Ombi langu kwa wabunge wa Tanganyika, rudisheni heshima ya Mtanganyika!

Ombi langu kwa wabunge wa Tanganyika, rudisheni heshima ya Mtanganyika!

anasema anauchukia muungano kwa maana nyingine anataka tuvunje muungano kitu ambacho hakipo hata kwenye swala zima la Rasimu ya Katiba..

Hoja yake haieleweki kimantiki.
Hata serikali mbili haimo kwenye rasimu ya Katiba! sasa kwa nini mnapigia debe serikali mbili?

Kama nyinyi mnavyopigia debe serikali mbili wakati haipo kwenye rasimu ya katiba basi naye ana haki ya kupigia debe kuvunjika muungano (mimi pia siutaki muungano) ingawa haipo kwenye rasimu ya katiba.

Au nyinyi (CCM) peke yenu ndiyo mnaojiona mna hati miliki ya nchi?

Na kwa nini serikali ya CCM wakati wa kukusanya kodi haichagui lakini kwenye maoni ya katiba haikutaka maoni ya watu kama sisi tusioutaka muungano yasikusanywe na tume ya Warioba?

Mumetuziba midomo huko halafu mnakuja mpaka huku kutaka kutuzima midomo pia, shame on you!
 
MwanaDiwani
Kwa wanaCCM kutoa maoni haimaniishi kuwa wanakwenda kinyume na falsafa kuu ulizotaja
Naomba nikuulize
1. Kama wewe ni mtanzania bara umenufaika nini na muungano huu?
2. Unapoongelea kero za muungano; hivi kero hizi wanaoziona ni wazinzibar peke yao?
3. Ikiwa serikali 3 ni mzigo kwa nini 2 usiwe mzigo?
4. Muungano wa kweli ni ule wenye ridhàa ya wananchi; hivi kinaogopwa kitu gani kuupeleka kwa wananchi ili upate ridhaa ya kweli?
Asante sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom