kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Jambo lipo wazi! Ukiambiwa akili yako ni matope sio tusi? Ulimuwekea hayo matope?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nadhani hujui nini maana halisi ya siasa. Ungejua usingemuomba mh. Tundu Lissu afanye hivyo bali aongezee nondo zaidi na zaidi.Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Hata mimi nimeisikia hiyo kauli baada ya kuwasikiliza watu wa mradi wa BBT- LifeInamaana hujamsikia Rais leo kule Mbeya? Kasema tunatukanwa kule Twitter na "tunastahili". Uzuri LISSU hatukan bali ana kauli za kukera!!
Hekima siyo sawa na matako ambayo kila mmoja anayo. Lissu hana hekima na wala hawezi kuelewa unachomsihi.Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
YahHata mimi nimeisikia hiyo kauli baada ya kuwasikiliza watu wa mradi wa BBT- Life
Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Ina faida kubwa sana kisiasa na kibinaadamu,kuliko unavyofikiria kuliko hata huo mkataba.
Kwanza ufahamu hakuna kitu unaweza kumlipa mtu anaekuthamini ,nina imani kabisa kuwa Mheshimiwa Lisu ,hili linamwenda kwenye akili yake na ni mzigo ambao hakuna aneweza kuuhisi isipokuwa yeye mwenyewe,feelings kitu kingine ndugu.
The opposite ni kuwa, kama Rais Samia Suluhu Hassan ana hekima na busara, basi anapaswa kuwaomba radhi na msamaha Watanganyika kwa kutumia vibaya mamlaka na madaraka yake ya u - Rais kugawa urithi na mali asili za Watanganyika ikiwemo bandari zote za bahari na maziwa makuu.Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Akili yako matope, tena ya masika.. Amuombe msamaha kwa kosa gani?Ni mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896
Msamaha kwa lipi inamaana Lisu asiongelee ishu ya bandar kwa masilahi ya mtu mmojaNi mfuatiliaji na mshabiki halisi wa Mheshimiwa Tundu Lisu, na namuhesabu kati ya wasomi waliosheheni elimu ya sheria.
Ninachohitajia kwake ni kutumia hekima na busara amuombe radhi na msamaha Raisi Samia.
Photos speaks thousands word.
View attachment 2711895View attachment 2711896