa pingu na kukufunga.
15. Kisha polisi hao watawaeleza hao mashuhuda wanakupeleka kituo gani ili ndugu zako wakufuatilie!.

Na ukifikishwa kituoni kabla hujaandikishwa maelezo unaaelezwa haki zako ikiwemo haki ya legal representation.
Hitimisho
Haki hizi zikifundishwa kwa wananchi, 'wasiojulikana' watapungua, watabaki tuu wale wa pyu pyu kama wa Lissu.

Sote tunajua kwa kauli na matendo, Rais Samia ana nia thabiti na ya dhati watu wapate haki zao, amekuwa akilihubiri hili kwa maneno na vitendo, preaching and preaching and preaching na kuanzisha vitendo, kikosi kazi, tume ya haki jinai, sasa tufike mahali tumshauri Rais wetu, "we had enough of preaching, now she should practice what she preach".

Kwenye kikosi kazi, Watanzania walitaka tufanye mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms ili haki zilizoporwa kinyume cha Katiba zirudishwe, hili Rais Samia ameli Preach, practice ni zero!, ila hajachelewa, there is still room for this kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025!.

Watanzania wametaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Rais Samia ameibadilisha jina Tume ya Uchaguzi NEC na kuiita jina jipya sasa inaitwa Tume Huru ya Uchaguzi, ila tume bado ni ile ile!. Watanzania hawakuomba jina la Tume ya Uchaguzi libadilishwe kutoka kuitwa Tume ya Uchaguzi na sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi, wanataka Tume ibadilishwe iwe ni Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi na sio kubadilishwa jina lakini Tume ni ile ile, watu ni wale wale na uchaguzi utaendelea kusimamiwa na makada kinda kinakiuka wa chama kubwa ndani ya kofia za ukurugenzi !.

Watanzania walitaka sheria mpya ya uchaguzi yenye kutoa haki sawa kwa wote na uwanja sawa wa uchaguzi, kwasababu sheria ikiyokuwepo ilikuwa ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT, tumeletewa sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule ulioshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania kwa kwenda kinyume na katiba!.

Rais Samia, Watanzania tunakupenda, tunakukubali, tunakuomba mahubiri yako ya falsafa yako ya 4R, yasiwe ni mahubiri tuu, preaching only, please put to practice what you preach 🙏
Mungu Akubariki uyaweze yote katika YEYE!.
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Wewe unashukru huku Watanzania wakiuawa? Hivi ni nani amewaroga Watanzania kwamba Rais hakosolewi ? Kusifia,kushukru hata kama ni jambo la hovyo na kushindwa kumkosoa Rais ni ama ni uoga ,ujinga au una maslahi binafsi
 
Wanabodi
Naomba kuanza kwa angalizo kwa mode kuhusu kuchanganya lugha.

Japo sasa jf ni mainstream media ukichanganya lugha kwenye heading mode ana edit, neno "Mama Don't Preach, practice what you preach " ukilibadili kwa Kiswahili linapoteza maana.
Update:
Mode tayari kafanya yake!
Heading imebadishwa imekuwa hivi
"Rais Samia utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno pekee" yaani sasa mwananchi anatoa order kwa Rais wa nchi!. Yaani mimi namuamrisha Rais Samia!. Mode please!.

Jf ni user generated forum, na social media, kama user ametumia maneno ya tamathali za semi za kizungu, please mode, msizibadili! tamathali za semi za kizungu kuwa za Kiwahili!. Acheni members watumie maneno they are comfortable with!.
Na kama ikibidi sana ni lazima kubadili, then please change cautiously angalau basi iwe
"Ombi kwa Rais Samia, tunakushukuru kwa mahubiri mazuri kuhusu haki, tunakuomba utende unachohubiri yasibaki kuwa maneno tuu lakini vitendo ni tofauti "
Hili linakuwa ni ombi na sio amri!

Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa.
Leo mada kuu ni kumshukuru Rais Samia kwa kuhubiri haki, yaani preaching kuhusu haki, tunamweleza tunajua kuwa ana nia njema na thabiti ya dhati watanzania wapate, haki zao, kama ni kuhubiri tuu, amehubiri sana!
Tunamshauri sasa kuhubiri tuu itoshe, "Mama Don't Preach, Practice What You Preach!"
Hili ni andiko la imani yangu kwa Rais Samia.

