Ombi langu kwa wabunge wa Tanganyika, rudisheni heshima ya Mtanganyika!

anasema anauchukia muungano kwa maana nyingine anataka tuvunje muungano kitu ambacho hakipo hata kwenye swala zima la Rasimu ya Katiba..

Hoja yake haieleweki kimantiki.
Hata serikali mbili haimo kwenye rasimu ya Katiba! sasa kwa nini mnapigia debe serikali mbili?

Kama nyinyi mnavyopigia debe serikali mbili wakati haipo kwenye rasimu ya katiba basi naye ana haki ya kupigia debe kuvunjika muungano (mimi pia siutaki muungano) ingawa haipo kwenye rasimu ya katiba.

Au nyinyi (CCM) peke yenu ndiyo mnaojiona mna hati miliki ya nchi?

Na kwa nini serikali ya CCM wakati wa kukusanya kodi haichagui lakini kwenye maoni ya katiba haikutaka maoni ya watu kama sisi tusioutaka muungano yasikusanywe na tume ya Warioba?

Mumetuziba midomo huko halafu mnakuja mpaka huku kutaka kutuzima midomo pia, shame on you!
 
Asante sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…