Ombi la kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi

Ombi la kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi

Leo nimeona report ya mwenendo wa matumizi ya gesi tangua ilipoanza kutumika toka mwaka 2004 tumetumia futi za ujazo b700 mpaka mpaka mwaka huu (miaka 20) wakati zilizogundulika ni futi za ujazo trillion 57 kibubu kipo cha kutosha tunahitaji watu wenye weledi mkubwa kusimamia hii rasimali muhimu kwani inachangia 70% ya uzalishaji umeme
 
Hongera kwa andiko zuri, ningekuunganisha na mtu muhimu ambaye angekusaidia kupata nafasi nyingine kwenye taasisi hiyo hiyo ila sio nafasi uliyoandika hapo.

Bahati mbaya nimepitia CV yako naona bado upo shule unapambana na phD, mwisho kabisa kwa umri wako nakuona ukifika mbali miaka ya mbeleni.
Mkuu ninashukuru sana kwa maneno mazuri sana na kwa kuonyesha nia ya kusaidia. Hakika unaonekana una moyo mwema wa kuwainua vijana wa kitanzania hasa wanao onyesha kile walichonacho kinachoweza kuleta matokeo chanya katika taifa letu. Na niseme tu kwamba ninathamini sana fursa za kujifunza na kuungana na watu muhimu kwenye sekta yetu ya mafuta na gesi.

Lakini pia ninashukuru sana kwa kusoma CV yangu na kutoa mawazo yako mazuri.

Kuhusu hatua yangu ya masomo na dhamira ya kufikia kiwango cha PhD, siku zote ninaamini kwamba elimu ni njia muhimu ya kujenga msingi thabiti wa maarifa ili kuchangia katika maendeleo ya taifa letu. Lakini pia ninaelewa kwamba safari ya masomo ya PhD inaweza kuchukua muda mrefu (miaka 4 hadi 5). Hivyo kwasasa, nimesimamisha masomo ili nipate kuwatumikia watanzania wenzangu kidogo.

Nashukuru Mungu niliweza kuzungumza na supervisor wangu na kumweleza hali halisi kwamba ningependa kuendelea na masomo mara baada ya kutumia maarifa haya kidogo niliyoyapata. Hivyo ningependa kukwambia kwamba, mimi nipo tayari kuwatumikia Watanzania muda wowote ule kuanzia sasa.

Asante tena na tena kwa kutambua juhudi zangu. Napenda kumalizia kwa kusema kwamba mimi nipo tayari kuungana na watanzania wenzangu wakati wowote kwa kufanya kazi kwa bidii na uzalendo wa hali ya juu ili kufikia malengo ya taifa letu.
 
Leo nimeona report ya mwenendo wa matumizi ya gesi tangua ilipoanza kutumika toka mwaka 2004 tumetumia futi za ujazo b700 mpaka mpaka mwaka huu (miaka 20) wakati zilizogundulika ni futi za ujazo trillion 57 kibubu kipo cha kutosha tunahitaji watu wenye weledi mkubwa kusimamia hii rasimali muhimu kwani inachangia 70% ya uzalishaji umeme
Mkuu asante sana kwa kutuletea taarifa hii muhimu katika jukwaa hili. Ni kweli gesi asilia ni rasilimali muhimu sana inayochangia kwa kiasi kikubwa katika uzalishaji wa umeme katika taifa letu tangu serikali ilipowasha mitambo ya kuzalisha umeme wa gesi.

Kuna umuhimu mkubwa serikali yetu kuendelea kuimarisha mfumo wa usimamizi wa gesi asilia ili kuhakikisha matumizi yake ni endelevu na yanawanufaisha watanzania wote. Uhakiki wa mara kwa mara wa mikataba na makubaliano na kampuni zinazohusika na uzalishaji na usambazaji wa gesi ni wa muhimu pia.

Pia, kuna umuhimu wa kuwekeza zaidi katika miundombinu ya kusafirisha na kuhifadhi gesi ili kuhakikisha uzalishaji na usambazaji unafanyika kwa ufanisi. Kuendelea kukuza soko la gesi ni muhimu pia kwa kuendelea kuvutia wawekezaji na kuhakikisha upatikanaji wa uhakika wa gesi kwaajili matumizi mbalimbali, ikiwa ni pamoja na viwandani, kwenye magari na matumizi ya nyumbani.

