Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,166
- 1,075
Acha kuuchafua mpira.Wachezaji mlionao wamechoka wote ni vizee.Mliambiwa mnanunua wahenga mkabisha.Leo mnavuna mlichopanda.Acha uongo.Kila siku mbona mnalia lia? Nendeni CAS mkakate rufaa.Wazee wakulialia.Kila siku nyinyi tuu mnaoonewa?Upo uwezekano mkubwa sana kwa chumba ambacho timu yetu ya simba ilipewa kuwekewa kitu kibaya , haiwezekani Simba kucheza vile , ni lazima kutakuwa na kitu kimefanyika , hii si ile simba tunayoifahamu , napinga vibaya sana .
Na kwa hili ni lazima timu ya AS VITA ifungiwe maisha , hii michezo ya kupuliza dawa za usingizi kwenye vyumba vya timu pinzani imepitwa na wakati
Nakala - Ismail Aden Rage
Tell them.Wanaendeshwa na mihemko ya Manyara.Simba tuna timu gani ya kupambana na club kama Vita? Ujue tusitake kuona hako katimu kama Barcelona au Manchester City.
Wachezaji karibia wote ni 35+ walishatumika kila mahali unafikiri utashindaje.As Vita ni timu kubwa sana.Roul Shungu ni kocha mkubwa sana lakini ni kocha msaidizi pale, Uchebe hata CV take in ya kutafuta kwa tochi lkn ndo kocha mkuu simba unategemea nini? Unajifanya kwenda huku huna breki!Usiwe na ushabiki wa kishamba hatuna timu ya ushindani kama unavyodhani.
Ulijua Simba atamfunga AS Vita? Uwe unatumia akili vizuri basi, siyo kisa una mahaba na Simba basi hata akili nazo uwape.
Mimi huwa ni shabiki msema ukweli sina konakona kama nyoka.
SIMBA HATUTAPATA POINT HATA MOJA KWENYE MECHI ZA UGENINI. Ukitaka meza ukiona chungu tema.
Wao wakisikia underdog wanadhani ni mbwa wa chini.Sumba haina kochaaaaaDauda alisema ni underdog mkamjia juu...! Tulieni.
Msemaji wasYanga Dismas Ten usimfananishe na Manara na hao wengine.Ukinukuu maneno ya ovyo nawe unakuwa wa ovyo. Hebu kama kweli maneno haya aliyasema Manara mwache na maneno yake wewe endelea na busara zako. Nilishasema Timu za Tanzania zinafeli kuanzia menejimenti hati uwanjani. Angalau upande wa walimu pale ambapo hawaingiliwi na menejimenti. Huwezi kuwa na Msemaji wa timu asiyejua aongee nini wakati gani? Masuala mengi anayoongea Msemaji wa Yanga, Simba, Mtibwa au Ruvu Shooting hayapaswi kusemwa na yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika tulizidiwa kila mahali.Kaduguda anatudai cjapati.WaKongo walikumbuka rambirambi za mafisango mara wakasema leo Simba atapata taabu saana.Uongo mtupu babake Simba tulihororoja.AS Vita ikirekebisha makosa ya umalizaji, kwa mchina Simba atapigwa kuanzia 3 kwenda juu. Jana AS Vita wangetulia vizuri Simba alikuwa anakufa kama 8 hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Masaburi kaziniNilirajia kufungwa lakini sio goli 5,hapa kuna kitu si bure
Jana ilikuwa bahati mbaya, kwenye mpira lolote linaweza kutokea.
(Mtani jana ni bora ungevaa jezi nyekundu)View attachment 999923
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha Manara amekuwa mlaghai kama Kibwetere.Haya ndo madhara ya kushikiwa akili na Manara. Manara anawadanganya kuwa simba inaweza pambana na barcelona halafu mnaamini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usiache uchunguzi ufanyike ili ukweli ujulikane mkuu ?Acha kuuchafua mpira.Wachezaji mlionao wamechoka wote ni vizee.Mliambiwa mnanunua wahenga mkabisha.Leo mnavuna mlichopanda.Acha uongo.Kila siku mbona mnalia lia? Nendeni CAS mkakate rufaa.Wazee wakulialia.Kila siku nyinyi tuu mnaoonewa?
Sent using Jamii Forums mobile app