Ombi kwa Sitta, ongea na UKAWA warudi kwa faida ya taifa zima, katiba ni ya wote sio upande mmoja tu


Nikusaidie kidogo kwamba humu jf wamo wengi tu wanaingia kwa majina bandia lakini kuna baadhi yao wanatumia majina halisi kwa kutaja wachache ni Anna Tibaijuka, Mwigulu Nchemba, Nape Nnauye, na wengineo wengi tu.

cc: Mbochele
 
Last edited by a moderator:
jamaa bwana wamegundua msingi wao zanzibar wanadai wanaenda kuanziapo mikutano pole wee, jambo usililijua ni sawa na usiku wa giza
sasa ukawa wataisoma namba
 
nikisoma post hizi nakumbuka Prof Lipumba aliposema tunawaachia Intarahamwe kikao chao...hahaaaaaaa ...yaaani maneno yale yatakaa akilini mwangu siku nyingi sana..watunge katiba wanayoitaka basi ila UKAWA hakuna kurudi nyuma ..
 
warudishe jasho la wananchi ndipo waende zanzibar

Walicho kifanza ni kikubwa sana, acha wachukue tu, hata kama ni kuwachangia tupo radhi ili kukomesha upuuzi na dhereu na dhihaka za wachache waliobeba nchi.
 
Jameni mwenye nö za simu za Chris lukosi ampigie na kumtarifu kuna mtu anatumia ID yake huku!
 
Post ya leo imenifurahisha kweli,msg imeshawafikia walengwa,taifa hili linajengwa na watu wote.
 
Sina uhakika kama ile misukule kule Dodoma itaelewa hii lugha uliyoiandika hapa...
 

Ama kweli uzalendo halisi wa watu wa eneo hili haupo katika Tanzania bali Tanganyika.
Ona watu hawa waongeavyo toka mipyoni mwao, wameweka u-vyama pembeni. Wamegoma kabisa kuingizwa kayikaagerza ya fikara, magereza ambazo zingefinya uhuru wao wa kufikiri kwa ku pre-empty vichwa vyao na kufanyiwa planting ya mahitaji kundo la wahafidhina wachache.
Ukimkuta Lokosi ndani ya Tanzania unaweza kumchukia lakini ukimkuta ndani ya Tanganyika utamkubali tu
 
Mbochele husika na nukuu hii hususani kwenye mkolezo wa wino wa kijani.

Mkuu Skype binafsi huvutiwa sana na mpangilio wako wa lugha.....back to the topic, nimegundua kuwa kumbe intarahamwe huwa wapweke sana pindi wasaliapo wenyewe kwenye kile kiota maalum cha uumbaji wa sheria mama.
 
Last edited by a moderator:
Sasa unategemea nini kama wote wenye hoja mzuri wanaambiwa wamemtukana baba wa Taifa?

Kwa mantiki hii ya CCM hata kuandika katiba mpya ambayo haina mchango na maoni ya waasisi wa Muungano lazima tutaambiwa katiba MPYA imemtukana baba wa Taifa.
 
Hii move ya ukawa isiangaliwe kijuuujuu ina athari kubwa kwa,siasa za kimataifa, statement aliyoitoa Prof. LIPUMBA kwamba kuna kundi la “Intarahamwe” inatuweka pabaya kama taifa, ni busara kufanya maridhiano.
 
MUNGU MKUBWA japo Sina hakika kama kweli ni Lukosi huyu karejewa na ufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…