Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Mkuu usifuata ukuristo wanacho, Uislamu ni tofauti sanaa na ukristo wengi wako pale kwa sababu wame zaliwa ila kwao dini sio kipaumbele, jambo ambalo ni tofauti na waislamu.

we are proud kua waislamu na tuna haki ys kuahamasisha wengine mambo muhimu katika uislamu suala la kukejeli au kukata sio lako, Quran imesisitiza umuhimu w mwezi hu jambo la kutokula ni dogo sana ila mengine muhimu tunao fanya ndani ya mwezi hu unayajua, wao wanajua funga ya kutokula ndo jambo peke katika mwenzi hu kumbe hata robo haifiki acha, nferiority complex "Islam came to stay like it or leave it"
Wewe una ideology za KI AL_SHABABU
 
Ukifunga toka moyoni hata wakikuomba uwapikie unawapikia vizuri kwa furaha na amani kabisa. Suala la kufunga ni la moyoni zaidi. Sijajua kwa nini hasa wanaume wanakuwa na madeko sana.kuliko hata wanawake. Kuna tatizo nadhani. Wanawake hawa wanafunga na ndo wapishi wa futari mbona hawalalamiki? YAANI DUNIA HII WANAUME WANAKUWA WALALAMISHI KULIKO WANAWAKE.
exactly, mbona hata christians wanafunga, tena walokole wao wanafunga randomly for specific personal reasons, lakina huwa hakuna ku-impose restrictions/limitaions kwa wasiofunga, kwa sababu hii ni very personal na Mungu wako tu, kwa nini uwe distracted easly, wakati unaishi kwenye multicultural/multireligious environment?
 
Ajabu ni kuwa wakristo hawasemi hizo habari wakiwa kwenye mfungo wao,kwanini sisi tunakuwa na shida
Sidhani km mtu. Mwenye Imani thabiti na amefunga km anaweza kutamni chakula huko mtaani maana hata kupika tunapka tukiwa tupo kwenye swaumu mbona
Huu ndio uislamu unao zungumziwa sio huyu jamaa ni RADICAL MUSLIM
 
exactly, mbona hata christians wanafunga, tena walokole wao wanafunga randomly for specific personal reasons, lakina huwa hakuna ku-impose restrictions/limitaions kwa wasiofunga, kwa sababu hii ni very personal na Mungu wako tu, kwa nini uwe distracted easly, wakati unaishi kwenye multicultural/multireligious environment?
Hao hawanaga mwezi mtukufu na wancho fanya hakina rejea kwenye bibulia.
 
Wewe una ideology za KI AL_SHABABU

Yaani ufunge wewe halafu unipangie masharti Mimi.. Basi dini yako itakuwa haijakamilika
.
exactly, mbona kuna inchi ulaya zenye waislamu wengi, kama ALBANIA,TURKEY, AZERBAIJAN, MONTENEGRO, n.k hawana hizo restriction kwa wengine, including tourists, mfungo unazingatiwa sana, maisha ya wasiokuwa waislamu wana serebuka kama kawaida
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
Sheikh! Hivi lengo hasa la kufunga ni nini kiasi cha kutopenda sisi tusiofunga kula hadharani? Au hamuwezi kuuvumilia huo mfungo wenu, pale mnapotuona tunakula?
 
False 100% kwasababu naamini kile nilicho jifunza na najua niko hapa duniani kwasbabu ya kutekeleza kile nilicho agizwa na Mola wetu.
Kuna jamaa mmoja leo nilisoma alisema linapo kuja swala la udini hakunaga tofauti ya PhD candidate,full Professor au DR form 4, asiye na elimu yeyote kwenye arguments za udini.

Binafsi Leo kwenye hii thread yako niseme kweli umenishangaza, umenihuzunisha, umenisikitisha, umenistaajabisha.

Kila la kheli mkuu.
 
Kuna jamaa mmoja leo nilisoma alisema linapo kuja swala la udini hakunaga tofauti ya PhD candidate,full Professor au DR form 4, asiye na elimu yeyote kwenye arguments za udini.

Binafsi Leo kwenye hii thread yako niseme kweli umenishangaza, umenihuzunisha, umenisikitisha, umenistaajabisha.

Kila la kheli mkuu.
Mkuu my life is my religion ndo ukweli huo.
 
exactly, mbona kuna inchi ulaya zenye waislamu wengi, kama ALBANIA,TURKEY, AZERBAIJAN, MONTENEGRO, n.k hawana hizo restriction kwa wengine, including tourists, mfungo unazingatiwa sana, maisha ya wasiokuwa waislamu wana serebuka kama kawaida
Ni kweli tatizo kubwa Sana lipo kwa Radical Muslim..Hawa utawakuta nchi za kiarabu na some indians ie. Iran, Pakistan, Afghanistan, Bado nchi za uarabuni ni tatizo SANAAA.

Hao ndio huleta machafuko..mtu funga kwa funga yako..Mimi nikila inakushughurisha Nini?

Wengi kwenye mwezi huo ni kama wanabadilisha ratiba ya kula yaani badala ya mchana wanakula usiku..
Mfano anafungua saa let say Ile jion then saa 4 usiku anakula then alfajir anaamka shindilia daku..

Wengi hunenepa Sana kwenye mwezi wa mfungo jaribu kutafiti.
 
Ni kweli tatizo kubwa Sana lipo kwa Radical Muslim..Hawa utawakuta nchi za kiarabu na some indians ie. Iran, Pakistan, Afghanistan, Bado nchi za uarabuni ni tatizo SANAAA.

Hao ndio huleta machafuko..mtu funga kwa funga yako..Mimi nikila inakushughurisha Nini?

Wengi kwenye mwezi huo ni kama wanabadilisha ratiba ya kula yaani badala ya mchana wanakula usiku..
Mfano anafungua saa let say Ile jion then saa 4 usiku anakula then alfajir anaamka shindilia daku..

Wengi hunenepa Sana kwenye mwezi wa mfungo jaribu kutafiti.
Hivi kwanini mtu akifuata misingi ya imani yake anaitwa radical au extremist kuafano walokole na wasabato wengi huitwa radical Christians na wakatoliki kujiona ndo real christians?
 
Ni kweli tatizo kubwa Sana lipo kwa Radical Muslim..Hawa utawakuta nchi za kiarabu na some indians ie. Iran, Pakistan, Afghanistan, Bado nchi za uarabuni ni tatizo SANAAA.

Hao ndio huleta machafuko..mtu funga kwa funga yako..Mimi nikila inakushughurisha Nini?

Wengi kwenye mwezi huo ni kama wanabadilisha ratiba ya kula yaani badala ya mchana wanakula usiku..
Mfano anafungua saa let say Ile jion then saa 4 usiku anakula then alfajir anaamka shindilia daku..

Wengi hunenepa Sana kwenye mwezi wa mfungo jaribu kutafiti.

Ni kweli tatizo kubwa Sana lipo kwa Radical Muslim..Hawa utawakuta nchi za kiarabu na some indians ie. Iran, Pakistan, Afghanistan, Bado nchi za uarabuni ni tatizo SANAAA.

Hao ndio huleta machafuko..mtu funga kwa funga yako..Mimi nikila inakushughurisha Nini?

Wengi kwenye mwezi huo ni kama wanabadilisha ratiba ya kula yaani badala ya mchana wanakula usiku..
Mfano anafungua saa let say Ile jion then saa 4 usiku anakula then alfajir anaamka shindilia daku..

Wengi hunenepa Sana kwenye mwezi wa mfungo jaribu kutafiti.
three meals or more per 24/7, ni changes za schedule tu.
 
Back
Top Bottom