Ombi la Dharula : CAF ichunguze haraka vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Martyrs Kinshasa

Ombi la Dharula : CAF ichunguze haraka vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Martyrs Kinshasa

Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .

Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati

Nakala - Ismail Aden Rage
Hahahaaaaaa! Eti napinga vibaya mno! Hahahaaaa kweli wewe ni mbumbumbu Mkuu! Unadhan Caf hawana chakufanya mpaka waanze kuchunguza hisia zako? Waambie TFF waanze kuchunguza mchezo wenu na Mashujaa kwanza maana pia mlicheza mpira mbovu sana kisha wachunguze Azam maana hata fainali ya mapinduzi mlirukaruka tu uwanjani.

By the way wewe ni mpinzni wa kila kitu hata serikali inayokufanya uandike uozo wako unaipinga kila iitwayo Leo.

Ila unahaki ya kulalamika goli tano zinauma I see asikwambie MTU.

Wewe ni mwanamke najua unajua shughuli ya goli tano ikoje inahusisha mpaka kuchubuliwa ..hahahaaaa
 
Hahahaaaaaa! Eti napinga vibaya mno! Hahahaaaa kweli wewe ni mbumbumbu Mkuu! Unadhan Caf hawana chakufanya mpaka waanze kuchunguza hisia zako? Waambie TFF waanze kuchunguza mchezo wenu na Mashujaa kwanza maana pia mlicheza mpira mbovu sana kisha wachunguze Azam maana hata fainali ya mapinduzi mlirukaruka tu uwanjani.

By the way wewe ni mpinzni wa kila kitu hata serikali inayokufanya uandike uozo wako unaipinga kila iitwayo Leo.

Ila unahaki ya kulalamika goli tano zinauma I see asikwambie MTU.

Wewe ni mwanamke najua unajua shughuli ya goli tano ikoje inahusisha mpaka kuchubuliwa ..hahahaaaa
hayo ya kuchubuliwa ya nini tena mkuu ?
 
Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .

Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati

Nakala - Ismail Aden Rage
Kwan we ulijua AS Vita in km Ndanda au!?
Washaingia Mara ngapi fainali Champion?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hayo ya kuchubuliwa ya nini tena mkuu ?
Utakuwa umeyaelewa vyema. Punguza upopoma na uhuja plus umbumbumbu, uwe unatumia na akili zako kidogo hata kwa 30% maana upo kujazwa tu..

Za kuambiwa uwe unachanganya na za kwako
 
Utakuwa umeyaelewa vyema. Punguza upopoma na uhuja plus umbumbumbu, uwe unatumia na akili zako kidogo hata kwa 30% maana upo kujazwa tu..

Za kuambiwa uwe unachanganya na za kwako
Duh !
 
Simba walipaswa kucheza deep kujilinda zaidi na kutengeneza counter attack

Mechi za Africa ukicheza ugenini hupaswi kukabia kwenye highline kama walivyofanya Simba lazima utafungwa nyingi tu
Al Alhy na Esperansa pamoja na ubabe wao wote wakicheza a ugenini wanapaki basi na kupoteza muda wakitafuta sare wale sio wajinga wanajua mechi za Africa zilivyo

Sasa wewe unaenda kwa As Vita unasema tunaenda kushambulia matokeo yake lazima ule nyingi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .

Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati

Nakala - Ismail Aden Rage
Aaaahaa [emoji23] Au ndo maana Manara kaongea kwa upole alikuwa na mbonji bado??? Duh mikia bwana!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .

Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati

Nakala - Ismail Aden Rage
Haya ni Mambo ya kufirika? Walizidiwa sana mpira. Wale vita club walicheza mpira wa kufundishwa tofauti na simba AS VITA HOYEEE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiwe na ushabiki wa kishamba hatuna timu ya ushindani kama unavyodhani.

Ulijua Simba atamfunga AS Vita? Uwe unatumia akili vizuri basi, siyo kisa una mahaba na Simba basi hata akili nazo uwape.

Mimi huwa ni shabiki msema ukweli sina konakona kama nyoka.

SIMBA HATUTAPATA POINT HATA MOJA KWENYE MECHI ZA UGENINI. Ukitaka meza ukiona chungu tema.
Hawapendagi ukweli ndo.maana wanamtukana DAUDA hata kama akipost maswala ya familia yake..

[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manara kishawaanisha hivyo,uwaambi kitu hapo,simba ikawekwe kwenye kundi moja na psg,madrid na man u na bado haiwezi kua underdog,manara akaenda mbali zaidi kwenye kikosi chake bora cha dunia 2018 ndani yake akamuweka chama,na wafuasi wake bado wakaamini kbs chama ni mmoja wachezaji 11 bora hapa duniani!
Shaffih dauda juzi aliwaita mashabiki wa simba kuwa ni mashabiki OYA OYA. Yaani chochote kikisemwa wao wamo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom