Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
2: Upange bei ya kuuza kwani umesaidia wakulima kwenye suala la kulima?
 
2: Upange bei ya kuuza kwani umesaidia wakulima kwenye suala la kulima?
Tatizo ni madalali au watu kati, wanaweza kufanya hivo kwa faida zao sio kwafaida za wakulima mkuu, bei ikipanda ghafra waislamu wataumia sana katika mwezi hu mtukufu.
 
WATANZANIA AMKENI.

mfano.
Shule ikiwa haijafunga mtoto anaenda shule 07:00 Asubuhi
Anatoka 05:00jioni

Mtoto anaenda shule saa 07: 00jioni hadi saa 05:00 Asubuhi
Alafu hapa unasema Amefunga.

Waislamu mmebadiri Ratiba ya kula mnakula mala tatu kama kawaida.

IMAGINE UNAFUNGA NA UNAWEKA BUDGET YA CHAKULA.
 
Soma Qur"an alisha qeka bayana kwamba hu mwezi ni mtakatifu zaidi.......ila siko hapa kwa ajili ya ligi niko hapa kuhamasisha umuhimu wa mwezi hu.
Ni kitabu kitakatifu kwa upande wako na hakuna tatizo lolote. Usilazimishe wengine waamini hivyo.
 
WATANZANIA AMKENI.

mfano.
Shule ikiwa haijafunga mtoto anaenda shule 07:00 Asubuhi
Anatoka 05:00jioni

Mtoto anaenda shule saa 07: 00jioni hadi saa 05:00 Asubuhi
Alafu hapa unasema Amefunga.

Waislamu mmebadiri Ratiba ya kula mnakula mala tatu kama kawaida.

IMAGINE UNAFUNGA NA UNAWEKA BUDGET YA CHAKULA.
Budget ya mfungo ni kubwa kuliko ya siku ambazo si mfungo.
 
Hahahaha sio mwezi maalumu lkn ni kipindi Cha kutafakari zaidi.... Mm walokole siwezani nanyi mna mambo ya hovyo
vipindi vingine sio vya kutafakari zaidi? mnavyo vipindi vya kumtafakari zaidi Mungu na vingine sio vya kutafakari kihiiivyo ni ado ado tu. so you know ni kwa nini huwa tunasema shetani ndiye ameshikilia ukatolisi mnabisha. Mungu anataka tumtafute na tumtafakari wakati wote na miezi yote, hatuhitaji kuwa na kipindi maalumu cha kufunga na kumtafakari na vingine tusimtafakari.
 
Mkuu hizo funga zako una rejea yoyote kwenye bibulia au maneno tu.
inawezekana maana ya funga kwetu na kwenu ni tofauti. sisi tukifunga tunakuwa tunautafuta uso wa MUngu katika jambo fulani, hata Yesu alielekeza kwamba kuna baadhi ya mambo huwezi kuyapata hadi kwa kuomba na kufunga. na alisema tukeshe tukiomba, na zaidi ya yote mtu aliyeokoka anaongozwa na Roho Mtakatifu, haongozwi na tamaduni wala desturi.

kwa upande wako najua funga kwako maana yake ni kujinyima kula kwa kipindi fulani ili uhesabiwe haki au upate thawabu kwa sababu ya kufunga, sio kwa sababu umetafuta uso wa Mungu na kuuona. ni condition mojawapo ya kwenda ahera, wakati mimi ni condition mojawapo ya connection na Mungu hapahapa duniani. kwa sababu hiyo, sihitaji kuwekewa schedule kwenye vitabu ila nitafunga pale panapohitajika.
 
inawezekana maana ya funga kwetu na kwenu ni tofauti. sisi tukifunga tunakuwa tunautafuta uso wa MUngu katika jambo fulani, hata Yesu alielekeza kwamba kuna baadhi ya mambo huwezi kuyapata hadi kwa kuomba na kufunga. na alisema tukeshe tukiomba, na zaidi ya yote mtu aliyeokoka anaongozwa na Roho Mtakatifu, haongozwi na tamaduni wala desturi.

kwa upande wako najua funga kwako maana yake ni kujinyima kula kwa kipindi fulani ili uhesabiwe haki au upate thawabu kwa sababu ya kufunga, sio kwa sababu umetafuta uso wa Mungu na kuuona. ni condition mojawapo ya kwenda ahera, wakati mimi ni condition mojawapo ya connection na Mungu hapahapa duniani. kwa sababu hiyo, sihitaji kuwekewa schedule kwenye vitabu ila nitafunga pale panapohitajika.
Nilidhani unaleta rejea zako za funga ya walokole kumbe ni kubuni bila rejea yoyote, kwetu funga ni nguzo ya dini sio hiari funga za hiari zipo kila wiki kwa anae penda kama sunna kwa sababu mtume alifanya hivo.
 
Nilidhani unaleta rejea zako za funga ya walokole kumbe ni kubuni bila rejea yoyote, kwetu funga ni nguzo ya dini sio hiari funga za hiari zipo kila wiki kwa anae penda kama sunna kwa sababu mtume alifanya hivo.
ndio maana nimesema, funga yenu ni nguzo ya dini yenu na mnahesabiwa haki au mnapata thawabu nao. ni nguzo na si njia ya kumtafuta Mungu ili aonekane kwa wakati huo, tofauti kabisa na funga yetu.na kwa bahati mbaya, hiyo nguzo ni uongo ambao kuna siku mtajilaumu kwa nini mliufuata, na mtakuwa mmeshachelewa, tayari mpo motoni.
 
vipindi vingine sio vya kutafakari zaidi? mnavyo vipindi vya kumtafakari zaidi Mungu na vingine sio vya kutafakari kihiiivyo ni ado ado tu. so you know ni kwa nini huwa tunasema shetani ndiye ameshikilia ukatolisi mnabisha. Mungu anataka tumtafute na tumtafakari wakati wote na miezi yote, hatuhitaji kuwa na kipindi maalumu cha kufunga na kumtafakari na vingine tusimtafakari.
Mimi sipo hapa kubishana tambua hivyo
 
Hiyo no.4 ya kutokula hadharani inamuathiri vipi aliefunga?
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsante

Mkuu dini sio ushindani mimi hapa naongelea mfungo ttakatifu wa mwezi wa Ramadhani una masharti yake wewe unakuja na mfungo mwingine tena vip?
Huo mfungo mwingine umekuwako kabla ya Mwamedi
 
Tatizo ni madalali au watu kati, wanaweza kufanya hivo kwa faida zao sio kwafaida za wakulima mkuu, bei ikipanda ghafra waislamu wataumia sana katika mwezi hu mtukufu.
..soko Lina obey the Law of Supply and Demand, msiwalaumu wafanyabiashara, na wengi ni waislamu, ni soko ndyo linavyo determine price.
 
Wenzenu wakitaka kufunga hukimbilia Zenji, huku bara utaambulia karaha tu. Bar kila uchochoro, migahawa kila kona.

Kama ndio hutaki kuona watu wakila nenda Zenji au Oman.
 
Back
Top Bottom