Kutoa taarifa kwa uwazi kuhusu matumizi ya gesi na faida zinazopatikana ni hatua nyingine muhimu. Hii ni pamoja na kutaja wazi kiwango cha gesi kilichopo, ili kuwawezesha wananchi kuelewa jinsi rasilimali hiyo inavyoendelezwa na kuleta manufaa kwao.

Mwisho kabisa kuwekeza katika elimu na mafunzo kwa wataalam na watendaji katika sekta ya nishati ni jambo jingine la kuzingatia ili kuongeza weledi na ufanisi.

Hatua zote hizi zitaweza kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kusimamia na kutumia vizuri rasilimali ya gesi, ambayo inachangia asilimia 70 ya uzalishaji wa umeme katika taifa letu.
 
Kuwa finyofinyo Kwanza
Mkuu nipatie hii siri yaani niweje mimi nipo flexible mkuu. Kiukweli nipo tayari kujifunza kwa yeyote yule ili mradi tusaidiane kuchangia chochote tulichonacho ili kusukuma mbele guruduma la maendeleo ya taifa letu.
 
Na sio tu uthubutu,huyu ndugu ni MAHIRI kwenye sekta hii.
Mkuu wangu nashukuru sana kwa moyo wako mwema. Pia namshukuru Mungu kwakukuonyesha kitu kidogo nilichonacho. Mungu akubariki sana mkuu wangu. Hakika Mungu akubariki wewe na familia yako.
 
Hakika una stahili katka nyuzi zako zote hzo Basi mama akuone una kitu unakijuwa kwenye nishati na gesi

Kila kheri manager wa makampuni
Asante kwa maneno yako mazuri mkuu wangu hakika yanatia moyo sana.
Ahsante sana.
 
OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa ushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

38. Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. https://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S294989102300310X

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. 概念ガス田のプラトー速度を拡大するための天然ガス生産システム制約の最適化に関するノードおよび最小コスト解析【JST・京大機械翻訳】 | 文献情報 | J-GLOBAL 科学技術総合リンクセンター

Mawasiliano:
Email: tsha87916@gmail.com
Hello my dear sister, first of all accept my sincere congratulations.

Wewe ni mtu, I can see from your writing. Uko vizuri. CV inajieleza kwa maandiko. Pambania ndoto zako na tunakuombea.
 
OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa ushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

38. Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. Nodal and least-cost analysis on the optimization of natural gas production system constraints to extend the plateau rate of a conceptual gas field

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. 概念ガス田のプラトー速度を拡大するための天然ガス生産システム制約の最適化に関するノードおよび最小コスト解析【JST・京大機械翻訳】 | 文献情報 | J-GLOBAL 科学技術総合リンクセンター

Mawasiliano:
Email: tsha87916@gmail.com
Meneja wa Makampuni, hongera kwa udhubutu uliouonyesha. Bahati mbaya watu wenye nia nzuri, ubobezi, uchapakazi na wanyoofu hawatakiwi. CV haitoshi bila connection.
 
Hello my dear sister, first of all accept my sincere congratulations.

Wewe ni mtu, I can see from your writing. Uko vizuri. CV inajieleza kwa maandiko. Pambania ndoto zako na tunakuombea.
Hello mkuu wangu,

Nashukuru sana sana kwa pongezi nyingi na maneno mazuri ya kutia moyo, kiu na hamasa. Nimezipokea zote kwa moyo wangu wote.

Nitajitahidi sana kadri niwezavyo kuhakikisha napambania ndoto zangu, na nawashukuru sanasana kwa maombi yenu.

Pia nishukuru tena kwa kunitia moyo mkuu.
Ahsante sana.
 
Meneja wa Makampuni, hongera kwa udhubutu uliouonyesha. Bahati mbaya watu wenye nia nzuri, ubobezi, uchapakazi na wanyoofu hawatakiwi. CV haitoshi bila connection.
Asante sana kwa pongezi na maneno mazuri ya kunijenga ili nivuke kwenda hatua nyingine ya kimtazamo.

