Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Ombi kwa Utumishi: Mwenzi huu tunaingia mwezi mtukufu wa mfungo

Mtu akila mbele yako usimuangalie jifanye unapita tu
Hili ni ombi kwa wanao husika tarehe mosi mwenzi wa tatu mwezi mtukufu wa ramadhani unaweza kuanza rasmi.

1. Mishahara ya watumishi itoke mapema ili waweze kupangilia bajeti ya mwezi mzima kununua bidhaa ya mwezi mtukufu mapema.

2. Kuongeza bei ya vitu muhimu ni Dhambi kwahiyo acheni tabia ya kupaishwa bei ya viazi miongo sukali tende nk.

3. Waajiliwa peeni watumishi wenu muda wa kufanya ibaada nakutoka kazini mapema kwa kuzingatia utukufu wa mwezi huu.

4. Nyie msiofunga acheni kula chakula hadharani tuvumiliane kipindi hiki sie sote ni jamii moja kwa imani tofauti.

Ahsanteni.
 
Ajabu ni kuwa wakristo hawasemi hizo habari wakiwa kwenye mfungo wao,kwanini sisi tunakuwa na shida
Sidhani km mtu. Mwenye Imani thabiti na amefunga km anaweza kutamni chakula huko mtaani maana hata kupika tunapka tukiwa tupo kwenye swaumu mbona
Aaliyyah mfungo ukianza naitwa IZUDIN ABDULRAHMAN BANADIIR
 
Tut
Mkuu ni ombi sio agizo ili tuheshimiane na tuwe wahimilivu kwa wrnzetu.
Tutaendelea kufanya tunavyopenda ilimaradi hatuvunji sheria za nchi wenyewe watajijua na mambo yao
 
Chuki zimekutawala ila huna la kufanya huo ni mwezi mtukufu unaheshimika dunia nzima hata uko ulaya kuna kua na mabadiliko katika mfumo mzima.
Yaan nichukue hekaya za mudy, mambo hewa ambayo hayana mbele wala nyuma.

Mkipewa negative comments mnawaza chuki tu, chuki gani?? Hamtaki kuambiwa ukweli, nani awachukie nyie? Nyie ndio mmejaa chuki, kila siku kweny sala zenu kazi kulaani wakristo na wayahudi.

STUPID🚮
 
Back
Top Bottom