Ombi la kurejeshwa kwa mada maalum ya waliotekwa ama waliopotea

Ombi la kurejeshwa kwa mada maalum ya waliotekwa ama waliopotea

Matukio kama haya yanayoendelea nchini yote tungeyaweka kwenye mada husika

Sikuwa na backup ndio maana nimeomba wairudishe

View attachment 3093727

Unajua ni vitu vingapi vimeshiriki mpaka ukaweza kuandika reply yako hapa?
Mshana Jr umenitisha kifo na unanizoom hahaha basi naomba unisamehe kigagula wa Msata mi sina ubaya kabisa na vigagula ka wewe, sema tu kukumbushana ni muhimu ili kuweka rekodi sawa
 
Ewe Kigagula wa Msata umeleta wazo zuri sana. Ila sisi wanazi wa CCM tunakukumbusha tu uende Chato ukatubu dhambi zako za kumsagia kunguni Dkt Magufuli kusema alikuwa anatuma watu kutekwa na kuuawa na baada ya kifo wewe ni mmoja ya mlioshangilia na mkasema sasa mauaji mwisho hahaha. Tuliwaambia watekaji na wauaji walikuwa kundi la wahuni ambao lengo lilikuwa kuharibu urais wa Dkt Magufuli kiasi kwamba hata Dkt Samia aliwaunga mkono hao wahuni kwa kusema eti sasa viroba hakuna hahaha kumbe wanasubiri mambo yao yakikwama waanze tena. In short utawala wa Dkt Samia ni kama wa Commodus wa enzi za Roman Empire.
Haya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.

Tunaendelea kumlaani mpaka huko jehanam anakoungua na moto
 
Haya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.

Tunaendelea kumlaani mpaka huko jehanam anakoungua na moto
Hayo ni makundi ya akina Nep na mwezi wa kwanza wanajua hayo makundi yao. Usimsingizie Dkt Magufuli
 
Haya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.

Tunaendelea kumlaani mpaka huko jehanam anakoungua na moto
Kaa kimya pimbi wewe.
1000036119.jpg
 
Matukio kama haya yanayoendelea nchini yote tungeyaweka kwenye mada husika
Andika tena na ku post
Sikuwa na backup ndio maana nimeomba wairudishe
Ewe Kigagula wa Msata umeleta wazo zuri sana. Ila sisi wanazi wa CCM tunakukumbusha tu uende Chato ukatubu dhambi zako za kumsagia kunguni Dkt Magufuli kusema alikuwa anatuma watu kutekwa na kuuawa na baada ya kifo wewe ni mmoja ya mlioshangilia na mkasema sasa mauaji mwisho hahaha. Tuliwaambia watekaji na wauaji walikuwa kundi la wahuni ambao lengo lilikuwa kuharibu urais wa Dkt Magufuli kiasi kwamba hata Dkt Samia aliwaunga mkono hao wahuni kwa kusema eti sasa viroba hakuna hahaha kumbe wanasubiri mambo yao yakikwama waanze tena. In short utawala wa Dkt Samia ni kama wa Commodus wa enzi za Roman Empire.
View attachment 3093727
Mshana Jr umenitisha kifo na unanizoom hahaha basi naomba unisamehe kigagula wa Msata mi sina ubaya kabisa na vigagula ka wewe, sema tu kukumbushana ni muhimu ili kuweka rekodi sawa
😀
Screenshots_2024-09-10-19-27-37.png
 
Matukio kama haya yanayoendelea nchini yote tungeyaweka kwenye mada husika
Andika tena na ku post
Sikuwa na backup ndio maana nimeomba wairudishe
Ewe Kigagula wa Msata umeleta wazo zuri sana. Ila sisi wanazi wa CCM tunakukumbusha tu uende Chato ukatubu dhambi zako za kumsagia kunguni Dkt Magufuli kusema alikuwa anatuma watu kutekwa na kuuawa na baada ya kifo wewe ni mmoja ya mlioshangilia na mkasema sasa mauaji mwisho hahaha. Tuliwaambia watekaji na wauaji walikuwa kundi la wahuni ambao lengo lilikuwa kuharibu urais wa Dkt Magufuli kiasi kwamba hata Dkt Samia aliwaunga mkono hao wahuni kwa kusema eti sasa viroba hakuna hahaha kumbe wanasubiri mambo yao yakikwama waanze tena. In short utawala wa Dkt Samia ni kama wa Commodus wa enzi za Roman Empire.
View attachment 3093727
Mshana Jr umenitisha kifo na unanizoom hahaha basi naomba unisamehe kigagula wa Msata mi sina ubaya kabisa na vigagula ka wewe, sema tu kukumbushana ni muhimu ili kuweka rekodi sawa
😀
Mshana huna baya...usitekwe
😭😭😭🙏🏿🙏🏿📌🔨🙏🏿
 
Haya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.

Tunaendelea kumlaani mpaka huko jehanam anakoungua na moto
sio kweli, tafuta clip za karibuni za Mzee Butiku, naye alikuwa mtu wa serikali, amekupa na ushahidi wa toka awamu ya Nyerere mpaka hii ya sasa, pia tafuta thread ya jana ya Paschal Mayala, yeye ana ushahidi mpaka wa senior wake ambaye alikuwa Mtiss.
 
Will due respect
Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni
Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama uhai kwakuwa hakuna vipuri vya uhai
Naomba with all due respect mada husika iweze kurudishwa ili JF ionekane ni sehemu ya kuunga mkono dhidi ya udhalimu wa utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Naamini kati ya wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa wamo pia wanachama, wapenzi na wafuasi wa jukwaa letu pendwa la JF

JF ina watu wa kila aina na wenye habari za kila aina kwenye kila kitu .. Na ndio maana kwasasa inachukuliwa kama chanzo cha uhakika cha taarifa nyingi (credible source)
Naamini kwa dhati ya moyo mada husika ingeachwa hewani zingekuwa zimeshapatikana taarifa nyingi na pengine nyeti juu ya hali tuliyo nayo kwasasa kuliko kila wakati kuwa na mada nyingine mpya
Waliotekwa, waliopotea, waliopotezwa na waliouawa ni sehemu ya JF kwakuwa JF ni ya wote.. Naomba sana tuitoe kifungoni mada husika kuonesha support yetu kwa hao wahanga wote wa natukio tajwa
Kwa heshima na tadhima
Kwa uhai na ustawi wa JF
Naomba ikuwasilisha

Ndimi mjoli wenu
Mshana Jr
Kilingeni Msata
September 12 2024
Naunga mkono Hoja.

Mada nyeti kabisa namna hii haipaswi kuondolewa.
Kuondoa mada ya namna hii ni sawa na kuunga mkono utekaji kwamba uendelee.
 
sio kweli, tafuta clip za karibuni za Mzee Butiku, naye alikuwa mtu wa serikali, amekupa na ushahidi wa toka awamu ya Nyerere mpaka hii ya sasa, pia tafuta thread ya jana ya Paschal Mayala, yeye ana ushahidi mpaka wa senior wake ambaye alikuwa Mtiss.
Kwanini nutafute clip za Butiku? Kwani mimi nilikuwa Tanzania gani na Butiku alikuwa Tanzania ipi? Kipindi cha Magufuli huwezi kufananisha na hivyo vya nyuma!! Uliona wapi Mbunge anapigwa risasi akiwa kwenye kuhudhuria vikao vya Bunge??

Au hujui kwanini Magufuri aliyetuma WASIOJULIKANA kummiminia risasi 16 Lissu ndiyo amekufa, na Lissu aliyemiminiwa yuko hai?
 
Back
Top Bottom