Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Umenikumbusha nikanunue kitimoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?Trh tano Kanisa katoliki linaanza rasmi kwaresma...... napo ni mfungo tuu..... Mambo ni bam bam......
Maovu yapungue kwa muda sasa
Funga ya kinafki hiyo, wakristo hufunga siku 40 walishatoaga masharti? Huo uzombie mkafanyie Zenji huku kwetu huwa tunakula popoteHili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.
1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.
2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.
3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.
4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.
Ahsanteni.
NonsenseHili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.
1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.
2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.
3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.
4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.
Ahsanteni.
Mkuu heshima ni hiari ili tuweze kuishi kwa amani na utulivuFunga ya kinafki hiyo, wakristo hufunga siku 40 walishatoaga masharti? Huo uzombie mkafanyie Zenji huku kwetu huwa tunakula popote
Ooh sijasema kwa ubaya ndugu yangu! Nimeona watu wanakushambulia ikabidi ni balance mizaniMkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
Acha vitisho, amani inavunjikaje hapo, hizi dini za kusilimisha kwa jambia ndio shida yakeMkuu tuheshimu Imani za wenzetu ili tudumishe amani na utulivu wa nchi yetu
Well saidNyie ndio majuha mnaofanya waislam waonekane “hamnazo”.
Ndugu utumishi na wanajamii kwa ujumla, mpuuzieni huyu, alichoongea ni mawazo yake binafsi
Mtukufu kwako we na mazuzu wenzio kwetu sisi miezi yote ni sawaChuki zimekutawala ila huna la kufanya huo ni mwezi mtukufu unaheshimika dunia nzima hata uko ulaya kuna kua na mabadiliko katika mfumo mzima.
Mkuu acha fujo na vurugu, unacho sema ni uchochozi tu heshimu dini ya watu ili wawezi kuheshimu ya kwako pia.Acha vitisho, amani inavunjikaje hapo, hizi dini za kusilimisha kwa jambia ndio shida yake
No 4 ni batiri, kwani mwezi mtukufu ni kwa wote? Hata hao waislamu hawatafunga wote.Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.
1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.
2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.
3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.
4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.
Ahsanteni.
Sawa mkuu hamna haja ya kulia, kwetu mwenzi wa ramadhani ni mtukufu zaidiMtukufu kwako we na mazuzu wenzio kwetu sisi miezi yote ni sawa
Hakuna mfungo takatifu, huo ni ubinafsi mfungo ni mfungo. We inaonekana mzenji wenye mapinduzi matukufu.Mkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
Mkuu utaishi bila kula kweli, kufunga sio adhabu ni ibaada, tena nguzo ya nne ya uislamu.Mnafunga halafu mnaplan budget ya chakula[emoji849]
Basi mjifungie ndani msitoke nje. Mfunge, mfungue na kuswali humo humo ndani.Mkuu utaishi bila kula kweli, kufunga sio adhabu ni ibaada, tena nguzo ya nne ya uislamu.
Mkuu speciality iko wapi tunaomba ushirikiano wa wengine sio kulazimisha, pia kumbuka mfungo hauzie mtu kufanya kazi zake za kumiingiliza kipato cha kila siku, hayuwezi kujifungia ndani kwabb sie ni sehemu ya jamii hi.Basi mjifungie ndani msitoke nje. Mfunge, mfungue na kuswali humo humo ndani.
Kwanini nyie funga yenu ndo unataka iwe special kuliko zingine. Acha ubinafsi mkuu. Kwa roho uliyonayo hata Allah asikilizi sala zako, unaonekana mtu wa ajabu ajabu
Ushirikiano wa nini wakati funga inakuhusu wewe mwenyewe? Wewe ulishawahi kuombwa ushirikiano na yupi aliyefunga? Au unadhani wengine huwa hawafungi?Mkuu speciality iko wapi tunaomba ushirikiano wa wengine sio kulazimisha, pia kumbuka mfungo hauzie mtu kufanya kazi zake za kumiingiliza kipato cha kila siku, hayuwezi kujifungia ndani kwabb sie ni sehemu ya jamii hi.
Ni kwa vile tu ulaya na America ni jamii ya watu waliostarabika , nakuheshimu haki za wengine, hakuna kingine zaidi ya hicho.Chuki zimekutawala ila huna la kufanya huo ni mwezi mtukufu unaheshimika dunia nzima hata uko ulaya kuna kua na mabadiliko katika mfumo mzima.
Kwenu jirani yako akiwa na sherehe au msiba hutowi ushirkiano kwasbb sherehe inamhusu yeye tu?Ushirikiano wa nini wakati funga inakuhusu wewe mwenyewe? Wewe ulishawahi kuombwa ushirikiano na yupi aliyefunga? Au unadhani wengine huwa hawafungi?