Ombi kwako Eng. Hersi Said: Wana yanga tunaomba msimu ujao timu akabidhiwe Charles Boniface Mkwasa (Master)

Ombi kwako Eng. Hersi Said: Wana yanga tunaomba msimu ujao timu akabidhiwe Charles Boniface Mkwasa (Master)

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Nikiwa kama mwanachama na mwandamizi wa tawi la Yanga, Magufuli Terminal napenda kumfikishia Rais Eng.Hersi Said maazimio tuliyoafikiana wanachama wa tawi la Yanga, Magufuli Terminal kuwa tunahitaji kukuona Master Charles Boniface Mkwasa akiiongoza timu yetu katika kampeni ya kuutetea ubingwa wa Ligi kuu ya Tanzania na ubingwa wa kombe la Shirikisho la Azam msimu wa 2023/2024.

Tunaamini Mkwasa ndiye kocha pekee mzalendo ,mweledi na mwenye uchungu na Yanga Africa sio hao wanaokuja kutafuta CV na kutuacha katika taharuki kubwa tukiwa hatujui nini cha kufanya mbele ya mahasimu wetu Simba Sc.
 
Angalau tumeshapooza machungu ya kukosa makombe ya ndani kwa miaka minne 2018 hadi 2021

Kwa sasa malengo yapo zaidi CAF interclubs na ninaomba sana turudi kule kule tu caf shirikisho, huko caf mabingwa wala tusidanganyane waarabu wapo mbali mnoooo!!

Mwakani nguvu ziwekwe zaidi kwenye ligi kuu na caf, hayo makombe mengine tusiyakamie
 
Angalau tumeshapooza machungu ya kukosa makombe ya ndani kwa miaka minne 2018 hadi 2021

Kwa sasa malengo yapo zaidi CAF interclubs na ninaomba sana turudi kule kule tu caf shirikisho, huko caf mabingwa wala tusidanganyane waarabu wapo mbali mnoooo!!

Mwakani nguvu ziwekwe zaidi kwenye ligi kuu na caf, hayo makombe mengine tusiyakamie
Nakubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom