Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Trh tano Kanisa katoliki linaanza rasmi kwaresma...... napo ni mfungo tuu..... Mambo ni bam bam......

Maovu yapungue kwa muda sasa
Mkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
Funga ya kinafki hiyo, wakristo hufunga siku 40 walishatoaga masharti? Huo uzombie mkafanyie Zenji huku kwetu huwa tunakula popote
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
Nonsense
 
Funga ya kinafki hiyo, wakristo hufunga siku 40 walishatoaga masharti? Huo uzombie mkafanyie Zenji huku kwetu huwa tunakula popote
Mkuu heshima ni hiari ili tuweze kuishi kwa amani na utulivu
 
Mkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
Ooh sijasema kwa ubaya ndugu yangu! Nimeona watu wanakushambulia ikabidi ni balance mizani

Illa naheshimu funga ya Ramadhani hasa kipindi Cha mfungo mtukufu ni wakati wa kufanya Toba na kufuata Yale Allah ameelekeza yafanyike,

Insha'Allah funga ikawe ya khery kwetu sote, Amiin
 
Acha vitisho, amani inavunjikaje hapo, hizi dini za kusilimisha kwa jambia ndio shida yake
Mkuu acha fujo na vurugu, unacho sema ni uchochozi tu heshimu dini ya watu ili wawezi kuheshimu ya kwako pia.
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
No 4 ni batiri, kwani mwezi mtukufu ni kwa wote? Hata hao waislamu hawatafunga wote.

Yaan watu washindwe kula, kisa wengine wamefunga? Au unadhani kila mtu ni mfuasi wa dini hizo?
 
Mkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
Hakuna mfungo takatifu, huo ni ubinafsi mfungo ni mfungo. We inaonekana mzenji wenye mapinduzi matukufu.
 
Mnafunga halafu mnaplan budget ya chakula[emoji849]
Mkuu utaishi bila kula kweli, kufunga sio adhabu ni ibaada, tena nguzo ya nne ya uislamu.
 
Mkuu utaishi bila kula kweli, kufunga sio adhabu ni ibaada, tena nguzo ya nne ya uislamu.
Basi mjifungie ndani msitoke nje. Mfunge, mfungue na kuswali humo humo ndani.
Kwanini nyie funga yenu ndo unataka iwe special kuliko zingine. Acha ubinafsi mkuu. Kwa roho uliyonayo hata Allah asikilizi sala zako, unaonekana mtu wa ajabu ajabu
 
Basi mjifungie ndani msitoke nje. Mfunge, mfungue na kuswali humo humo ndani.
Kwanini nyie funga yenu ndo unataka iwe special kuliko zingine. Acha ubinafsi mkuu. Kwa roho uliyonayo hata Allah asikilizi sala zako, unaonekana mtu wa ajabu ajabu
Mkuu speciality iko wapi tunaomba ushirikiano wa wengine sio kulazimisha, pia kumbuka mfungo hauzie mtu kufanya kazi zake za kumiingiliza kipato cha kila siku, hayuwezi kujifungia ndani kwabb sie ni sehemu ya jamii hi.
 
Mkuu speciality iko wapi tunaomba ushirikiano wa wengine sio kulazimisha, pia kumbuka mfungo hauzie mtu kufanya kazi zake za kumiingiliza kipato cha kila siku, hayuwezi kujifungia ndani kwabb sie ni sehemu ya jamii hi.
Ushirikiano wa nini wakati funga inakuhusu wewe mwenyewe? Wewe ulishawahi kuombwa ushirikiano na yupi aliyefunga? Au unadhani wengine huwa hawafungi?
 
Chuki zimekutawala ila huna la kufanya huo ni mwezi mtukufu unaheshimika dunia nzima hata uko ulaya kuna kua na mabadiliko katika mfumo mzima.
Ni kwa vile tu ulaya na America ni jamii ya watu waliostarabika , nakuheshimu haki za wengine, hakuna kingine zaidi ya hicho.
 
Ushirikiano wa nini wakati funga inakuhusu wewe mwenyewe? Wewe ulishawahi kuombwa ushirikiano na yupi aliyefunga? Au unadhani wengine huwa hawafungi?
Kwenu jirani yako akiwa na sherehe au msiba hutowi ushirkiano kwasbb sherehe inamhusu yeye tu?
 
Back
Top Bottom