Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Mimi pia nilishangaa JS SAOURA kucheza vile, na hata Nkana pia. Lazima uchunguzi wa kina ufanyike.Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .
Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati
Nakala - Ismail Aden Rage
Anaongea tu hajui Saoura walichofanywa pale Taifa, mbona hajalalamika au kwa vile mkuki ulikuwa mwilini kwa nguruwe.Simba hiyo michezo wanaifanya sana pale taifa stadium,ndio maana kila anaecheza nae caf pale taifa uwa wanaregea sana,wale soura walikua wazito miguuni km wamefungwa mawe
Huwa nina akili za kujiongoza, na kati ya mashabiki ambao hawadanganywi ni mimi. Simba tuna timu gani ya kupambana na AS Vita? Unategemea Chama na Kagere wenzako wanategemea kila mchezaji.Manara kishawaanisha hivyo,uwaambi kitu hapo,simba ikawekwe kwenye kundi moja na psg,madrid na man u na bado haiwezi kua underdog,manara akaenda mbali zaidi kwenye kikosi chake bora cha dunia 2018 ndani yake akamuweka chama,na wafuasi wake bado wakaamini kbs chama ni mmoja wachezaji 11 bora hapa duniani!
Msemaji kafanya ile timu ionekane kama Barcelona wakati ni dhaifu tu.Umenena vyema mkuu. Kingine simba tabo nyingi sana kuzidi uhalisia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo tabia zipo sana na Simba anazijua, sasa leo asije na povu kama vile Simba ni timu yenye kushinda tu.Kwa hiyo nyinyi simba huwa mnawapulizia kina lipuli, stand united n.k. ndo maana mnahofia kupuliziwa?
Mchawi hata akiumwa kichwa kwa njaa ataamini kalogwa wallah
Simba jana walikuwa wazito. Wanakaba kwa macho, free headers, lack of concentration!Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .
Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati
Nakala - Ismail Aden Rage
Mkuu, game ya jana hatujashambulia na setup ilikuwa defensive zaidi. Kotei, Gyan, mkude, na mabeki, mzamiru. Hawa mi defensive minded players. Maana yake tulikuwa na wachezaji saba wa defence kati ya 11. Na hata kwa kuangalia As Vita walikuwa ktk eneo letu asilimia karibu 80 ya mchezo. Kilichotuponza jana ninkuwa sloo sana na tukipata mpira tunacheza pasi zisizo za maana eneo letu.Mkuu Erythrocyte tukubali matokeo tu
Kilichoiponza simba ni game plan
mechi za Africa mwenyeji ni mfalme so hatukupaswa kwenda na plan ya kushambulia pale Congo
Tulitakiwa tuzuie, then tushambulie kwa kuvizia
Ila yote kwa yote pale kwa mchina sioni kama tutashindwa kumfunga As vita.
Ndio akili za wana ufipa hizi walahiUpo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .
Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati
Nakala - Ismail Aden Rage
AS Vita ikirekebisha makosa ya umalizaji, kwa mchina Simba atapigwa kuanzia 3 kwenda juu. Jana AS Vita wangetulia vizuri Simba alikuwa anakufa kama 8 hivi.Mkuu Erythrocyte tukubali matokeo tu
Kilichoiponza simba ni game plan
mechi za Africa mwenyeji ni mfalme so hatukupaswa kwenda na plan ya kushambulia pale Congo
Tulitakiwa tuzuie, then tushambulie kwa kuvizia
Ila yote kwa yote pale kwa mchina sioni kama tutashindwa kumfunga As vita.
Kwa mchina kila goti litapigwa.AS Vita ikirekebisha makosa ya umalizaji, kwa mchina Simba atapigwa kuanzia 3 kwenda juu. Jana AS Vita wangetulia vizuri Simba alikuwa anakufa kama 8 hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Manara anawaharibu watu wa Simba, mi naungana na negativity attitude ya shafii dauda ikizingatiwa itaivusha simba kuliko positivity ya manaraHizo tabia zipo sana na Simba anazijua, sasa leo asije na povu kama vile Simba ni timu yenye kushinda tu.
Kwa kikosi gani chenye kurudi na ushindi toka nje ya nchi?!!!!
Sasa kama mlicheza kulinda mkafungwa tano Siku mkifunguka kushambulia si mtafungwa 10-0../Mkuu, game ya jana hatujashambulia na setup ilikuwa defensive zaidi. Kotei, Gyan, mkude, na mabeki, mzamiru. Hawa mi defensive minded players. Maana yake tulikuwa na wachezaji saba wa defence kati ya 11. Na hata kwa kuangalia As Vita walikuwa ktk eneo letu asilimia karibu 80 ya mchezo. Kilichotuponza jana ninkuwa sloo sana na tukipata mpira tunacheza pasi zisizo za maana eneo letu.
Hao ni wachina wanamwagia maji uwanja bhana !Mimi pia nilishangaa JS SAOURA kucheza vile, na hata Nkana pia. Lazima uchunguzi wa kina ufanyike.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk