Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Will due respect
Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni
Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama uhai kwakuwa hakuna vipuri vya uhai
Naomba with all due respect mada husika iweze kurudishwa ili JF ionekane ni sehemu ya kuunga mkono dhidi ya udhalimu wa utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Naamini kati ya wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa wamo pia wanachama, wapenzi na wafuasi wa jukwaa letu pendwa la JF
JF ina watu wa kila aina na wenye habari za kila aina kwenye kila kitu .. Na ndio maana kwasasa inachukuliwa kama chanzo cha uhakika cha taarifa nyingi (credible source)
Naamini kwa dhati ya moyo mada husika ingeachwa hewani zingekuwa zimeshapatikana taarifa nyingi na pengine nyeti juu ya hali tuliyo nayo kwasasa kuliko kila wakati kuwa na mada nyingine mpya
Waliotekwa, waliopotea, waliopotezwa na waliouawa ni sehemu ya JF kwakuwa JF ni ya wote.. Naomba sana tuitoe kifungoni mada husika kuonesha support yetu kwa hao wahanga wote wa natukio tajwa
Kwa heshima na tadhima
Kwa uhai na ustawi wa JF
Naomba ikuwasilisha
Ndimi mjoli wenu
Mshana Jr
Kilingeni Msata
September 12 2024
Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni
Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama uhai kwakuwa hakuna vipuri vya uhai
Naomba with all due respect mada husika iweze kurudishwa ili JF ionekane ni sehemu ya kuunga mkono dhidi ya udhalimu wa utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Naamini kati ya wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa wamo pia wanachama, wapenzi na wafuasi wa jukwaa letu pendwa la JF
JF ina watu wa kila aina na wenye habari za kila aina kwenye kila kitu .. Na ndio maana kwasasa inachukuliwa kama chanzo cha uhakika cha taarifa nyingi (credible source)
Naamini kwa dhati ya moyo mada husika ingeachwa hewani zingekuwa zimeshapatikana taarifa nyingi na pengine nyeti juu ya hali tuliyo nayo kwasasa kuliko kila wakati kuwa na mada nyingine mpya
Waliotekwa, waliopotea, waliopotezwa na waliouawa ni sehemu ya JF kwakuwa JF ni ya wote.. Naomba sana tuitoe kifungoni mada husika kuonesha support yetu kwa hao wahanga wote wa natukio tajwa
Kwa heshima na tadhima
Kwa uhai na ustawi wa JF
Naomba ikuwasilisha
Ndimi mjoli wenu
Mshana Jr
Kilingeni Msata
September 12 2024