Ombi la kurejeshewa Internet

Nimetaja kuwa ww ni CHAMA fulani? Umejiona ulivya fala?
Sasa unaponiambia nisilale ili nisikie Rais akitangazwa una maana gani?

Kwangu mimi maisha yangu sijawahi kutegemea uwepo wa Rais wala nani maana huwa napambana kivyangu na mafanikio huja kwa kujituma sio Rais kukuletea fedha wala chakula.
 
Sasa unaponiambia nisilale ili nisikie Rais akitangazwa una maana gani?

Kwangu mimi maisha yangu sijawahi kutegemea uwepo wa Rais wala nani maana huwa napambana kivyangu na mafanikio huja kwa kujituma sio Rais kukuletea fedha wala chakula.
Sas kama RAIS hakuhusu.. unakuja kulalamika nin? Unamlalamikia nan? si upambane mwenyew huko.. haya tawaza ulale
 
Oma hili bwege.. nan kakwambia JF imefungwa?? JF ni FREEEEEE miaka 10000 Haitafungwa na siombei ifungwe..

Jf bila VPN inapatikana

Umejiona ulivyo FALA?
 
Oma hili bwege.. nan kakwambia JF imefungwa?? JF ni FREEEEEE miaka 10000 Haitafungwa na siombei ifungwe..

Jf bila VPN inapatikana

Umejiona ulivyo FALA?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapanik mbaya... najua ni jobless wewe ndo maana unamalizia stress zako huku... [emoji23][emoji23][emoji23] ya nini ukakaa nazo ukabast hlf ukafa... zitoe tuuuu. BTW hivi JF sio sosho midia eeee???
 
Ndicho kinachofuata sasa! Michezo ya kitoto sana hiyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unapanik mbaya... najua ni jobless wewe ndo maana unamalizia stress zako huku... [emoji23][emoji23][emoji23] ya nini ukakaa nazo ukabast hlf ukafa... zitoe tuuuu.
Jobless eee???
 
Kama ni wakike em Njoo PM unitambue vzr.. then... Baadae utarud Kuandika UZI wa Kuacha Dharau milele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]again panik vibaya sana...[emoji23][emoji23][emoji23] acha kujidhalilisha bob... focus!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]again panik vibaya sana...[emoji23][emoji23][emoji23] acha kujidhalilisha bob... focus!!!
Jichekeshe tu... Habari ndio hiyoo washa Runinga hapo.. pata Pepsi ya barid Mheshimiwa RAIS.. anatangazwa soon
 
Wanaohusika na Internet tunaomba mturejeshee internet jamani. Kumbukeni wengine wanasoma online, wengine wanafanya biashara online, wengine internet ndio chakula chao.

Naombeni sana mturudishie hii kitu inatutesa sana.
Tunafuata nyayo za China sasa rasmi...
 
Majibu ya wanaume wanaingia kwenye siku zao ukimaliza kubridi niambie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…