shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Mshana Jr umenitisha kifo na unanizoom hahaha basi naomba unisamehe kigagula wa Msata mi sina ubaya kabisa na vigagula ka wewe, sema tu kukumbushana ni muhimu ili kuweka rekodi sawaMatukio kama haya yanayoendelea nchini yote tungeyaweka kwenye mada husika
Sikuwa na backup ndio maana nimeomba wairudishe
View attachment 3093727
Unajua ni vitu vingapi vimeshiriki mpaka ukaweza kuandika reply yako hapa?
Na spika jeIle kauli aliyoitoa yule Kada wa CCM kule Kagera akiwaatarrifu polisi kwamba " wakianza kuwapoteza wapi zani basi polisi wasihangaike kuwatafuta" kumbe alikuwa anamaanisha.
Haya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.Ewe Kigagula wa Msata umeleta wazo zuri sana. Ila sisi wanazi wa CCM tunakukumbusha tu uende Chato ukatubu dhambi zako za kumsagia kunguni Dkt Magufuli kusema alikuwa anatuma watu kutekwa na kuuawa na baada ya kifo wewe ni mmoja ya mlioshangilia na mkasema sasa mauaji mwisho hahaha. Tuliwaambia watekaji na wauaji walikuwa kundi la wahuni ambao lengo lilikuwa kuharibu urais wa Dkt Magufuli kiasi kwamba hata Dkt Samia aliwaunga mkono hao wahuni kwa kusema eti sasa viroba hakuna hahaha kumbe wanasubiri mambo yao yakikwama waanze tena. In short utawala wa Dkt Samia ni kama wa Commodus wa enzi za Roman Empire.
Hayo ni makundi ya akina Nep na mwezi wa kwanza wanajua hayo makundi yao. Usimsingizie Dkt MagufuliHaya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.
Tunaendelea kumlaani mpaka huko jehanam anakoungua na moto
Aisee 😯Ile kauli aliyoitoa yule Kada wa CCM kule Kagera akiwaatarrifu polisi kwamba " wakianza kuwapoteza wapi zani basi polisi wasihangaike kuwatafuta" kumbe alikuwa anamaanisha.
Kaa kimya pimbi wewe.Haya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.
Tunaendelea kumlaani mpaka huko jehanam anakoungua na moto
Hii inaendana na magizo ya clip ya tuliaMatukio kama haya yanayoendelea nchini yote tungeyaweka kwenye mada husikaView attachment 3093717
Sikuwa na backup ndio maana nimeomba wairudisheAndika tena na ku post
View attachment 3093727Ewe Kigagula wa Msata umeleta wazo zuri sana. Ila sisi wanazi wa CCM tunakukumbusha tu uende Chato ukatubu dhambi zako za kumsagia kunguni Dkt Magufuli kusema alikuwa anatuma watu kutekwa na kuuawa na baada ya kifo wewe ni mmoja ya mlioshangilia na mkasema sasa mauaji mwisho hahaha. Tuliwaambia watekaji na wauaji walikuwa kundi la wahuni ambao lengo lilikuwa kuharibu urais wa Dkt Magufuli kiasi kwamba hata Dkt Samia aliwaunga mkono hao wahuni kwa kusema eti sasa viroba hakuna hahaha kumbe wanasubiri mambo yao yakikwama waanze tena. In short utawala wa Dkt Samia ni kama wa Commodus wa enzi za Roman Empire.
😀Mshana Jr umenitisha kifo na unanizoom hahaha basi naomba unisamehe kigagula wa Msata mi sina ubaya kabisa na vigagula ka wewe, sema tu kukumbushana ni muhimu ili kuweka rekodi sawa
Sikuwa na backup ndio maana nimeomba wairudisheAndika tena na ku post
View attachment 3093727Ewe Kigagula wa Msata umeleta wazo zuri sana. Ila sisi wanazi wa CCM tunakukumbusha tu uende Chato ukatubu dhambi zako za kumsagia kunguni Dkt Magufuli kusema alikuwa anatuma watu kutekwa na kuuawa na baada ya kifo wewe ni mmoja ya mlioshangilia na mkasema sasa mauaji mwisho hahaha. Tuliwaambia watekaji na wauaji walikuwa kundi la wahuni ambao lengo lilikuwa kuharibu urais wa Dkt Magufuli kiasi kwamba hata Dkt Samia aliwaunga mkono hao wahuni kwa kusema eti sasa viroba hakuna hahaha kumbe wanasubiri mambo yao yakikwama waanze tena. In short utawala wa Dkt Samia ni kama wa Commodus wa enzi za Roman Empire.
