Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu,
Hakuna asiyefahamu kuwa hivi sasa pana mgao wa umeme nchini hivo nawaba sana sana wachambuzi wetu wa michezo radioni kuipa heshima ligi yetu ya mpira wa miguu.
Kipindi kinaanza tatu kasoro robo hivi asubuhi mpaka saa tano (Wasafi FM) na mwengine saa tatu kamili asubuhi mpaka saa sita kamili (E FM) lakini habari wanayoingumzia mwanzoni ni ya j2 mpaka leo mpaka umeme unachukuliwa na wenyewe.
Nawashauri wawe na utaratibu wa kuanza na mechi zilizochezwa hivi karibuni, mfano jana palikuwa na mechi mbili za ligi nazo ni Geita na Tabora na Mashujaa dhidi ya Singida sasa wote hao wameng'ang'ana kwa kuanza kipindi kuelezea mechi ya j2 kati ya Simba na Yanga mpaka umeme ukachukuliwa saa nne.
Badilikeni.
Hakuna asiyefahamu kuwa hivi sasa pana mgao wa umeme nchini hivo nawaba sana sana wachambuzi wetu wa michezo radioni kuipa heshima ligi yetu ya mpira wa miguu.
Kipindi kinaanza tatu kasoro robo hivi asubuhi mpaka saa tano (Wasafi FM) na mwengine saa tatu kamili asubuhi mpaka saa sita kamili (E FM) lakini habari wanayoingumzia mwanzoni ni ya j2 mpaka leo mpaka umeme unachukuliwa na wenyewe.
Nawashauri wawe na utaratibu wa kuanza na mechi zilizochezwa hivi karibuni, mfano jana palikuwa na mechi mbili za ligi nazo ni Geita na Tabora na Mashujaa dhidi ya Singida sasa wote hao wameng'ang'ana kwa kuanza kipindi kuelezea mechi ya j2 kati ya Simba na Yanga mpaka umeme ukachukuliwa saa nne.
Badilikeni.