Ombi la Dharula : CAF ichunguze haraka vyumba vya kubadilishia nguo kwenye uwanja wa Martyrs Kinshasa

Club bingwa Africa ipo hivyo, Vita na ahly hata wao hawawezi pata ushindi away matokeo mazuri away ni droo, simba alipaswa kupunguza idadi kupata advantage ya H2H kwenda kushambulia away ni utovu wa nidhamu haswa soka la africa
Wana uhakika gani wa ushindi hapa bongo mpaka wakatafute sare ugenini...[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mpira ule uliocezwa na Vital sioni kama wataweza kutuzuia kuwafunga hata goli 3.
Tulieni muda ukifika itajulikana tu
 
Ila sijui ndivyo tulivyo ,huwa naonaga wachezaji wa bongo wana kimbia kama wananyata vile.sasa wenzetu ni kama wanariadha wa Kenya.mibio mpaka mabeki wanalewa.
 
KWANI UNAPATA TABU SANA HADI USIKUBALI TU KWA SOKA LA KONGO LIKO JUU MNO KWA UZURI KULIKO SOKA LETU LA MANENOENGI NA MAGAZETINI?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka unajua nakuvutia picha jnc ulivyokuwa unaandika huu ujumbe kwa umakini hasa hadi nataka kukupa 100%√ kwa jnc unavyotuchana WA TZ makavu laivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okwi umri umeenda sana na Boko, tatizo huwa hatupendi kuyapokea mapungufu yetu badala ya kutanguliza ushabiki na mahaba mbele hasa kwa kila kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuanzia Congo kwenda kule magharibi mwa Africa kuna njemba zilizoshiba sana kiafya, kiakili hata kimwili tofauti na kwetu hapa TZ.

Drogba alikujaga hapa TZ na timu ya Taifa Ivery Coast "Cote D' Voire" na kushangaza Watanzania wengi sana kwa yeye pekee kumtafuna kuku mzima na ugali juu, hapo bado hajashushia maji ya kunywa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…