Jinai ina ukomo wake kwa kutegemea sheria zilizopo, kwakua sheria ina sifa ya ku look foward yaan siku inapoputishwa ndio ita dili na makosa ya kuanzia siku hio iliyopitishwa kwenda mbele na haitarudi nyuma ata siku moja, unless iseme wazi mfano wa sheria za mauaji ya kimbari, ukwepaji kodi, ulipwaji mikopo nk nk.
Sasa kama mtu alifanya jinai 1943 alaf sheria ya jinai ya leo ya 1968 na haikuandika mahala kudili na jinai za nyuma basi mtu uyo atakua free au mahakama inaweza kutumia tu busara kumuhukumu na kwa kutumia sheria za wakat huo kwa dharura kuu.
Ya Nyalandu hayana ubishi yumo ndani ya muda na kama kweli alifanya na sio kuchafuana tu.