Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
 
hivi ni kwanini hamtaki watu wale mbele yenu?

najua mtu akila mbele yako unaweza kutamani,

lakini naona kama sio sababu ya msingi kwenu, kwasababu ule ni mfungo wa kidini mnauheshimu, sio mfungo binafsi,

halafu kimsingi sio kwamba hamli, mnakula mara mbili kwa siku, tamaa ndogo ndogo hamuwezi kupata...
 
Na ninyi msianze zile za kusaka watu wanakula ambao sio wa Imani yenu. Fungeni ninyi msilazimishe wasiohusika kufunga
 
Huo mwezi hauna utukufu wowote, mudy kawachota akili 😅

Mbona wakatoliki wakifunga kweny mwezi wao hawaombi special requirements au nyie ndio watu sana.

Eti tusile hadharani, unafunga alaf bado mroho wa chakula, nyie funga yenu ni bure😅
 
Hamia Saudi Arabia maana mshahara tunaosubiri unatoka kwenye kodi ya pombe na sigara
 

View: https://x.com/AmyMek/status/1892465720451355071
 
We ni nyumbu yaan niache kula kisa wewe umefunga
Funga yako inakazi gani na mimi
 
Mkuu tuheshimu Imani za wenzetu ili tudumishe amani na utulivu wa nchi yetu
 
Chuki zimekutawala ila huna la kufanya huo ni mwezi mtukufu unaheshimika dunia nzima hata uko ulaya kuna kua na mabadiliko katika mfumo mzima.
 
Hii ni dalili ya ujinga uliokomaa pia 🙂🙂🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…