Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Hahaha nataka niingie Misa ya jioni hapa cathedral 😂Aisome Jonnah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha nataka niingie Misa ya jioni hapa cathedral 😂Aisome Jonnah
Ufufuo na uzimaaHahaha nataka niingie Misa ya jioni hapa cathedral 😂
Hapana sisali huko mm ni Roman mzee wangu ngoja SDA wasinione 😂Ufufuo na uzimaa
ila watu wake wana dini na wasio na dini rasmiSerikali haina dini
Haaahaa 😅 wasikuone kwa kweli maana ni balaa hao people.Hapana sisali huko mm ni Roman mzee wangu ngoja SDA wasinione 😂
Ndiyo mkuu! Naelekea hapa st Joseph sokoine drive dsm! Kupata evening Mass!Haaahaa 😅 wasikuone kwa kweli maana ni balaa hao people.
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.
1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.
2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.
3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.
4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.
Ahsanteni.
Safi sanaaNdiyo mkuu! Naelekea hapa st Joseph sokoine drive dsm! Kupata evening Mass!
Aaliyyah mfungo ukianza naitwa IZUDIN ABDULRAHMAN BANADIIRAjabu ni kuwa wakristo hawasemi hizo habari wakiwa kwenye mfungo wao,kwanini sisi tunakuwa na shida
Sidhani km mtu. Mwenye Imani thabiti na amefunga km anaweza kutamni chakula huko mtaani maana hata kupika tunapka tukiwa tupo kwenye swaumu mbona
Kabisa aache hayo mamboHuu ndio uislamu unao zungumziwa sio huyu jamaa ni RADICAL MUSLIM
Mchawi Camera, mnaturecord sanaMashallah 😍
Karibu uje kufuturu sheikh izudin
Mm sikurecord bhanaMchawi Camera, mnaturecord sana
Ndo tumetoka saa hz! Mkuu barikiwa piaSafi sanaa
ila watu wake wana dini na wasio na dini rasmi
Lakini walipa kodi wake wana dini.
Tutaendelea kufanya tunavyopenda ilimaradi hatuvunji sheria za nchi wenyewe watajijua na mambo yaoMkuu ni ombi sio agizo ili tuheshimiane na tuwe wahimilivu kwa wrnzetu.
Yaan nichukue hekaya za mudy, mambo hewa ambayo hayana mbele wala nyuma.Chuki zimekutawala ila huna la kufanya huo ni mwezi mtukufu unaheshimika dunia nzima hata uko ulaya kuna kua na mabadiliko katika mfumo mzima.