Ombi langu kwa wabunge wa Tanganyika, rudisheni heshima ya Mtanganyika!

Ombi langu kwa wabunge wa Tanganyika, rudisheni heshima ya Mtanganyika!

leo kuna waziri wa zanzibar tanganyika lakini hakuna waziri wa tanganyika zanziba, huu ni upumbavu

Kwanza kama ungeelewa mantiki ya muungano kabla ya kujenga hoja usingesema leo hakuna waziri wa 'Tanganyika' aliyeko Zanzibar ambapo ninaamini una maana ya serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Pitia kwanza kwenye hii thread usome hoja alizojenga Mwasisi wa Muungano kupitia kitabu alichoandika kinachoitwa Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania
Hii itakusaidia sana kujenga hoja mbadala badala ya kujenga hoja zinazobainisha matokeo ambayo ambayo kwa lugha nyingine ni kero za Muungano
 
Atakae nukuu na anukuu, nimeanika kama CHRISTOPHER LUKOSI

Kura yangu ya wazi ni kuuchukia muungano
 
Kwani kenge nitusi?

Kenge ni mnyama kama mamba tu, tofauti ni tabia.

KENGE ANA MIMACHO MIKUBWA NA KILA WAKATI HUGEUKA KUANGALIA NYUMA KWA HOFU! wakati mamba ni mtulivu....
Basi kama si tusi kamwambie baba yako Mzee Lukosi, kuwa una macho yanacheza kama ya KENGE
 
Acha ngonjera zako wewe! Hakuna faida yoyote ambayo watanganyika tunaipata ktk huu muungano kwa sasa! Isitoshe hata hao wazanzibari wenyewe waliowengi hawauhitaji aina hii ya muungano! Kama kuna faida basi wanayoipata ni baadhi tu ya viongozi wa ccm na serikali yake na si wananchi wa pande zote mbili! TANGANYIKA KWANZA MUUNGANO BAADAYE!@Mwanadiwani! Na wote wenye mtazamo kama wako!

Usiweke mwanvuli wa fikra zako kwa wananchi wote!.

Jisemee nafsi yako ili hoja yako isimame pia kwenye kundi la watu wenye fikra pana hapa Jf.
 
Atakae nukuu na anukuu, nimeanika kama CHRISTOPHER LUKOSI

Kura yangu ya wazi ni kuuchukia muungano

Katika Hili Nakuunga Mkono ila subiri uitwe Kuitwa Msaliti maana unakwenda Kinyume na Msimamo wa Chama Chako kama unavyopigiwa Chapuo na MwanaDiwani
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kama ungeelewa mantiki ya muungano kabla ya kujenga hoja usingesema leo hakuna waziri wa 'Tanganyika' aliyeko Zanzibar ambapo ninaamini una maana ya serikali ya mapinduzi Zanzibar.

Pitia kwanza kwenye hii thread usome hoja alizojenga Mwasisi wa Muungano kupitia kitabu alichoandika kinachoitwa Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania

Hii itakusaidia sana kujenga hoja mbadala badala ya kujenga hoja zinazobainisha matokeo ambayo ambayo kwa lugha nyingine ni kero za Muungano
Mkuu kwa nini kupoteza muda wakati kila mtu anajua mwenzake anataka nini?

AU UNADHANI WATANGANYIKA MAFALA?

VIKOI VIMEJAA BARA LAKINI WAKIONA MGOLOLE WA MMASAI PEMBVA WANAPIGA TINDIKALI WAPI NA WAPI

Kwa nini mpemba atembee kwa fahari kalenga wakati mimi natembea kwa ulinzi pemba?

Huu ni upumbavu....
 
Basi kama si tusi kamwambie baba yako Mzee Lukosi, kuwa una macho yanacheza kama ya KENGE
Mkuu macho yangu hayachezi na yanakuangalia usoni.

Wewe wakati unapiga kelele sie tulikuwa tunakula lunch , sasa tumemaliza mbona mmekula kona? kelele zenu ziko wapi? vidumu mmeishiwa?

UAMSHO WAMEACHIWA WAKATI MUAFAKA, FANYENI VURUGU ZENU ZA KIPUNDA MUONE
 
Mkuu mimi sio mtu wa kujipendekeza hata siku moja ndio maana sikuiva na DJ


SUALA LA KATIBA NI LA SISI WOTE BILA KUJALI VYAMA

Lakini bado ungeweza kumaliza tofauti zako na huyo unayemwita dj na ukabaki kwenye jukwaa huru! Usipende sana kuchukua maamuzi magumu bila kutafakari kwanza! Angalia sasa unavyoitesa nafsi yako! TANGANYIKA KWANZA! MUUNGANO BAADAYE!
 