Ni kweli kabisa safari ya kufanikiwa katika maisha inahitaji zaidi ya ujuzi na uzoefu ulionao. Hapa hata vijana wenzangu wanapaswa kutambua hili katika jukwaa hili, kwamba connection ni kiungo muhimu sana sana wakati wa kupambania ndoto yako.

Hivyo mkuu naomba kusema kwamba umeniongezea kitu kikubwa sana katika mtazamo wangu.

Nimepokea ushauri huu kwa moyo wangu wote na ninakuahidi katika mapambano yangu ya maisha nitajitahidi kuchanganya si tu ujuzi na uzoefu bali pia kutafuta, kujenga na kudumisha connection.

Asante sana kwa ushauri mzuri mkuu.
 
Mkuu nafasi za bodi sasa unaweza kuapply. Tuma maombi yako huko uwe kwenye bodi ufanye mabadiliko unayoyatamani.
 
Mkuu nafasi za bodi sasa unaweza kuapply. Tuma maombi yako huko uwe kwenye bodi ufanye mabadiliko unayoyatamani.
Ahsante sana kwataarifa mkuu wangu nimeshaanza mchakato wa kutuma maombi. Nitahakikisha natuma maombi mapema sana.

Ahsante sana
 
Kuhusu timu yetu ya taifa naomba sanasana nilichokiandika kwenye andiko hili walau kianze kufanyiwa kazi:
 
OMBI LA KUTEULIWA KUWA KAMISHNA WA PETROLI NA GESI

Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,

Kwa heshima na taadhima, naomba kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi katika Wizara ya Nishati, ili kujaza nafasi iliyo wazi.

Nikiwa na uelewa mkubwa katika masuala ya mafuta na gesi, na kufahamu umuhimu wa nafasi hii, nina imani kuwa ninaweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya sekta hii muhimu.

Nipo tayari kufanya kazi kwa bidii na ufanisi ili kusimamia rasilimali hizi kwa manufaa ya taifa letu.

Ninapenda kutumia fursa hii kusema kwamba nipo tayari kuchukua jukumu hili kwa uaminifu, nidhamu, na dhamira ya hali ya juu.

Naamini ninaweza kufanya kazi kwa ushirikiano kwa lengo la kuleta maendeleo na ustawi wa nchi yetu.

Asante sana.

Rejea za maandiko yanayo onyesha kiu ya kuchochea maendeleo katika sekta ya mafuta na gesi Tanzania.

1. Kuongeza Ufanisi na Kukuza Sekta ya Mafuta na Gesi Tanzania: Mapendekezo ya Kuanzisha Wizara ya Mafuta na Gesi

2. Kwanini hatuna Wizara ya mafuta na gesi kama mataifa mengine yenye gesi na mafuta

3. Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

4. Vituo vya kujaza CNG kwenye magari vinavyotembea vitasaidia kujaza CNG kwenye magari kwenye mikoa mbalimbali

5. Kukabiliana na Changamoto za Upungufu wa Dola na Kuongezeka kwa Bei za Mafuta serikali ifanye mambo yafuatayo

6. Watalaam wa mafuta na gesi Tanzania waishauri serikali juu ya ongezeko la bei za mbolea, mafuta ya petroli na dizeli nchini

7. Ni hatari sana bei ya mafuta ya taa ikiwa chini sana kuliko bei ya petroli na dizeli

8. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

9. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

10. Siasa za Gesi na Mafuta Tanzania: Uhusiano wa Gesi Asilia inayozalishwa Tanzania na sekta nyingine za kimkakati.

11. Siasa za Mafuta na Gesi: Uzberkistan inaanza kuibadili gesi asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na gesi ya LPG

12. Tuache kudanganyana hakuna gesi iliyowahi kuuzwa na kusafirishwa kwa bomba kwenda nje ya Tanzania

13. Maeneo muhimu ambayo wataalamu wa Serikali wanapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo zidi makampuni ya mafuta na gesi

14. Maeneo muhimu ambayo serikali zetu zinapaswa kuzingatia wakati wa mazungumzo yao na makampuni ya mafuta ya mafuta na gesi

