Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Muasisi wa utekaji nanuuaji anabakia ni Magufuli, periodKaa kimya pimbi wewe.
View attachment 3093753
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muasisi wa utekaji nanuuaji anabakia ni Magufuli, periodKaa kimya pimbi wewe.
View attachment 3093753
Natamani ungeliondoa neno KILINGENI!Will due respect
Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni
Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama uhai kwakuwa hakuna vipuri vya uhai
Naomba with all due respect mada husika iweze kurudishwa ili JF ionekane ni sehemu ya kuunga mkono dhidi ya udhalimu wa utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Naamini kati ya wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa wamo pia wanachama, wapenzi na wafuasi wa jukwaa letu pendwa la JF
JF ina watu wa kila aina na wenye habari za kila aina kwenye kila kitu .. Na ndio maana kwasasa inachukuliwa kama chanzo cha uhakika cha taarifa nyingi (credible source)
Naamini kwa dhati ya moyo mada husika ingeachwa hewani zingekuwa zimeshapatikana taarifa nyingi na pengine nyeti juu ya hali tuliyo nayo kwasasa kuliko kila wakati kuwa na mada nyingine mpya
Waliotekwa, waliopotea, waliopotezwa na waliouawa ni sehemu ya JF kwakuwa JF ni ya wote.. Naomba sana tuitoe kifungoni mada husika kuonesha support yetu kwa hao wahanga wote wa natukio tajwa
Kwa heshima na tadhima
Kwa uhai na ustawi wa JF
Naomba ikuwasilisha
Ndimi mjoli wenu
Mshana Jr
Kilingeni Msata
September 12 2024
WAEFESO 4:31-32Mshana huna baya...usitekwe
Nadhani wamekuelewaMatukio kama haya yanayoendelea nchini yote tungeyaweka kwenye mada husika
Sikuwa na backup ndio maana nimeomba wairudishe🙏🏿
Natamani ungeliondoa neno KILINGENI!
Ila pole sana mkuu. Najua mada zako huwa si za kitoto, na huna kawaida kutukana. Halafu inatumia verified id! Kwa nini wamefanya hivyo? Wanahofia usalama wao? JF ina maslahi na mada uliyoiandika? Baadhi ya "wahariri" wa JF nao wanahitaji kutazamwa.
Ukiweza, andika tena. Wakiifuta , unaiandika tena na tena mpaka wachoke kuifuta!
Asante sana mkuu wangu.. Wakati naandika hii mada nilikuwa pale Msata kilipokuwa kilinge changu enzi zile za kizaNatamani ungeliondoa neno KILINGENI!
Ila pole sana mkuu. Najua mada zako huwa si za kitoto, na huna kawaida kutukana. Halafu inatumia verified id! Kwa nini wamefanya hivyo? Wanahofia usalama wao? JF ina maslahi na mada uliyoiandika? Baadhi ya "wahariri" wa JF nao wanahitaji kutazamwa.
Ukiweza, andika tena. Wakiifuta , unaiandika tena na tena mpaka wachoke kuifuta!
Kumbe!Asante sana mkuu wangu.. Wakati naandika hii mada nilikuwa pale Msata kilipokuwa kilinge changu enzi zile za kiza
Nlitaka kunukuu majina ya watu zaidi ya mia mbili waliopotea au kuuwawa kama ilivyoandikwa kwenye kitabu cha Sheikh Ponda ila naota nitapoteza muda tuu hapa.Will due respect
Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni
Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama uhai kwakuwa hakuna vipuri vya uhai
Naomba with all due respect mada husika iweze kurudishwa ili JF ionekane ni sehemu ya kuunga mkono dhidi ya udhalimu wa utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Naamini kati ya wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa wamo pia wanachama, wapenzi na wafuasi wa jukwaa letu pendwa la JF
JF ina watu wa kila aina na wenye habari za kila aina kwenye kila kitu .. Na ndio maana kwasasa inachukuliwa kama chanzo cha uhakika cha taarifa nyingi (credible source)
Naamini kwa dhati ya moyo mada husika ingeachwa hewani zingekuwa zimeshapatikana taarifa nyingi na pengine nyeti juu ya hali tuliyo nayo kwasasa kuliko kila wakati kuwa na mada nyingine mpya
Waliotekwa, waliopotea, waliopotezwa na waliouawa ni sehemu ya JF kwakuwa JF ni ya wote.. Naomba sana tuitoe kifungoni mada husika kuonesha support yetu kwa hao wahanga wote wa natukio tajwa
Kwa heshima na tadhima
Kwa uhai na ustawi wa JF
Naomba ikuwasilisha
Ndimi mjoli wenu
Mshana Jr
Kilingeni Msata
September 12 2024
Wala haya maneno hayawatishi8.Nawakumbusha yupo Mungu juu anayeona kila kitu muda wote na sehemu zote. Ipo siku kabla hamjazikwa na kufukiwa na udongo huu mnaotumia kumwaga damu, mtakumbushwa kila tukio moja mlilotenda.
Aisee sikio la kufa10.Lakini niwahakikishie akili za upinzani na harakati hazizimwi kwa mtutu wa bunduki na kufuli la Jela tulifikiri mmejifunza kwa Hayati Magufuli
Nilikua nasikiliza C2NWill due respect
Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni
Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama uhai kwakuwa hakuna vipuri vya uhai
Naomba with all due respect mada husika iweze kurudishwa ili JF ionekane ni sehemu ya kuunga mkono dhidi ya udhalimu wa utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Naamini kati ya wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa wamo pia wanachama, wapenzi na wafuasi wa jukwaa letu pendwa la JF
JF ina watu wa kila aina na wenye habari za kila aina kwenye kila kitu .. Na ndio maana kwasasa inachukuliwa kama chanzo cha uhakika cha taarifa nyingi (credible source)
Naamini kwa dhati ya moyo mada husika ingeachwa hewani zingekuwa zimeshapatikana taarifa nyingi na pengine nyeti juu ya hali tuliyo nayo kwasasa kuliko kila wakati kuwa na mada nyingine mpya
Waliotekwa, waliopotea, waliopotezwa na waliouawa ni sehemu ya JF kwakuwa JF ni ya wote.. Naomba sana tuitoe kifungoni mada husika kuonesha support yetu kwa hao wahanga wote wa natukio tajwa
Kwa heshima na tadhima
Kwa uhai na ustawi wa JF
Naomba ikuwasilisha
Ndimi mjoli wenu
Mshana Jr
Kilingeni Msata
September 12 2024