Sasa unavyosema ni dharau unataka ukae tu bila kazi.Hiyo ni dharau kubwa watanzania,dharau kubwa kwa walipa kodi
Si amesema maeneo mengine yapo, lakini pale uwanjani watapata mazao bora yasiyo na mchangaJe kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
Naunga hoja mkonoSasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini
Kidumu CCM
#matege
Umiza kichwa kidogo tafakari fikirishiJe kabla ya uwanja kujengwa hawakuwa na mahali pa kuanika mazao mpaka waende uwanja wa ndege?
So bora kikae tupuHiyo ni dharau kubwa watanzania,dharau kubwa kwa walipa kodi
Dah kweli unaubongo mkuu.Sasa ni msimu was mavuno kwetu wakazi wa chato, mahindi,mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba serikali ituruhusu kutumia uwanja was ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo,inatoka vizuri bila mchanga.
Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini
Kidumu CCM
#matege
Lakini kuliko hifadhi ya Burigi-Chato ihamishie fisi na nyani pale, bora patumike kuanikia hayo mazao gredi wani.Hiyo ni dharau kubwa watanzania,dharau kubwa kwa walipa kodi
Wakabidhiwe Jwtz