MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
AmejipambanuaAskofu wa Taifa? Lipi, kawekwa na nani?
Ndiyo kazi ya msingi ya mitume, siyo wale waagua mapepo na wajasiriasadaka na zaka.Kama walivyofanya mitume wenzako akina Pauli na Peter ambao nao walitoa nyaraka nyingi kwa jamii zao katika wakati wao.'
Kweli mkuu umeongea neno zito na muhimu sana.
Hizo nyaraka za Peter na Pauli zilikuwa za siasa kama za Bagonza?Kama walivyofanya mitume wenzako akina Pauli na Peter ambao nao walitoa nyaraka nyingi kwa jamii zao katika wakati wao.'
Kweli mkuu umeongea neno zito na muhimu sana.
Kazi za mitume ni kuandika nyaraka za kisiasa?Ndiyo kazi ya msingi ya mitume, siyo wale waagua mapepo na wajasiriasadaka na zaka.
Sioni siasa kwenye maandiko ya Baba Askofu, pamoja na hayo ni wajibu wake kukemea vitendo vinavyoashiria siasa chafu.Kazi za mitume ni kuandika nyaraka za kisiasa?
Mbona watoka mijipovu yakhe!?Askofu wa Taifa? Lipi, kawekwa na nani?
Hapana, kazi za mitume ni kuandika nyaraka za biasharaKazi za mitume ni kuandika nyaraka za kisiasa?
Sijawahi kusikia cheo au wadhifa kama huu.Mbona watoka mijipovu yakhe!!!!!?
Asante sana Mkuu, hilo ni swali angamiziHapana, kazi za mitume ni kuandika nyaraka za biashara
Tanzania kwanzaBagonza muhaya mwenye Akili nyingi.
SawaTanzania kwanza
Kanisa La MunguHivi ni askofu wa kanisa gani..nataka nifanye uamzi mgumu.
Askofu wa Taifa? Lipi, kawekwa na nani?