Wanabodi,
Nimelipitia bandiko hili na kuumia sana kwa kilichotokea hadi kifo cha huyu Mzee Kibao wa Chadema, ameuliwa kwasababu wananchi hawajui haki zao!. Kama Watanzania wangekuwa wanajua haki zao,
1. Mzee Kibao asingekubali kukamatwa na watu ambao hawatambuliki.
2. Kama Watanzania wangekuwa wanajua haki zao, dereva wa basi la Tashrif asinge kubali kusimamishwa na watu wasiotambulika.
3. Kama Watanzania wangekuwa wanajua haki zao, dereva wa Tashrif angekuwa anajua ile tiketi ya abiria, ni mkataba wa kisheria wa kumshusha abiria wake kituo alicholipia, dereva ana wajibu wa kisheria, duty of care, kuhakikisha usalama wa abiria wake na mali zake kwenye butt ya gari yake!. Mali pekee ambayo ni responsibility ya abiria ni mzigo wake wa mkononi, Hand luggage anaoingia nao ndani ya basi, ndio "abiria chunga mzigo wako" lakini jukumu la abiria kufika salama anapokwenda, dereva wa basi ana wajibu wa kisheria kumfikisha salama.
4. Tanzania hatuna wanasheria mahiri wanoujua haki, tungekuwa nao, familia ya Kibao, inalifungulia basi la Tashrif kesi ya madai ya criminal negligence kupitia vicarious liability kusababisha kifo cha abiria wake!.
5. Watanzania wangekuwa wanajua haki zao, abiria tuu wa kawaida akiwemo abiria aliyekaa seat no. 1 ya basi hilo ambaye ni traffic police, alikuwa na uwezo wa kuwabaini majambazi hao kuwa sio askari police wa kweli na kuwahamasisha abiria wengine wote wasikubali abiria mwenzao atekwe!.
6. Watanzania wangezijua haki zao, wangejua Police haruhusiwi kumkamata mtu yoyote bila kwanza kujitambulisha yeye ni nani na ametokea kituo gani kwa kuonyesha kitambulisho cha polisi.
7. Watanzania wangejua haki zao, wangejua mtu anayekamatwa ana haki ya kusoma number ya kitambulisho na kuihakiki number ya askari police kwenye mfuko wa kushoto wa nguo ya polisi.
8. Wakija polisi ambao ni askari kanzu, hawa hawana uniform hivyo hawavai numbers, hawaruhusiwi kumkamata mtuhumiwa bila kuandamana na polisi wenye uniforms!.
8. Mtu yeyote kabla hajakamatwa lazima awe na arrest warrant na lazima aripoti ofisi ya serikali ya mtaa husika!, aonyeshe arrest warrant atasibdikizwa na mtendaji wa mtaa kuja kukukamata.
10. Baada ya polisi kujitambulisha kwa kuonyesha kitambulisho, kitu cha pili ni kuonyesha arrest warrant na kukumbia
11. "Uko chini ya ulinzi, lazima aseme unakamatwa kwa kutuhumiwa kwa kosa gani?.
12. Polisi atatamka maneno haya " You have the right to remain silent, anything you say may be used for you or against you before the court of law"
Hii maana yake una haki ya kunyamaza kimya, chochote utakachosema kinaweza kutumiwa kama ushahidi wa kukusaidia au kukuangamiza mahakamani!.
13. Kitu cha tatu atakueleza "you have the right to legal representation", una haki ya uwakilishi wa kisheria.
14. Hapo atatoa pingu na kukufunga.
15. Kisha polisi hao watawaeleza hao mashuhuda wanakupeleka kituo gani ili ndugu zako wakufuatilie!.

Na ukifikishwa kituoni kabla hujaandikishwa maelezo unaaelezwa haki zako ikiwemo haki ya legal representation.
Hitimisho
Haki hizi zikifundishwa kwa wananchi, 'wasiojulikana' watapungua, watabaki tuu wale wa pyu pyu kama wa Lissu.

