Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Sawa mnyonge ila elewa kila muda nazima VPN na kutestiSas unabisha nin wakat hujafany Tafiti..?? Mim natumia TTCL mtandao wa Serikali na naipata Google vzr na IG notification zinakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mnyonge ila elewa kila muda nazima VPN na kutestiSas unabisha nin wakat hujafany Tafiti..?? Mim natumia TTCL mtandao wa Serikali na naipata Google vzr na IG notification zinakuja
Sasa unaponiambia nisilale ili nisikie Rais akitangazwa una maana gani?Nimetaja kuwa ww ni CHAMA fulani? Umejiona ulivya fala?
Bila unafki.. Mitandao yote inapatikana ila YA KIJAMII imefungwa kwa sasa.. GOOGLE na huduma zake zinapatikana ndio maan tukawez kupata hata hizo VPNSawa mnyonge ila elewa kila muda nazima VPN na kutesti
Sas kama RAIS hakuhusu.. unakuja kulalamika nin? Unamlalamikia nan? si upambane mwenyew huko.. haya tawaza ulaleSasa unaponiambia nisilale ili nisikie Rais akitangazwa una maana gani?
Kwangu mimi maisha yangu sijawahi kutegemea uwepo wa Rais wala nani maana huwa napambana kivyangu na mafanikio huja kwa kujituma sio Rais kukuletea fedha wala chakula.
Ni zaidi ya mshamba...watu wanaojifanya Wana akili sana Kama huyu,almost ni vilaza kila Jambo kukurupuka tu.
Oma hili bwege.. nan kakwambia JF imefungwa?? JF ni FREEEEEE miaka 10000 Haitafungwa na siombei ifungwe..Duuuh umetumia nguvu nyingi kuwa na VPN ili uandike utopolo huu?? Kelele zote hizi kwa hisani ya mabeberu [emoji23][emoji23][emoji23]. Sijui kama huwa unajitathmini... kwa kukumbusha tu hao unawashabikia wamekunyima uhuru wa kiingia humu mpk ukavunja sheria ndo umepata kuingia humu...kuwa na VPN ni kinyume na sheria za mtandao...[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapanik mbaya... najua ni jobless wewe ndo maana unamalizia stress zako huku... [emoji23][emoji23][emoji23] ya nini ukakaa nazo ukabast hlf ukafa... zitoe tuuuu. BTW hivi JF sio sosho midia eeee???Oma hili bwege.. nan kakwambia JF imefungwa?? JF ni FREEEEEE miaka 10000 Haitafungwa na siombei ifungwe..
Jf bila VPN inapatikana
Umejiona ulivyo FALA?
Ndicho kinachofuata sasa! Michezo ya kitoto sana hiyoNa utamsikia mwenyewe akisema 'Kwanini mnawazimia internet wananchi wangu wanyoooonge kabisa,ona sasa hata vijana wanaoishi kwa kuuza miziki na movie kwny flash hawawezi kufanya kazi yao kwa sababu hakuna internet,kweli ndg zangu watanzania naomba mniombee sana hii kazi ya urais ni ngumu saaana mpk najuta kwanini nilisukumizwa huku'.
Jobless eee???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapanik mbaya... najua ni jobless wewe ndo maana unamalizia stress zako huku... [emoji23][emoji23][emoji23] ya nini ukakaa nazo ukabast hlf ukafa... zitoe tuuuu.
Kama ni wakike em Njoo PM unitambue vzr.. then... Baadae utarud Kuandika UZI wa Kuacha Dharau mileleGoooood boy.... !!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]again panik vibaya sana...[emoji23][emoji23][emoji23] acha kujidhalilisha bob... focus!!!Kama ni wakike em Njoo PM unitambue vzr.. then... Baadae utarud Kuandika UZI wa Kuacha Dharau milele
Jichekeshe tu... Habari ndio hiyoo washa Runinga hapo.. pata Pepsi ya barid Mheshimiwa RAIS.. anatangazwa soon[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]again panik vibaya sana...[emoji23][emoji23][emoji23] acha kujidhalilisha bob... focus!!!
Tunafuata nyayo za China sasa rasmi...Wanaohusika na Internet tunaomba mturejeshee internet jamani. Kumbukeni wengine wanasoma online, wengine wanafanya biashara online, wengine internet ndio chakula chao.
Naombeni sana mturudishie hii kitu inatutesa sana.
Math is fun haijafungwa!We unatafuta nini JF na ulikuwa unapost wapi hayo maneno yako wakati JF ilipofungwa? [emoji848]
CCM haihitaji uchaguzi kutawala. Samia alisema "...hata msipotuchagua tutaunda siri-kali.."Na muendelee kuichagua hiyo CCM yenu
Majibu ya wanaume wanaingia kwenye siku zao ukimaliza kubridi niambieUjinga ni kwamba KUAMINI kuwa INTERNET imefungwa..
Kitu ambacho si KWELI..
kilichofungwa ni BAADHI ya MITANDAO YA KIJAMII tu
Huduma zote zinapatikana katika INTERNET..
kama kusoma huwa UNASOMA TWITTER?? au Classroom huw inafanyika FACEBOOK?? au WhatsApp??
Tumia akil vzr
Ingia BARABARANI... kama huwez tulia
Na Tutawavunjaa
Ww ushamaliza?Majibu ya wanaume wanaingia kwenye siku zao ukimaliza kubridi niambie