Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wewe una ideology za KI AL_SHABABUMkuu usifuata ukuristo wanacho, Uislamu ni tofauti sanaa na ukristo wengi wako pale kwa sababu wame zaliwa ila kwao dini sio kipaumbele, jambo ambalo ni tofauti na waislamu.
we are proud kua waislamu na tuna haki ys kuahamasisha wengine mambo muhimu katika uislamu suala la kukejeli au kukata sio lako, Quran imesisitiza umuhimu w mwezi hu jambo la kutokula ni dogo sana ila mengine muhimu tunao fanya ndani ya mwezi hu unayajua, wao wanajua funga ya kutokula ndo jambo peke katika mwenzi hu kumbe hata robo haifiki acha, nferiority complex "Islam came to stay like it or leave it"
