Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Mkuu usifuata ukuristo wanacho amini, Uislamu ni tofauti sanaa na ukristo wengi wako pale kwa sababu wame zaliwa ila kwao dini sio kipaumbele, jambo ambalo ni tofauti na waislamu.

we are proud kua waislamu na tuna haki ys kuahamasisha wengine mambo muhimu katika uislamu suala la kukejeli au kukata sio lako, Quran imesisitiza umuhimu w mwezi hu jambo la kutokula ni dogo sana ila mengine muhimu tunao fanya ndani ya mwezi hu unayajua, wao wanajua funga ya kutokula ndo jambo peke katika mwenzi hu kumbe hata robo haifiki acha, nferiority complex "Islam came to stay like it or leave it"
Tena vizuri umejipa jibu mwenyew mambo mengi yanayotakiwa kufanywa mwez huu ya muhimu sana why kula tu ndo iwe mada
Tumia nafas Yako Kuwakumbusha waislamu wenzio kuwa wachamungu na kuacha kufanya dhambi kuliko kuwahimiza wakristo yasiyowahusu katika nchi ambayo Haina hizo itikadi sio sawa
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
1. mnafunga nini sasa kama mnataka mishahara kwa ajili ya kula msosi, mnataka bajeti

2. mnafunga nini sasa kama mnataka misosi ishuke bei ili mle ya kutosha?

3. kuhusu muda wa ibada, sitasema kitu.

4.unasema sisi tusiofunga tusile hadharani, why? ni kwa sababu hamna uwezo kuvumilia kuona vyakula? mnataka sisi tuwavumilie kwa kutokula kwa nini ninyi msituvumilie sisi tunapokula kwa raha zetu? kama dini yenu ni ya amani, kwa nini mnalazimisha wengine wasile chakula mchana na wakila mnawachapa fimbo?

5. sisi wagalatia uwa tunafunga ila sio kwa mwezi mmoja kwa mwaka kama ninyi, sisi tunafunga mara kwa mara, kuna watu wanafunga kila ijumaa wa wiki kwa mwaka mzima, wengine wanafunga siku tatu kila mwezi, wengine wanafunga siku moja kila mwezi mwaka mzima, wengine wanafunga siku arobaini na wanarudia tena kwa mwaka hadi mara mbili au tatu n.k, ila hatujawahi kuwalazimisha ninyi msile vyakula sisi tukiwa tumefunga kwa sababu gani?

ni kwa sababu maana ya kufunga kwetu sisi ni kuishinda tamaa ya mwili hasa kwenye chakula ili roho iinuke kwa ajili ya kumwabudu na kumtafuta Mungu, na tukikutana na chakula kwetu ni bora zaidi kwani hatutakula hivyo tunakuwa tumeishinda tamaa. hauwezi kutuona hata siku moja tunachapa wasiofunga fimbo kama mnavyofanya zanzibar kwa sababu dini yetu ni ya amani na upendo.

je? una lolote na hayo niliyosema?
 
Trh tano Kanisa katoliki linaanza rasmi kwaresma...... napo ni mfungo tuu..... Mambo ni bam bam......

Maovu yapungue kwa muda sasa
ni ushetani mkubwa sana kuchagua mwezi fulani tu kuwa ndio wa kufunga na kupunguza maovu, ati ndio mwezi wa toba, mwezi wa kutofanya dhambi na siku mkifungua kondom zimejaa barabarani.
 
Shida kubwa ni unafiki na kutaka kuonekana watakatifu machoni pa wanadamu!
Exactly hiyo ndio shidayetu kubwa ikiwa tuna maovu mengi pia ila tunajificha kwenye dini ambayo hata alielieta alikuwa mtu mwema Kwa jamii yake hata Kwa wale ambao hawakumkubali
 
1. mnafunga nini sasa kama mnataka mishahara kwa ajili ya kula msosi, mnataka bajeti

2. mnafunga nini sasa kama mnataka misosi ishuke bei ili mle ya kutosha?

3. kuhusu muda wa ibada, sitasema kitu.

4.unasema sisi tusiofunga tusile hadharani, why? ni kwa sababu hamna uwezo kuvumilia kuona vyakula? mnataka sisi tuwavumilie kwa kutokula kwa nini ninyi msituvumilie sisi tunapokula kwa raha zetu? kama dini yenu ni ya amani, kwa nini mnalazimisha wengine wasile chakula mchana na wakila mnawachapa fimbo?

5. sisi wagalatia uwa tunafunga ila sio kwa mwezi mmoja kwa mwaka kama ninyi, sisi tunafunga mara kwa mara, kuna watu wanafunga kila ijumaa wa wiki kwa mwaka mzima, wengine wanafunga siku tatu kila mwezi, wengine wanafunga siku moja kila mwezi mwaka mzima, wengine wanafunga siku arobaini na wanarudia tena kwa mwaka hadi mara mbili au tatu n.k, ila hatujawahi kuwalazimisha ninyi msile vyakula sisi tukiwa tumefunga kwa sababu gani?

ni kwa sababu maana ya kufunga kwetu sisi ni kuishinda tamaa ya mwili hasa kwenye chakula ili roho iinuke kwa ajili ya kumwabudu na kumtafuta Mungu, na tukikutana na chakula kwetu ni bora zaidi kwani hatutakula hivyo tunakuwa tumeishinda tamaa. hauwezi kutuona hata siku moja tunachapa wasiofunga fimbo kama mnavyofanya zanzibar kwa sababu dini yetu ni ya amani na upendo.

je? una lolote na hayo niliyosema?
Mkuu hizo funga zako una rejea yoyote kwenye bibulia au maneno tu.
 
