Ombi la Dharula : CAF ichunguze haraka vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Martyrs Kinshasa

Mpira una matokeo matatu sasa kama wao walienda kucheza bila kujua hili au wewe mtoa mpost umepost bila kujua hili basi visingizio vyako ni sahihi kwako
 
Acha kuuchafua mpira.Wachezaji mlionao wamechoka wote ni vizee.Mliambiwa mnanunua wahenga mkabisha.Leo mnavuna mlichopanda.Acha uongo.Kila siku mbona mnalia lia? Nendeni CAS mkakate rufaa.Wazee wakulialia.Kila siku nyinyi tuu mnaoonewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji karibia wote ni 35+ walishatumika kila mahali unafikiri utashindaje.As Vita ni timu kubwa sana.Roul Shungu ni kocha mkubwa sana lakini ni kocha msaidizi pale, Uchebe hata CV take in ya kutafuta kwa tochi lkn ndo kocha mkuu simba unategemea nini? Unajifanya kwenda huku huna breki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msemaji wasYanga Dismas Ten usimfananishe na Manara na hao wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AS Vita ikirekebisha makosa ya umalizaji, kwa mchina Simba atapigwa kuanzia 3 kwenda juu. Jana AS Vita wangetulia vizuri Simba alikuwa anakufa kama 8 hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika tulizidiwa kila mahali.Kaduguda anatudai cjapati.WaKongo walikumbuka rambirambi za mafisango mara wakasema leo Simba atapata taabu saana.Uongo mtupu babake Simba tulihororoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Banyamulenge wa M23 walikuwa wanajitwangia tuu simba watakavyo, kwa hiyo walikuwa wanacheza huku wamesinzia? mipira walikuwa wanaionaje!!?? hakuna timu ya kizembe kama simba, wamekariri kucheza pasi fupi fupi hata wanapokutana na mafundi kama vita.Wao wanajitamba kwenye ukurasa za kijamii za timu mahasimu kama mbabane, nkana na juzi wakaangukia pua kwa vita eti wana KAGERE, CHAMA, BOKO nk wakati wenzao timu nzima imesheheni watu wenye vipaji na phisique ya hali ya juu,, wakati simba wanashindia chips wenzao vita asubuhi wanakula supu ya POPO , mchana ugali na nyama ya NYANI na jioni Ugali na MAPANKI (MIFUPA) ya sangara utawaweza wapi?
 
Kwan manara kashatoa tamko?icho ndo tu nasubiri wana msimbanzi ayo mengine maneno tu
 
Mkuu mimi ni Simba ila kubali tu wachezaji wetu walishindwa kujiamini ikapelekea kucheza chini ya kiwango.

Tujipange kwa mechi zinazokuja tukianza kufikiria hivyo vitu hatutofika popote.
 
Kwanini usiache uchunguzi ufanyike ili ukweli ujulikane mkuu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…