Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ukifunga usiwafatefate ambao hawajafunga, huko ndo kuheshimu imani zà wenzetu.Mkuu tuheshimu Imani za wenzetu ili tudumishe amani na utulivu wa nchi yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifunga usiwafatefate ambao hawajafunga, huko ndo kuheshimu imani zà wenzetu.Mkuu tuheshimu Imani za wenzetu ili tudumishe amani na utulivu wa nchi yetu
Mnashirikiana na makafir, how?Mkuu sio kushirikiana tuna saidiana kwa kila kitu mpaka kwenye sherehe za ubatizo wao, sio ni wastaarabu sanaa.
Tàtizo mtu akifunga anaanza kuwatafuta wasiofunga awacharaze bakora.Ombi lina vipengele vyenye ujinga wa kufikiri kwamba watu wasioiamini dini fulani wanapaswa kuifuatilia na kutekeleza imani zake.
Mimi nisiyeamini Uislamu nikiwa nakula mchana wazi wakati wa Ramadhani hilo linakuzuiaje wewe Muislamu kufunga?
Hapo mnaoweka hizi habari za watu wasile wazi mchana mwezi wa Ramadahni kama hamtaki kutu control na kutupangia maisha mnataka nini?
Sitaki ujinga.
Tunafanya nao kazini ofisi moja kwahiyo tuko sehemu hiyo hiyo, sioni kama ni heshima ulete chakula ofsini wakati kuna cafeteria ambapo unaweza ukalia huko huko.Ukifunga usiwafatefate ambao hawajafunga, huko ndo kuheshimu imani zà wenzetu.
Kafiri ni nani? Mtu mwenye kuamini Mungu sio vizuti kumuita kafri hilo neno hapa linachukuliwa vibaya mkuuMnashirikiana na makafir, how?
Hebu thibitisha utakatifu wa hicho unachokitajaMkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
Acha unafikiKafiri ni nani? Mtu mwenye kuamini Mungu sio vizuti kumuita kafri hilo neno hapa linachukuliwa vibaya mkuu
Ndo maana tuna omba ushirkiano kwasbb some ni kitu kimoja tu vumiliana na tuheshimu hu mweziKwani dini yako ni dini ya taifa?
Ujinga mtupu.Tàtizo mtu akifunga anaanza kuwatafuta wasiofunga awacharaze bakora.
Soma Qur"an alisha qeka bayana kwamba hu mwezi ni mtakatifu zaidi.......ila siko hapa kwa ajili ya ligi niko hapa kuhamasisha umuhimu wa mwezi hu.Hebu thibitisha utakatifu wa hicho unachokitaja
unatoa wito kwa, HAZINA/WIZARA YA FEDHA, TBS, EMPLOYERS WOTE, EMPLOYEES WOTE, WASIO WAISLAMU WOTEHili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.
1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.
2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.
3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.
4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.
Ahsanteni.

Mkuu tena unafiki mimi sio mnafiki siwezi kukuita "kafir" wakati tuna tegemeanaAcha unafiki
Maombi mengine ya kipumbavu. Muda wa kutoa mshahara ubaki kama ulivyo kama ni tarehe 24 mwezi huu utoke hivyo na kama ni tarehe 28 iwe hivyo. NI UPUUZI KULETA MADEKO.Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.
1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.
2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.
3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.
4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.
Ahsanteni.
Ndiyo wajue hilo kwamba zaidi ya 50% ya walipa kodi wa nchi wanaingia kwenye mwezi mtukufu .unatoa wito kwa, HAZINA/WIZARA YA FEDHA, TBS, EMPLOYERS WOTE, EMPLOYEES WOTE, WASIO WAISLAMU WOTE![]()
Mengine si ya kuheshimu ni ya kukemea. Hakuna kuheshimu Upuuzi. Suala la kufunga ni la mtu binafsi si suala la Kitaifa. Msitake kufanya waislamu waonekane walalamishi na wenye madeko.Mkuu tuheshimu Imani za wenzetu ili tudumishe amani na utulivu wa nchi yetu
Mkuu wewe ni nani kukata ombi la watu ambao wana haki kama raia wengine.Maombi mengine ya kipumbavu. Muda wa kutoa mshahara ubaki kama ulivyo kama ni tarehe 24 mwezi huu utoke hivyo na kama ni tarehe 28 iwe hivyo. NI UPUUZI KULETA MADEKO.
Hilo la 4 linaonesha mwandishi ana matatizo makubwa. Kufunga kwako kunamhusu nini mtu ambaye hajafunga. WATU WATAKULA HADHARANI NA MUDA WOWOTE ULE. UPUUZI HUO PELEKENI HUKOHili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.
1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.
2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.
3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.
4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.
Ahsanteni.
Wewe ni nani kuleta masharti/maombi ya kizezeta kwa watu wengine ambao wana haki kama raia wengine?😁Mkuu wewe ni nani kukata ombi la watu ambao wana haki kama raia wengine.