Ombi la kuteuliwa kuwa Kamishna wa Petroli na Gesi

Uzi bado unahitaji michango
Michango ya nini tena wakati Tayari kamishina alishateuliwa na yupo kazini akiwa akiendelea na kazi, na wewe ombi lako na dhumuni la andiko lako ilikuwa ni kupewa ukamishina. Hivyo nilikuwa nafikiri mjadala ulipaswa kuishia siku alipoteuliwa kamishna. Au unataka kwa sasa tuchangie nini kingine.
 
Kama huna D mbili ni kazi sana kuelewa code zangu.
 
Vijana wa kitanzania wanao hitaji kwenda nje ya nchi kwa scholarships kuna kitabu kizuri nimekiandaa kwaajili yao.
Ni kwa kozi zote iwe mafuta na gesi au kozi zingine.
 

Hujaweka details, tunakupataje ili tuweze kukufanyia vetting for appontement
 
Umechelewa kidogo kuna kigogo ameteuliwa sio siku nyingi ebu muacheni apige kazi kwanza tuone anachoweza
 
WEKA WI-FI, WEKA WI-FI, HUU SIO MDA TENA WA KUWAZA KUISHIWA NA DATA, ROUTER NI BEI NDOGO TU!

⚫KWENYE BISASHARA YAKO WEKA WI-FI

⚫KWENYE SHULE WEKA WI-FI

⚫KANISANI WEKA WI-FI

⚫KAZINI WEKA WI-FI
⚫KWENYE KAMPUNI WEKA WI-FI

⚫NYUMBANI KWAKO WEWE NA FAMILIA YAKO WEKA WI-FI

⚫CHUONI WEKA WI-FI

⚫UNA SECURITY CAMERA FUNGA WI-FI

⚫SEHEM ZINGINE AMBAZO SIJAZITAJA WEKA WI-FI

TUMIA DATA UNLIMITED, YANI BILA KUWAZA KUA GB ZITAISHA?

NJOO NIKUPE ROUTER ZENYE UWEZO MKUBWA TECNOLOJIA YA 5G SPEED HADI 200mbps, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO !

MKOA WOWOTE ULIPO HUDUMA INAKUFIKIA NDANI YA MDA MFUPI

GHARAMA NI NAFUU SANA, ( pia laini pekeyake bila router nakuwezeshea bando unlimited kwa bei poa )
NICHEKI: 0717700921
 

Tatizo ni kuwa unataka u bosi tu.
 
Mkuu manager jana na mm nilitomba kuteuliwa nafsi ya ukuu wa wilaya Ya longido naona mma kashamuweka mtu wake

Mm ni Mhandisi wa mitambo
 
Yaani kama tungekuwa tunaianza mitihani ya mchujo na usaili kabla ya teuzi basi ungepita bila shaka.

Lakini sasa ndo hivyo, goodluck with your petition
 
Hapana boss mimi nafanya kazi yoyote ile ila tu iwe ni nafasi inayohusu siasa au mafuta na gesi au biashara.
Sisi wengine neno mkuu, twakutakia kheri tu!

Maana hata sekta yenyewe hatuilewi divine, tunazidiwa hata na yule bibi wa Mtwara nahisi! 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…