😀Mshana Jr umenitisha kifo na unanizoom hahaha basi naomba unisamehe kigagula wa Msata mi sina ubaya kabisa na vigagula ka wewe, sema tu kukumbushana ni muhimu ili kuweka rekodi sawa
😭😭😭🙏🏿🙏🏿📌🔨🙏🏿Mshana huna baya...usitekwe
sio kweli, tafuta clip za karibuni za Mzee Butiku, naye alikuwa mtu wa serikali, amekupa na ushahidi wa toka awamu ya Nyerere mpaka hii ya sasa, pia tafuta thread ya jana ya Paschal Mayala, yeye ana ushahidi mpaka wa senior wake ambaye alikuwa Mtiss.Haya matukio hayafuti UDHALIMU wa Magufuli. Na kimsingi yeye ndiye aliyeasisi kwa kumiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA.
Tunaendelea kumlaani mpaka huko jehanam anakoungua na moto
Naamini uongozi utalifanyia KaziNaunga mkono hoja...Tena iwekwe Sticky ili tupate records ya watu wanaopotea na kutekwa ,kuwe na RB zake.
Pole na hongeraHuyu Jr nilishamvua nyota kitambo sana, siasa zinamfunika ufahamu wake ila tu kuna watu humu huwaambii kitu juu yake
Naunga mkono Hoja.Will due respect
Naomba uongozi wa JF utafakari tena uamuzi wa kuifuta mada husika niliyoiweka hivi karibuni
Ni mada inayohusika na uhai wa watu .. Kwenye dunia hii hakuna kitu cha thamani kama uhai kwakuwa hakuna vipuri vya uhai
Naomba with all due respect mada husika iweze kurudishwa ili JF ionekane ni sehemu ya kuunga mkono dhidi ya udhalimu wa utekaji na mauaji yanayoendelea nchini
Naamini kati ya wengi waliotekwa, kupotea ama kuuliwa wamo pia wanachama, wapenzi na wafuasi wa jukwaa letu pendwa la JF
JF ina watu wa kila aina na wenye habari za kila aina kwenye kila kitu .. Na ndio maana kwasasa inachukuliwa kama chanzo cha uhakika cha taarifa nyingi (credible source)
Naamini kwa dhati ya moyo mada husika ingeachwa hewani zingekuwa zimeshapatikana taarifa nyingi na pengine nyeti juu ya hali tuliyo nayo kwasasa kuliko kila wakati kuwa na mada nyingine mpya
Waliotekwa, waliopotea, waliopotezwa na waliouawa ni sehemu ya JF kwakuwa JF ni ya wote.. Naomba sana tuitoe kifungoni mada husika kuonesha support yetu kwa hao wahanga wote wa natukio tajwa
Kwa heshima na tadhima
Kwa uhai na ustawi wa JF
Naomba ikuwasilisha
Ndimi mjoli wenu
Mshana Jr
Kilingeni Msata
September 12 2024
Kwanini nutafute clip za Butiku? Kwani mimi nilikuwa Tanzania gani na Butiku alikuwa Tanzania ipi? Kipindi cha Magufuli huwezi kufananisha na hivyo vya nyuma!! Uliona wapi Mbunge anapigwa risasi akiwa kwenye kuhudhuria vikao vya Bunge??sio kweli, tafuta clip za karibuni za Mzee Butiku, naye alikuwa mtu wa serikali, amekupa na ushahidi wa toka awamu ya Nyerere mpaka hii ya sasa, pia tafuta thread ya jana ya Paschal Mayala, yeye ana ushahidi mpaka wa senior wake ambaye alikuwa Mtiss.