OMBI MUHIMU SANA NA LIZINGATIWE...Mlio karibu na Dada Maria Sarungi chonde chonde mshaurini asizungumze na Press kama alivyopanga

OMBI MUHIMU SANA NA LIZINGATIWE...Mlio karibu na Dada Maria Sarungi chonde chonde mshaurini asizungumze na Press kama alivyopanga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Naomba nisiseme sababu hapa ila kama Raia Tukuka wa Afrika Mashariki naomba atulie Kwanza kwani Hali ya Anga kwa sasa si nzuri Kwake.

Na kama itampendeza basi ajitahidi mno kwa mwaka huu wa 2025 aende akatulie nje ya nchi na asijishughulishe sana na Siasa za Afrika Mashariki na Afrika kwa Ujumla wake na mwakani 2026 arejee.

Asanteni kama mtakuwa mmenielewa.
 
Naomba nisiseme sababu hapa ila kama Raia Tukuka wa Afrika Mashariki naomba atulie Kwanza kwani Hali ya Anga kwa sasa si nzuri Kwake.

Na kama itampendeza basi ajitahidi mno kwa mwaka huu wa 2025 aende akatulie nje ya nchi na asijishughulishe sana na Siasa za Afrika Mashariki na Afrika kwa Ujumla wake na mwakani 2026 arejee.

Asanteni kama mtakuwa mmenielewa.
Hujasema sababu, huna facts of why aache zaidi umeishia kusema kusema hali ya hewa si nzuri?
Toa facts, sio story
 
Tanzanian intelligence has become crude, sluggish, incompetent and inept, led by diabolical socialistic peasants. Back in the 80's nobody would have even noticed the abductions until when it's too late.

By the way it's very stupid to jeopardize diplomacy and misuse national resources by kidnapping a harmless woman.​
 
Naomba nisiseme sababu hapa ila kama Raia Tukuka wa Afrika Mashariki naomba atulie Kwanza kwani Hali ya Anga kwa sasa si nzuri Kwake.

Na kama itampendeza basi ajitahidi mno kwa mwaka huu wa 2025 aende akatulie nje ya nchi na asijishughulishe sana na Siasa za Afrika Mashariki na Afrika kwa Ujumla wake na mwakani 2026 arejee.

Asanteni kama mtakuwa mmenielewa.
Bila shaka humjui Maria
 
Tukio limeshatokea hata kama atanyamaza kuna watu watalisema kwa marefu na mapana katika angle tofauti na wengine wataandika makala na vitabu vya matukio ya utekaji vitaandikwa
 
Maria yeye binafsi ana hela kuzidi ukoo wenu mpaka vitukuu vyote, hapo bado hujaweka za familia.
Kweli kabisa kwenye keyboards mtu anaongea chochote
Ila katika familia yetu hakuna anaekula ugali 😄
Unaposema familia yote unakosea sana maana hakuna masikini hata mmoja naapa
Ila kama nimekosea kusema hivyo kuhusu mama yako unaemjua kwa undani mpaka mali zake basi unisamehe sana
Humu hatujuani kwa hiyo unaweza kuropoka chochote Ila kama unajua maana ya mitandao usingeandika upuuzi huu
Hebu weka utajiri wa baba yako nao
 
Back
Top Bottom