Usiweke mwanvuli wa fikra zako kwa wananchi wote!.

Jisemee nafsi yako ili hoja yako isimame pia kwenye kundi la watu wenye fikra pana hapa Jf.

Huo ndio ukweli! Itisheni kura ya maoni kuhusu muungano halafu muone! Tunataka Tanganyika yetu kwanza! Na wazanzibar wapewe mamlaka kamili ya nchi yao! Kama hamuwezi kuishi bila muungano basi mnaweza kuungana hata na Rwanda au Burundi! Sio lazima iwe Zanzibar! Waachieni nchi yao(Zanzibar) na wenyewe wajitawale sio kila siku mnawaficha kwenye koti lenu(Tanzania)
 
Katika Hili Nakuunga Mkono ila subiri uitwe Kuitwa Msaliti maana unakwenda Kinyume na Msimamo wa Chama Chako kama unavyopigiwa Chapuo na MwanaDiwani
Kwenye msamiati wa CCM hatuna neno msaliti. Neno msaliti utalipata kwenye vyama vilivyoanzishwa ndani ya malengo yaliyojificha kwa wanachama wake wengi kama CHADEMA achilia mbali wananchi wengine.

Serikali mbili ni sera ya CCM na siyos imamo kama unavyotaka kupotosha jukwaa. Msimamo na sera ni vitu viwili tofauti kama hufahamu vizuri.

Kwa hoja alizoandika hapa mleta mada, ninaona anajikita kwenye kero akidhani ndiyo tatizo la msingi katika muungano halafu kikubwa, anasema anauchukia muungano kwa maana nyingine anataka tuvunje muungano kitu ambacho hakipo hata kwenye swala zima la Rasimu ya Katiba ambayo anataka wabunge wa bunge la Muungano warudishe heshima ya Tanganyika!.

Hoja yake haieleweki kimantiki.
 
Mkuu kwa nini kupoteza muda wakati kila mtu anajua mwenzake anataka nini?

AU UNADHANI WATANGANYIKA MAFALA?

VIKOI VIMEJAA BARA LAKINI WAKIONA MGOLOLE WA MMASAI PEMBVA WANAPIGA TINDIKALI WAPI NA WAPI

Kwa nini mpemba atembee kwa fahari kalenga wakati mimi natembea kwa ulinzi pemba?

Huu ni upumbavu....
Kwa nini hoja yako imejikita hasa katika mkoa wa Pemba kama vile Zanzibar ni Pemba peke yake.

Halafu nikiangalia ninaona pia hoja yako iko ndani ya makosa ya jinai ambayo ni jukumu la law enforcement agencies. Mbona unachanganya hoja?.

Una maana gani unaposema WATANGANYIKA MAFALA.
 
Naichukia sana Zanzibar naipenda sana Tanganyika nasema bila kupepesa macho yangu siupendi kabisa huu muungano
 
MwanaDiwani
Kwa wanaCCM kutoa maoni haimaniishi kuwa wanakwenda kinyume na falsafa kuu ulizotaja
Naomba nikuulize
1. Kama wewe ni mtanzania bara umenufaika nini na muungano huu?
2. Unapoongelea kero za muungano; hivi kero hizi wanaoziona ni wazinzibar peke yao?
3. Ikiwa serikali 3 ni mzigo kwa nini 2 usiwe mzigo?
4. Muungano wa kweli ni ule wenye ridhàa ya wananchi; hivi kinaogopwa kitu gani kuupeleka kwa wananchi ili upate ridhaa ya kweli?
 
Last edited by a moderator:
Kwa hili hata nikifukuzwa poa tu lakini nakuwa nimeweka mambo bayana, hawa wazanzibari wanapiga kelele kila kukicha utadhani kuna kitu tunapata kwao wakati mimi nawaona kama kupe tu..

