Nelson Masaduki
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 346
- 380
Wanabodi,
Nchi hii ina Wanasheria lukuki na siamini kama wananchi wote tunafahamu masuala hayo ya sheria ila ni muhimu tufahamu. Kwa kupitia forum hii, naomba watusaidie kufahamu ukomo wa jinai ya mtu. Kwa mfano kama hizi tuhuma tuhuma za kufukua fukua makaburi. Nchi isije kuingia katika hasara kama kesi hizo hawatashinda Jamhuri.
Msaada tafadhali.
Nelson
14/11/2017
Dar es Salaam
Nchi hii ina Wanasheria lukuki na siamini kama wananchi wote tunafahamu masuala hayo ya sheria ila ni muhimu tufahamu. Kwa kupitia forum hii, naomba watusaidie kufahamu ukomo wa jinai ya mtu. Kwa mfano kama hizi tuhuma tuhuma za kufukua fukua makaburi. Nchi isije kuingia katika hasara kama kesi hizo hawatashinda Jamhuri.
Msaada tafadhali.
Nelson
14/11/2017
Dar es Salaam