Hiyo ndio CV? CV Yako sijaionaHizo information nilizoweka zinatosha kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio CV? CV Yako sijaionaHizo information nilizoweka zinatosha kabisa.
ndugu upo sawa lakini?Vituko haviishagi
Dogo unanipa maswali mengi mbona unawafuatilia wakubwa zako???ndugu upo sawa lakini?
Mjaze ujinga!Meneja Wa Makampuni mkuu kwa hizo thread hapo itoshe kusoma upo na ufahamu wa nini unachokiomba na kama ulivyotanabisha hapo umesema CV zipo.
Wengi wamejaa chuki, na wivu endelea kupambana mkuu Wapo viongozi wengi wanapita hapa jukwaani utakuwa upo exposed kwa kiasi fulani.
Hongera kwa uthubutu huu.
Huna unachojua zaidi ya udini na matusi ndiyo vimejaa kichwani.Mjaze ujinga!
Haha amka kijana ondoka kwa shemeji yako siku akiachika dada yako huna pa kuishi kazi tu kugombania rimoti na house girlHuna unachojua zaidi ya udini na matusi ndiyo vimejaa kichwani.
Nahisi pia ni sababu ya kuendelea kuishi kwa wazazi.
nilishakuambia wakubwa tunaelewa tu kwa kuangalia michango yako.
Lucas mwanshambwa acha uchawa njoo uone wenye akili huku.Zile information nilizojaza pale zinatosha kabisa mkuu.
Baada ya kuona Lucas mwashambwa kaweka namba yake na hakuna mafanikio wameanza kujitambua ya kuwa namba na iheshimiwe maana ni faragha.Hujaweka namba zako za simu. Tutakuptaje?
Mbona hujaomba wewe hiyo nafasi mzalendo uchwara?Nimekupatia baraka zangu zote katika kufanikiwa.
Sio vituko tupo seriously.Vituko haviishagi
Shukrani sana mkuuUnafaa sana
Sawa ndugu yangu nakuja inbox haraka. Shukrani sana.Ndugu Yangu Elia...(usishangae nimekujuaje) andaa cv then njoo PM nitakuunganisha na Mtu Anaweza kukusaidia
Uwe Honest...tu !
Ahsante sana mkuuMzee uko vizuri sana
Mkuu kwasasa tuna program ya kuhimiza vijana kwenda ughaibuni kupata elimu. Tupo pamoja mkuu kama una kijana ambaye anataka kwenda ughaibuni kusoma mwambie afuatilie huu uzi. Bonus: Orodha ya Full funded Scholarship za kumalizia mwakaMbona hujaomba wewe hiyo nafasi mzalendo uchwara?
Huyu ni kijani mwenzio alitaka agombee ubunge huko kwenu baada ya kujidai hataki scholarship ya kwenda China , sasa unafikiri hiyo nafasi ataambulia wakati kuna vimemo tayari vimetangulizwa.
Huyu ataendelea kupiga blah blah kama wewe humu unless afanye kazi zake kimya kimya.