Ombi la kurejeshewa Internet

Na wewe Tambua hivi karibu vyuo vyote Tanzania wanatumia mitandao ya kijamii hasa WhatsApp kwa ajili ya kujisomea ambapo wanatumiwa notes na vitu vingi.
Sasa haujui wamewatesa
Chuo cha Shangaz yako ndio kimefunguliwa?

Unaakili ww?

University huwa kuna system yenye Dashboard ya kuwezesha Mzunguko wa Materials zisambazwe.. na kwa sas hakuna Chuo kilicho wazi
 
Hapo ulipo ushavunjwa sasa unamtisha nani
 
Wanaohusika na Internet tunaomba mturejeshee internet jamani. Kumbukeni wengine wanasoma online, wengine wanafanya biashara online, wengine internet ndio chakula chao.

Naombeni sana mturudishie hii kitu inatutesa sana.
Hili ombi yani la msingi sana, sijui linawasilishwaje ili tujibiwe mapema bana, maisha yanedelee tusharidhika basi
 
Mwenzio kafanya utani wewe umekuja na wenge, kama internet iko low ivyo vitu vya maendeleo unavipata wapi?
lakn bado unaweza chart twitter..Imbecile...Muwe mnafanya uchunguzi..hamna kitu kilichozuiwa ila mitandao ya kijamii kupunguza umbea..au Hujui watanzania Tunaongoza kwa umbea Afrika
 
Hahahhaahhaaahahahhaaha.
 
Nimekuja kugundua mbogamboga itaongoza miaka 100 ijayo na zaidi kwa akili hizi. Nikikuambia sina internet ya airtel ,voda na tigo leo ni siku ya 4 huwez kubali,,bila kuwepo kwa hyo internet huko google, zoom, ama google meets nitafikaje? Jingaaaa kabisa wewe
 
Hivi. Hiyo VPN inatumika kufungua facebook. ??? Mbons mm kwangu inakataa
 
lakn bado unaweza chart twitter..Imbecile...Muwe mnafanya uchunguzi..hamna kitu kilichozuiwa ila mitandao ya kijamii kupunguza umbea..au Hujui watanzania Tunaongoza kwa umbea Afrika
Mmbea wewe mwenyewe, usitulazmishe wote tuwe na tabia yako
 
Safii sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…