Sote tunajua kwa kauli na matendo, Rais Samia ana nia thabiti na ya dhati watu wapate haki zao, amekuwa akilihubiri hili kwa maneno na vitendo, preaching and preaching and preaching na kuanzisha vitendo, kikosi kazi, tume ya haki jinai, sasa tufike mahali tumshauri Rais wetu, "we had enough of preaching, now she should practice what she preach".

Kwenye kikosi kazi, Watanzania walitaka tufanye mabadiliko madogo ya katiba, minimum reforms ili haki zilizoporwa kinyume cha Katiba zirudishwe, hili Rais Samia ameli Preach, practice ni zero!, ila hajachelewa, there is still room for this kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025!.

Watanzania wametaka Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi, Rais Samia ameibadilisha jina Tume ya Uchaguzi NEC na kuiita jina jipya sasa inaitwa Tume Huru ya Uchaguzi, ila tume bado ni ile ile!. Watanzania hawakuomba jina la Tume ya Uchaguzi libadilishwe kutoka kuitwa Tume ya Uchaguzi na sasa kuitwa Tume Huru ya Uchaguzi, wanataka Tume ibadilishwe iwe ni Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi na sio kubadilishwa jina lakini Tume ni ile ile, watu ni wale wale na uchaguzi utaendelea kusimamiwa na makada kinda kinakiuka wa chama kubwa ndani ya kofia za ukurugenzi !.

Watanzania walitaka sheria mpya ya uchaguzi yenye kutoa haki sawa kwa wote na uwanja sawa wa uchaguzi, kwasababu sheria ikiyokuwepo ilikuwa ni sheria batili inayokwenda kinyume cha Katiba ya JMT, tumeletewa sheria mpya ya uchaguzi yenye ubatili ule ule ulioshabatilishwa na Mahakama Kuu ya Tanzania kwa kwenda kinyume na katiba!.

Rais Samia, Watanzania tunakupenda, tunakukubali, tunakuomba mahubiri yako ya falsafa yako ya 4R, yasiwe ni mahubiri tuu, preaching only, please put to practice what you preach 🙏
Mungu Akubariki uyaweze yote katika YEYE!.
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Ahsante sana kwa somo. Lingine siyo BUTT ila BOOT ya gari😜
 
Ebhana ahsante, kimsingi unataka watu wazijue haki zao na kuzitekeleza kila upande.

Hii iende pote, asitokee hata mtu mmoja mtaalamu au mtu baki wa kujigamba 'unanifundisha kazi'. Hii itaanza kwa kila raia kujua basic ABCs za kazi mbalimbali katika jamii;
Tambua abcs za daktari anafanya nini na nini haki na wajibu wake
Tambua abcs za fundi anapaswa kufanya nini na ni nini chombo kina sheria zake
Tambua abcs za askari ana shughuli gani na ni nini haki na wajibu wa kila pande
Tambua abcs za mwenza
Abcs za hakimu
Abcs za dreva na kondakta
Abcs za kiongozi
Abcs za katiba na sheria
Abcs za vyombo vya nyumbani
Abcs za watoto
Etc etc..

Sasa tatizo tunalirudisha kwetu binafsi je tunapenda kujifunza? Je ni kwa dhati tunapenda kufuta ujinga? Je watanzania ni wadadisi? Na udadisi ndio akili.

Udadisi utaondoa visa vya wananchi 'kuhisi' na kuua watu wasio na hatia(mfano kesi za watekaji watoto), maana kupitia udadisi watauliza na kujibiwa na wataujua ukweli. Na udadisi huohuo utasaidia wananchi wasihisi mtu ni askari kumbe sio maana watauliza maswali watajibiwa na wataujua ukweli!
 
5. Watanzania wangekuwa wanajua haki zao, abiria tuu wa kawaida akiwemo abiria aliyekaa seat no. 1 ya basi hilo ambaye ni traffic police, alikuwa na uwezo wa kuwabaini majambazi hao kuwa sio askari police wa kweli na kuwahamasisha abiria wengine wote wasikubali abiria mwenzao atekwe!.
Easier said than done
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Back
Top Bottom