Ombi - Saint Dr Ivuga

Ombi - Saint Dr Ivuga

Hahaaa, ilikuwa baada ya kuangalia film ya Piranha. Hawa Samaki ni kiboko sana 🙂

attachment.php


piranha1.jpg
Mkuu Sikonge

Hii avatar yako hatari sana! hahahahahah
 
Nawe naye
Wings za REV hizo
Si jaona order yako bado ..
unataka nini niko jikoni leo ..
hahah lol
hahah !! mimi hapa ni exception sitakiwi kuorder , nitakuwa beneti na rev.hahahaa !! manake hayo mabawa si mchezo aisee
 
A_black_man.jpg

nimeonna niweke picha yangu ili ujue jinsia yangu kijana,tumia ujana wako kufanya kazi ili badae usije ukaja kuhangaika uzeeni, sio unaona watu wanacheza bao kmda wote uanze kulalamika , sisi ujana wetu hatukuuchezea

au ni kosa kuweka picha yangu hapa?

Ni kweli hiyo kijana, lakini mhnm !!!!!!!!!!!
 
hahah !! mimi hapa landa ni exception sitakiwi kuorder , nitakuwa beneti na rev.hahahaa !! manake hayo mabawa si mchezo aisee

hahahahaha lol
hutaki extra BBQ sauce hahahah lol

mmhh we mi nakupa RIBS

na kuna sahani ya pili hapa hahah lol
 
bwa h ah ah ah ah aha!!!!!!!!! @new york city
yoyo umenichekesha sana !! ule msaada wa FMES hivi kuna mtu alifaidika nao kweli?
mimi ni wa hapahapa na number yangu ni hii hapa piga usiku tu
0732210678*
keshaanza kutafutia umaarufu wa 2015 ati kawasaidia wabongo kwenda majuu....bwah aha ha ha ha
@New York,USA
 
hahahahaha lol
hutaki extra BBQ sauce hahahah lol

mmhh we mi nakupa RIBS

na kuna sahani ya pili hapa hahah lol

Post nyingine ni dhambi tupu....sasa ndio nini kunitamanisha hivi???!
Kwanza embu njoo kule kabla sijaenda kutafuta mbavu samwea!
 
hahahahaha lol
hutaki extra BBQ sauce hahahah lol

mmhh we mi nakupa RIBS

na kuna sahani ya pili hapa hahah lol
eeh eh eh🙂🙂 wewe mtoto sasa hapo unataka nimtoroke rev nije mwenyewe mazima bila kurudi hahahah!! haya mambo yoyo anayaona tu kwenye desktop yake
 
Back
Top Bottom