Ombi - Saint Dr Ivuga

Ombi - Saint Dr Ivuga

Post nyingine ni dhambi tupu....sasa ndio nini kunitamanisha hivi???!
Kwanza embu njoo kule kabla sijaenda kutafuta mbavu samwea!

NJoo mpenzi
niku karangizie hahah lol
sasa niko chumba cha pili
ingia tu mlango uko wazi ..
nakusubiri ....
 
eeh eh eh🙂🙂 wewe mtoto sasa hapo unataka nimtoroke rev nije mwenyewe mazima bila kurudi hahahah!! haya mambo yoyo anayaona tu kwenye desktop yake

taratibu jamani
angalia hiyo sauce inatiririka pembeni ya mdomo
mmhh sogea hapa nikufute kidoncho...
 
Post zingine Bana sasa mchungaji umeumiza kichwa ukaamuwa utoke kiivi leo .. sasa si unge pm ... anashinda JF sababu hanakazi ya kufanya ... zaidi ya ku click kile kijisehemu cha NEW POST after every 5 sec ..
 
Post zingine Bana sasa mchungaji umeumiza kichwa ukaamuwa utoke kiivi leo .. sasa si unge pm ... anashinda JF sababu hanakazi ya kufanya ... zaidi ya ku click kile kijisehemu cha NEW POST after every 5 sec ..

nawe nayo mmmmhhh
 
Sio nanihii huyu...lol. Ila kama ndo yeye leo nakiuka miiko siku moja tu kwani ina tatizo gani. lol.
 
Post zingine Bana sasa mchungaji umeumiza kichwa ukaamuwa utoke kiivi leo .. sasa si unge pm ... anashinda JF sababu hanakazi ya kufanya ... zaidi ya ku click kile kijisehemu cha NEW POST after every 5 sec ..
hahahahhah!! JF kweli kiboko ,
lakini sina tofauti na wewe kila saa unavyo log -in kwenye facebook kila saa ili kuangalia vile vidude vyekundu
 
Ivuga umekuwa Saint siyo?? kwahiyo kule kwa wakubwa umestop siyo?! ha ha
 
Back
Top Bottom