MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Baba Askofu,
Nimesoma nyaraka zako nyingi unazozitoa kwa kwa Watanzania wote. Kimsingi, ujumbe wako ni fikirishi, thabiti na hitimishi. Thamani ya ujumbe wako ni wa-kiungu unaoishi na kubeba kweli isiyopingika.
Kwakuwa wewe ni mtumishi wa Mungu na hakuna shaka Mungu anafanya kazi ndani yako, mimi kama mguswa nina ombi maalumu.
Naomba uzikusanye nyaraka zako na kuziweka pamoja kwa mfumo wa kitabu ili zidumu na zisambae kwa walengwa kwa urahisi.
Aidha, ninzidi kukutia moyo uendelee kufanya kazi ya Bwana bila kuchoka kama walivyofanya mitume wenzako akina Pauli na Peter ambao nao walitoa nyaraka nyingi kwa jamii zao katika wakati wao.
Nimesoma nyaraka zako nyingi unazozitoa kwa kwa Watanzania wote. Kimsingi, ujumbe wako ni fikirishi, thabiti na hitimishi. Thamani ya ujumbe wako ni wa-kiungu unaoishi na kubeba kweli isiyopingika.
Kwakuwa wewe ni mtumishi wa Mungu na hakuna shaka Mungu anafanya kazi ndani yako, mimi kama mguswa nina ombi maalumu.
Naomba uzikusanye nyaraka zako na kuziweka pamoja kwa mfumo wa kitabu ili zidumu na zisambae kwa walengwa kwa urahisi.
Aidha, ninzidi kukutia moyo uendelee kufanya kazi ya Bwana bila kuchoka kama walivyofanya mitume wenzako akina Pauli na Peter ambao nao walitoa nyaraka nyingi kwa jamii zao katika wakati wao.