The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Ila aslay dogo ni mkali sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simtaki na akome kunifata fata.Si umpe tu kijana wa watu anakuota mwenzioo +++++[emoji28]
Muulize yeye, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe jamaa anataka kuchezea tope
Tulia mama asituharibie maisha.Wee mbwehaa acha kunifatilia, mie sikutaki, khaaah kwani kukataliwa hujui? Nipotezeeeee mxxxieeeeeww
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babeeeezzz.Tulia mama asituharibie maisha.
Mi mwenyewe huwa sikuambii maneno magumu hivyo
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Kupanga ni kuchagua wamuache na uchaguzi wakeWakuu huyu dogo ndio alikuwa kinara wa Yamoto Band na kuushtua mji kwa ngoma baada ya ngoma kabla ya story za wambea wa mujini kusema kamali itammaliza maana anajua kuweka mzigo haswaa .
Za chinichini ni kuwa kamali imemmaliza hadi mke na mtoto kukimbia kwa alosto ya ndaga na kuuza Mali zote na Isha kurudi uzaramoni .
Kwa sasa hatoi ngoma amepotea kama upepo hawezi kudaidika arudi town tena na mangoma yake
Kwa kuwa mzee wetu Kikwete amesaidia wasanii hasa wa ukanda wa Pwani na pia yeye hupita humu JF tumuombe amsaidie hata sober house aende Kisha arejee asiwe kama kina Feruuzi, Twenty percent , Daz baba na Chid Benz wasanii wa Pwani ni majanga sana.
USSR