15. Serikali kuja na kifurushi cha gesi ya kupikia cha Sh 500 au 1,000 ili Mtanzania anunue gesi badala ya mkaa na kuni

16. Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG) Ndiyo Mwarobaini wa Bei ya Mafuta Tanzania

17. Kukokotoa punguzo la bei ya mafuta ya petroli na dizeli kwa mwezi wa sita 2022 baada ya kuongezewa ruzuku ya billioni 100 (100B)

18. Mchanganuo wa bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa Mei 2022

19. Kama ulikuwa hujui hii ndio mikataba ya Utafutaji wa mafuta na gesi na ugawanaji mapato

20. An Open Letter to Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

21. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

22. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

23. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi

24. SoC03 - Mwarobaini wa Tatizo la Upungufu wa Maji Jijini Dar es Salaam ni Serikali yenyewe: Jukumu la Serikali na Maazimio ya Kutatua Tatizo hilo

25. SoC03 - Ndoto ya asubuhi ya Watanzania ya kuwa na Tanzania ya uchumi wa gesi na madini imo mikononi mwa viongozi wa Taifa hili

26. SoC03 - Ni jinsi gani Viongozi wa sasa wanaweza kurejesha Tanzania ya Viwanda ya Mwalimu Nyerere?

27. SoC03 - Je, Serikali inawezaje Kuweka Msingi Bora kwa Vijana ili Kutengeneza Timu Bora ya Taifa itakayoweza kushiriki na kushinda michuano ya kimataifa?

28. Uhusiano wa Katiba Bora, ukuaji wa uchumi na hali ya maisha ya raia wa Tanzania

29. SoC03 - Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

30. Tufanye yafuatayo ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato katika bandari yetu ya Dar es Salaam (TPA)

31. SoC03 - Faida za Kubinafsisha Bandari ya Dar es Salaam ni Nyingi. Lakini Changamoto Tatu (3) Zinapaswa Kudhibitiwa Ili Tuweze Nufaika Zaidi

32. Watanzania tusiogope bali tuwekeze. Kuna Fursa za biashara zenye faida katika sekta ya mafuta na gesi Katika Taifa letu

33.

34. Tujenge kiwanda cha kuibadili gesi asilia kuwa petroli na dizeli

35. Usiogope unaweza kujenga na kumiliki kituo cha kujaza mafuta ya vyombo vya moto vijijini cha gharama nafuu

36. Siasa ya Mafuta na Gesi: Kuibadili gesi asilia kuwa mafuta ya petroli inaweza punguza gharama tunazotumia kuagiza mafuta hayo kutoka mataifa ya nje

37. Barua ya wazi wa Waziri wa Kilimo: Matumizi ya gesi asilia kuzalishia mbolea za kilimo (UREA, NA, CAN, SA, PA, CAN, MAPS na DAP)

38. Tukiibadilisha Gesi Asilia (CH4) iliyopatikana Tanzania kuwa Mbolea za kilimo tutainua uchumi wa nchi

39. Ngoja nikupe mifano ya hesabu inayoeleza faida za kutumia mfumo wa gesi kwenye gari yako na jinsi utakavyo okoa fedha nyingi

Rejea za maandiko ya kuongeza mchango wa kukuza maarifa ya uhandisi na teknolojia ya mafuta na gesi duniani.

1. Nodal and least-cost analysis on the optimization of natural gas production system constraints to extend the plateau rate of a conceptual gas field.
Geoenergy Science and Engineering | Journal
https://www.sciencedirect.com/science/article/pii/S294989102300310X

2. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection. Energies Journal

3. Equations governing fluid flow and transport in porous media and their applications in oil and gas production

4. Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Di

5. Shu Jiang - Scilit

6. 概念ガス田のプラトー速度を拡大するための天然ガス生産システム制約の最適化に関するノードおよび最小コスト解析【JST・京大機械翻訳】 | 文献情報 | J-GLOBAL 科学技術総合リンクセンター

Mawasiliano:
Email: tsha87916@gmail.com
Utekelezaji wa ilani utauzingatia?
 
Back
Top Bottom