Yani kufunga mfunge nyie alafu masharti yawekwe kwa wasio husika na kufunga kwenu huoni kama ni matatizo hayo😒 au ndio yale mambo yenu ya kujiona bora kuliko wengine😒 nyie fungeni kwa ajili yenu msituletee habari zenu za kujionesha 🚮
 
ni ushetani mkubwa sana kuchagua mwezi fulani tu kuwa ndio wa kufunga na kupunguza maovu, ati ndio mwezi wa toba, mwezi wa kutofanya dhambi na siku mkifungua kondom zimejaa barabarani.
Hapo mkuu unatumia mhemuko sio mantiki huo utafiti wa kondom ulifanya nini?
 
Hivi kwanini mtu akifuata misingi ya imani yake anaitwa radical au extremist kuafano walokole na wasabato wengi huitwa radical Christians na wakatoliki kujiona ndo real christians?
Wasabato sisi huwa tunawaitaga ndio MAFARISAYO WA ZAMANI.

MAFARISAYO walikua na tabia ya kuvaa nguo nzurii na kukaa siti za mbele kwenye masinagogi ni watu rijid na radical.

Yesu aliwauliza ikiwa siku ya sabato hutakiwi kufanya kazi yeyote zaidi ya kusali..je mbuzi au kondoo wako akitumbukia shimoni huwezi kumtoa??

Kwaio logic mbuzi au kondoo aki ingia shimoni huwezi kumtoa kisa ni sabato? Unaona Sasa hao wasabato na radical walokole ie.mashahidi wa yehova hawaruhusu mtu kuongezewa damu..yaani ni Bora ufe kuliko uongezewe damu maana ni katazo Katika Imani yao.
 
Yani kufunga mfunge nyie alafu masharti yawekwe kwa wasio husika na kufunga kwenu huoni kama ni matatizo hayo[emoji19] au ndio yale mambo yenu ya kujiona bora kuliko wengine
Mkuu ni ombi sio agizo ili tuheshimiane na tuwe wahimilivu kwa wrnzetu.
 
Wasabato sisi huwa tunawaitaga ndio MAFARISAYO WA ZAMANI.

MAFARISAYO walikua na tabia ya kuvaa nguo nzurii na kukaa siti za mbele kwenye masinagogi ni watu rijid na radical.

Yesu aliwauliza ikiwa siku ya sabato hutakiwi kufanya kazi yeyote zaidi ya kusali..je mbuzi au kondoo wako akitumbukia shimoni huwezi kumtoa??

Kwaio logic mbuzi au kondoo aki ingia shimoni huwezi kumtoa kisa ni sabato? Unaona Sasa hao wasabato na radical walokole ie.mashahidi wa yehova hawaruhusu mtu kuongezewa damu..yaani ni Bora ufe kuliko uongezewe damu maana ni katazo Katika Imani yao.
Kama wana reference books kusupport hayo wanao amini sioni kama kuwaita radical inakua unawatendea haki kweli labda kama hawana rejea yoyote.
 
Halafu kitu cha ajabu sana wenye bar,madanguro,ma guest house,sehemu za kamari,wauza bangi,wauza gongo na wauzaji wa kitimoto huu mwezi wanauchukia mno sababu wanakosa wateja
 
Kama wana reference books kusupport hayo wanao amini sioni kama kuwaita radical inakua unawatendea haki kweli labda kama hawana rejea yoyote.
Kwaio mkuu yaan Imani imekukataza usiongezewe damu wakati ukiongezewa damu unapona..huoni kua ni Imani ya ajabu Sana.
 
Namba 4. Tutauwana. Ukiona wewe huwezi zuia tamaa zako ujue wewe ni mdhambi tu. Tutakula hadharani kokote kule alafu tuone sasa.
 
ni ushetani mkubwa sana kuchagua mwezi fulani tu kuwa ndio wa kufunga na kupunguza maovu, ati ndio mwezi wa toba, mwezi wa kutofanya dhambi na siku mkifungua kondom zimejaa barabarani.
Hahahaha sio mwezi maalumu lkn ni kipindi Cha kutafakari zaidi.... Mm walokole siwezani nanyi mna mambo ya hovyo
 
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
Namba 4 hakuna Mtanzania aliyemaliza Darasa la Saba atayekubali me nawengine kama NETANYAHU hatukubali huo uonevu
 
Wasabato sisi huwa tunawaitaga ndio MAFARISAYO WA ZAMANI.

MAFARISAYO walikua na tabia ya kuvaa nguo nzurii na kukaa siti za mbele kwenye masinagogi ni watu rijid na radical.

Yesu aliwauliza ikiwa siku ya sabato hutakiwi kufanya kazi yeyote zaidi ya kusali..je mbuzi au kondoo wako akitumbukia shimoni huwezi kumtoa??

Kwaio logic mbuzi au kondoo aki ingia shimoni huwezi kumtoa kisa ni sabato? Unaona Sasa hao wasabato na radical walokole ie.mashahidi wa yehova hawaruhusu mtu kuongezewa damu..yaani ni Bora ufe kuliko uongezewe damu maana ni katazo Katika Imani yao.
Ngoja nibarikiwe na vifungu vya biblia..... Hapa
 
Back
Top Bottom