Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,583
- 2,944
Ndugu zanguni
Uchadema na UCCM pembeni
Naitwa CHRISTOPHER LUKOSI natopkea Kalenga Iringa Tanganyika ambako toka nizaliwe sijawahi kuona wala kusikia faida ya kuwa na kipande kinachoitwa zanzibar
Nilitokea kalenga na nitazikwa kumwitikila kalenga kwenye makaburi ya LUKOSI
Kama CCM watanichukia kwa hili basi na iwe
Mimi nawaomba wabunge wote wa tanmganyika watumie haki yao kama vil;e wale wa zanzibar wanavyotumia haki yao kungu'nika kila kukicha
Mtanganyika rusdisha heshima ya nchi yako utambulike duniani
Mtanganyika unastahili heshima kubwa kuliko huyu sisimizi
Mbunge wa Tanganyika dai taifa lako utambuliwe tuwe na amani
Mtanganyika unafaidika vipi na hawa watu wenye ardhi sawa na shamba tu la babu yangu?
WABUNGE WA TANGANYIKA SIMAMENI MTUWAKILISHE KAMA WENZETU WANAVYOWAKILISHWA
RUDISHENI TANGANYIKA TUWE PROUD
NI UJINGA KUWACHIA WAZANZIBARI WAPIGE KEKELELE KILA KUKICHA WAKATI SISI HATUNA SERIKALI
LEO KUNA WAZIRI WA ZANZIBAR TANGANYIKA LAKINI HAKUNA WAZIRI WA TANGANYIKA ZANZIBA, HUU NI UPUMBAVU
JITAMBUE!
Uchadema na UCCM pembeni
Naitwa CHRISTOPHER LUKOSI natopkea Kalenga Iringa Tanganyika ambako toka nizaliwe sijawahi kuona wala kusikia faida ya kuwa na kipande kinachoitwa zanzibar
Nilitokea kalenga na nitazikwa kumwitikila kalenga kwenye makaburi ya LUKOSI
Kama CCM watanichukia kwa hili basi na iwe
Mimi nawaomba wabunge wote wa tanmganyika watumie haki yao kama vil;e wale wa zanzibar wanavyotumia haki yao kungu'nika kila kukicha
Mtanganyika rusdisha heshima ya nchi yako utambulike duniani
Mtanganyika unastahili heshima kubwa kuliko huyu sisimizi
Mbunge wa Tanganyika dai taifa lako utambuliwe tuwe na amani
Mtanganyika unafaidika vipi na hawa watu wenye ardhi sawa na shamba tu la babu yangu?
WABUNGE WA TANGANYIKA SIMAMENI MTUWAKILISHE KAMA WENZETU WANAVYOWAKILISHWA
RUDISHENI TANGANYIKA TUWE PROUD
NI UJINGA KUWACHIA WAZANZIBARI WAPIGE KEKELELE KILA KUKICHA WAKATI SISI HATUNA SERIKALI
LEO KUNA WAZIRI WA ZANZIBAR TANGANYIKA LAKINI HAKUNA WAZIRI WA TANGANYIKA ZANZIBA, HUU NI UPUMBAVU
JITAMBUE!