Ombi la kurejeshewa Internet

nadhan ifike sehem kama ni kuachishwa siasa muachishwe tu kwa sababu your of no use, as a company tuliletewa barua kabla mambo yote hajafungwa and mwisho ni 11th, unless further notice, hio barua ilishapostiwa uku mara kibao
Kwanini mlikubali huo upuuzi ? after all nani wa kukuamini wewe na kwa sababu zipi ? who are you by the way ?

Mmekubali kutumika kuficha wizi na mauaji ya wapemba na mkakubali , mkiitwa wanyama mtakataa ? halafu kitu gani mlichodhani mnakificha ambacho hakijajulikana ?

Shetani hana rafiki , what goes around comes around .
 
Kwanin ifungwe..?
 


vp hamchomi ofisi zenu tena?
naskia mnataka kumfukuza aidan kama mlivowatimua wale wa wengine kipindi cha corona!
lastly: i dont need you to balance your belief, barua inasema 11th november! and wait for 11th uje utoe kelele zako tena, infact nadhan jana airtel walipewa go ahead so ina maaana kuanzia kesho everything will be fine, taarifa za ndan
 
Kama una akili timamu huwezi kushabikia jiwe humu kwa kutumia VPN , huku huyo huyo jiwe ndio kaleta aibu hii

Ndo maaana nmekwambia ifike sehem msimamishwe tu siasa, its a shame kusema kuna upinzani hii nchi, ivi wewe ndo ulisema upo unfanya kazi pale ufipa?
 
Kwanini uchafu wote huu mmefanya lakini kila mliowaua wamejulikana ?
 
Hivi huwezi download vpn? Hata rais sasa anatumia VPN..polepole anatumia vpn, msemaji mkuu wa serikali anatumia VPN. Sasa sio kosa kisheria kutumia vpn
 
Tumeteseka vya kutosha hadi sasa bado mtandao una suasua na kam ahausuisui basi haupatikani. tar 27 mitandao ilizimwa kabisa hadi leo.

Hivi si serikali ilipita kwa kishindo sisi tuna makosa gani mpaka watufungie ukizingatia wengine ulaji wetu na maisha yamo kupitia mitandao.

Tunaomba kila mtu ambaye ni mtanzania amuheshimu mwingine, wote tuheshimiane, hakuna aliye juu ya Mwenyezi Mungu wote tunahitaji riziki.

Maisha yapo kila mahali si kwenye siasa tu, tunaomba watufungulie mitandao ili maisha yetu yaendelee kama kawaida tutamuomba mwenyezi Mungu aifungue wasipofungua.
 
Pole sana mkuu, jaribu ku instal application ya VPN, hiyo ni application inayosaidia sana, mimi nilikuwa siwezi kuingia kabisa JF lakini baada ya kuinstal VPN na kuiunganisha (kuiactivate) ndiyo leo nimeweza kuingia JF. Bila VPN ilikuwa shida sana kuingia ukumbini.
 
Kwa hiyo unaunga mkono kufungwa kwa hiyo mitandao
 
China ni Taifa la kikomunist sio la mfumo wa kidemokrasia kama tunavyojinasibu sisi.

it doesnt matter the point apa ni uzimaji wa mitandao ya kijamii, wote ni binadam so tuwaite washamba pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…