Ombi la wazi kwa Mheshimiwa Tundu Lisu

Ombi la wazi kwa Mheshimiwa Tundu Lisu

Jambo lipo wazi! Ukiambiwa akili yako ni matope sio tusi? Ulimuwekea hayo matope?
 
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Mkuu nadhani hujui nini maana halisi ya siasa. Ungejua usingemuomba mh. Tundu Lissu afanye hivyo bali aongezee nondo zaidi na zaidi.
Siasa ni kufichua madhaifu ya mpinzani wako bila kujali ukaribu au nasaba mlizo nazo. Ukitaka watu waongee mpaka mambo uliyokuwa ukiyafanya kizani ukijua watu hawajui, ingia kwenye siasa alafu ugombee nafasi nzito zinazojumuisha jamii nzima ya watanzania😃😃
 
Inamaana hujamsikia Rais leo kule Mbeya? Kasema tunatukanwa kule Twitter na "tunastahili". Uzuri LISSU hatukan bali ana kauli za kukera!!
Hata mimi nimeisikia hiyo kauli baada ya kuwasikiliza watu wa mradi wa BBT- Life
 
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Hekima siyo sawa na matako ambayo kila mmoja anayo. Lissu hana hekima na wala hawezi kuelewa unachomsihi.

Muache hivyo hivyo ndiyo kilema chake
 
Ina faida kubwa sana kisiasa na kibinaadamu,kuliko unavyofikiria kuliko hata huo mkataba.
Kwanza ufahamu hakuna kitu unaweza kumlipa mtu anaekuthamini ,nina imani kabisa kuwa Mheshimiwa Lisu ,hili linamwenda kwenye akili yake na ni mzigo ambao hakuna aneweza kuuhisi isipokuwa yeye mwenyewe,feelings kitu kingine ndugu.


Hovyo kabisa, unaongelea mambo ya hisia kwenye issue serious za maendeleo?
 
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
The opposite ni kuwa, kama Rais Samia Suluhu Hassan ana hekima na busara, basi anapaswa kuwaomba radhi na msamaha Watanganyika kwa kutumia vibaya mamlaka na madaraka yake ya u - Rais kugawa urithi na mali asili za Watanganyika ikiwemo bandari zote za bahari na maziwa makuu.

Kwenda kumsalimia Tundu Lissu hospitalini haiwezi kuwa ni kibali Cha yeye (Rais Samia) kuachwa tu akifanya makosa ktk uongozi wake bila kukemewa au kuambiwa ulichofanya siyo, umekosea!!

Utakuwa ni ujinga na upumbavu kumwacha rafikio akiharibikiwa bila kumshauri au kumwambia kwa kigezo kuwa atakuonaje ukimwambia unakosea wakati jana au juzi alikupa msaada wa chakula chake ukaokoa njaa yako!

Bila shaka utakuwa mjinga sana kuwa na akili za namna hii. Ndivyo ulivyowaza kijinga wewe Shocker na kuja na hoja hii
 
a
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Akili yako matope, tena ya masika.. Amuombe msamaha kwa kosa gani?
Kenda hospital kumuona ni warrant ya kufanya maovu asisemwe? akili matope
 
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Msamaha kwa lipi inamaana Lisu asiongelee ishu ya bandar kwa masilahi ya mtu mmoja
 
Lissu ni shujaa wa Watanganyika, twaomba Allah ampe maisha marefu ili kuja kutufikisha ktk maisha mazuri yasiyo na mateso.
Ona sasa alichokuwa anawaonya kwenye kipindi cha awamu ya tano ndicho kilichotokea, elewa mafuta yamepanda bei kwa ukosefu wa dolar kwa vile hizo dolar tunawalipa faini wazungu.
 
Back
Top Bottom