Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Tena vizuri umejipa jibu mwenyew mambo mengi yanayotakiwa kufanywa mwez huu ya muhimu sana why kula tu ndo iwe madaMkuu usifuata ukuristo wanacho amini, Uislamu ni tofauti sanaa na ukristo wengi wako pale kwa sababu wame zaliwa ila kwao dini sio kipaumbele, jambo ambalo ni tofauti na waislamu.
we are proud kua waislamu na tuna haki ys kuahamasisha wengine mambo muhimu katika uislamu suala la kukejeli au kukata sio lako, Quran imesisitiza umuhimu w mwezi hu jambo la kutokula ni dogo sana ila mengine muhimu tunao fanya ndani ya mwezi hu unayajua, wao wanajua funga ya kutokula ndo jambo peke katika mwenzi hu kumbe hata robo haifiki acha, nferiority complex "Islam came to stay like it or leave it"
Tumia nafas Yako Kuwakumbusha waislamu wenzio kuwa wachamungu na kuacha kufanya dhambi kuliko kuwahimiza wakristo yasiyowahusu katika nchi ambayo Haina hizo itikadi sio sawa