Hebu niambie, wewe unaweza nunu ardhi na kuje nga zanzibar?
Kaka huko Zanzibar kwa sie wa huku bara huwezi kumiliki chochote, huu muungano inabidi ifike pahali tuuangalie kwa jicho la uhalisia na sio kufuata whai was there, je wanataka hilo?? Wazanzibar wanaitaka nchi yao na sie tunaing'ang'ania kama vile hatuna Tanganyika yetu
 
MwanaDiwani
Kwa wanaCCM kutoa maoni haimaniishi kuwa wanakwenda kinyume na falsafa kuu ulizotaja
Naomba nikuulize
1. Kama wewe ni mtanzania bara umenufaika nini na muungano huu?
2. Unapoongelea kero za muungano; hivi kero hizi wanaoziona ni wazinzibar peke yao?
3. Ikiwa serikali 3 ni mzigo kwa nini 2 usiwe mzigo?
4. Muungano wa kweli ni ule wenye ridhàa ya wananchi; hivi kinaogopwa kitu gani kuupeleka kwa wananchi ili upate ridhaa ya kweli?
Well said brother hata sielewi kwa nini tunakuwa na kigugumizi kwenye hili
 
Kwenye msamiati wa CCM hatuna neno msaliti. Neno msaliti utalipata kwenye vyama vilivyoanzishwa ndani ya malengo yaliyojificha kwa wanachama wake wengi kama CHADEMA achilia mbali wananchi wengine.

Serikali mbili ni sera ya CCM na siyos imamo kama unavyotaka kupotosha jukwaa. Msimamo na sera ni vitu viwili tofauti kama hufahamu vizuri.

Kwa hoja alizoandika hapa mleta mada, ninaona anajikita kwenye kero akidhani ndiyo tatizo la msingi katika muungano halafu kikubwa, anasema anauchukia muungano kwa maana nyingine anataka tuvunje muungano kitu ambacho hakipo hata kwenye swala zima la Rasimu ya Katiba ambayo anataka wabunge wa bunge la Muungano warudishe heshima ya Tanganyika!.

Hoja yake haieleweki kimantiki.
MwanaDiwani CCM Ipi

J
ana asubuhi, zaidi ya wajumbe 10 wa Baraza la Wawakilishi akiwamo Shamhuna, Nahodha na Ali waliitisha mkutano wa waandishi wa habari mjini Dodoma na kumtupia lawama Kificho wakisema; "Amewasaliti katika mchakato huo wa Katiba."

Jikite kwenye Mada ya Chris Lukosi jibu maswali kama kuna faida zozote za Muungano wanazozipata Watanganyika.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zanguni

Uchadema na UCCM pembeni

Naitwa CHRISTOPHER LUKOSI natopkea Kalenga Iringa Tanganyika ambako toka nizaliwe sijawahi kuona wala kusikia faida ya kuwa na kipande kinachoitwa zanzibar

Nilitokea kalenga na nitazikwa kumwitikila kalenga kwenye makaburi ya LUKOSI

Kama CCM watanichukia kwa hili basi na iwe

Mimi nawaomba wabunge wote wa tanmganyika watumie haki yao kama vil;e wale wa zanzibar wanavyotumia haki yao kungu'nika kila kukicha

Mtanganyika rusdisha heshima ya nchi yako utambulike duniani

Mtanganyika unastahili heshima kubwa kuliko huyu sisimizi

Mbunge wa Tanganyika dai taifa lako utambuliwe tuwe na amani

Mtanganyika unafaidika vipi na hawa watu wenye ardhi sawa na shamba tu la babu yangu?

WABUNGE WA TANGANYIKA SIMAMENI MTUWAKILISHE KAMA WENZETU WANAVYOWAKILISHWA

RUDISHENI TANGANYIKA TUWE PROUD

NI UJINGA KUWACHIA WAZANZIBARI WAPIGE KEKELELE KILA KUKICHA WAKATI SISI HATUNA SERIKALI

LEO KUNA WAZIRI WA ZANZIBAR TANGANYIKA LAKINI HAKUNA WAZIRI WA TANGANYIKA ZANZIBA, HUU NI UPUMBAVU

JITAMBUE!

TANGANYIKA IPO KAMILI LAKINI KWA JINA LA TANZANI ZNZ HAIPO KISHERIA IPO KISIASA NA KIINI MACHO.
Tanganyika ipo jina ndio halipo tupo na Tanzania. Tunawizara zote na mihimili yote ya serikali. Znz ndio hawana serikali kamilifu na mihimili kamilifu ya serikali. Ipo ipo tu kama serikali ya kijiji.
 
Mkuu Mungano siupendi hata kidogo na natamani Tanganyika irudi ila nikifikiria mateso watakayopata ndugu zangu watanganyika hasa wale wakristo baada ya muungano kufa natamani haka kakisiwa tukatawale kinguvu kijeshi.
 
Back
Top Bottom