Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Ombi lina vipengele vyenye ujinga wa kufikiri kwamba watu wasioiamini dini fulani wanapaswa kuifuatilia na kutekeleza imani zake.

Mimi nisiyeamini Uislamu nikiwa nakula mchana wazi wakati wa Ramadhani hilo linakuzuiaje wewe Muislamu kufunga?

Hapo mnaoweka hizi habari za watu wasile wazi mchana mwezi wa Ramadahni kama hamtaki kutu control na kutupangia maisha mnataka nini?

Sitaki ujinga.
Tàtizo mtu akifunga anaanza kuwatafuta wasiofunga awacharaze bakora.
 
Ukifunga usiwafatefate ambao hawajafunga, huko ndo kuheshimu imani zà wenzetu.
Tunafanya nao kazini ofisi moja kwahiyo tuko sehemu hiyo hiyo, sioni kama ni heshima ulete chakula ofsini wakati kuna cafeteria ambapo unaweza ukalia huko huko.
 
Mkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
Hebu thibitisha utakatifu wa hicho unachokitaja
 
Hebu thibitisha utakatifu wa hicho unachokitaja
Soma Qur"an alisha qeka bayana kwamba hu mwezi ni mtakatifu zaidi.......ila siko hapa kwa ajili ya ligi niko hapa kuhamasisha umuhimu wa mwezi hu.
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
unatoa wito kwa, HAZINA/WIZARA YA FEDHA, TBS, EMPLOYERS WOTE, EMPLOYEES WOTE, WASIO WAISLAMU WOTE:FEMLY:
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
Maombi mengine ya kipumbavu. Muda wa kutoa mshahara ubaki kama ulivyo kama ni tarehe 24 mwezi huu utoke hivyo na kama ni tarehe 28 iwe hivyo. NI UPUUZI KULETA MADEKO.
 
unatoa wito kwa, HAZINA/WIZARA YA FEDHA, TBS, EMPLOYERS WOTE, EMPLOYEES WOTE, WASIO WAISLAMU WOTE:FEMLY:
Ndiyo wajue hilo kwamba zaidi ya 50% ya walipa kodi wa nchi wanaingia kwenye mwezi mtukufu .
 
Yani nisile hadharani kwa mtu alieamua kushinda njaa ,? Nchi ya ajabu sana hii
 
Mkuu tuheshimu Imani za wenzetu ili tudumishe amani na utulivu wa nchi yetu
Mengine si ya kuheshimu ni ya kukemea. Hakuna kuheshimu Upuuzi. Suala la kufunga ni la mtu binafsi si suala la Kitaifa. Msitake kufanya waislamu waonekane walalamishi na wenye madeko.
 
Maombi mengine ya kipumbavu. Muda wa kutoa mshahara ubaki kama ulivyo kama ni tarehe 24 mwezi huu utoke hivyo na kama ni tarehe 28 iwe hivyo. NI UPUUZI KULETA MADEKO.
Mkuu wewe ni nani kukata ombi la watu ambao wana haki kama raia wengine.
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
Hilo la 4 linaonesha mwandishi ana matatizo makubwa. Kufunga kwako kunamhusu nini mtu ambaye hajafunga. WATU WATAKULA HADHARANI NA MUDA WOWOTE ULE. UPUUZI HUO PELEKENI HUKO
 
Back
Top Bottom